KWA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA MATUKIO MBALIMBALI
Monday, July 30, 2012
Kidunda adundwa Olimpiki
BONDIA pekee wa Tanzania katika mashindano ya Olimpiki, Seleman Kidunda jana alipigwa kwa pointi 20-7 na bondia Vasilli Beraus toka Jamhuri ya Moldova.
No comments:
Post a Comment