MICHARAZO MITUPU

KWA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA MATUKIO MBALIMBALI

Sunday, May 6, 2018

Rostand anatunguliwa na kipa mwenzake

›
YANGA wanafungwa bao la nne kwa mkwaju wa penalti iliyopigwa na Zammamouche na kuifanya USM kutoka na ushindi mnono wa mabao 4-0. Pambano li...

Waarabu wanapata penalti

›
USM wanapata penalti baada ya Dante kucheza faulo ndani ya lango lake.

Zimeongezwa dakika mbili

›
ZIMEONGEZWA dakika mbili kabla ya pambano la Yanga na USM Alger kumalizika na matokeo bado ni 3-0.

Dante ameumia

›
BEKI na nahodha wa mchezo wa leo, Dante ameumia na anapatiwa matokeo. Bado dakika mbili mpira kumalizika. Yanga wapo nyuma mabao 3-0. Yohana...

Pato anaingia kumpokea Makapu

›
YANGA imefanya mabadiliko kwa kumtoa Juma Said 'Makapu' na kuingia Pato Ngonyani. USM Alger wamebanwa kwa sasa, lakini bado wanaongo...

Darfalou alimwa kadi naye

›
Oussumana darfalou naye anapewa kadi ya njano kwa kumchezea Abdallah Shaibu Ninja anayekaba hadi kivuli. Dakika ya 70. Mabao bado 3-0.

Juma Mahadhi apewa kadi

›
JUMA Mahadhi anakuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi ya njano katika mchezo huu, Matokeo bado 3-0.

Rafael anatoka Abdul anaingia

›
Juma Abdul YANGA imefanya mabadiliko ya kumtoa Rafael Daud na kumuingiza Juma Abdul ikiwa ni mbinu ya benchi la ufundi la Yanga kuimaris...

Yanga inapigwa la tatu

›
MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa Yanga baada ya wenyeji kuandika bao la tatu, kutokana na uzembe wa mabeki na kipa Rostand na Abderrahman...

Hassan Kessy anaupiga mwingi

›
BEKI Hassan Kessy ndiye pekee anayeonekana kujitoa uwanjani akihakaka kila mahali.

Waarabu wameanza uhuni wao

›
MMOJA wa wachezaji wa USM Alger anafanya uhuni wa kupiga mpira na kumgandishia mguu beki Dante na kumfanya apatiwe matibabu. Hata hivyo Dant...

Mopira umeanza

›
Dakika 45 za pili zimeanza, na Yanga wanafika langoni mwa USM Alger. Matokeo bado 2-0.

Timu zinarudi uwanjani

›
TIMU za Yanga na USM Alger zinarudi uwanjani kuanza kipindi cha pili.

Takwimu za nusu ya kwanza

›
USM Alger                         Yanga 2              Goals                 0 9              Shots                 3 3              Shots...

Ni mapumziko sasa

›
Pambano la Yanga na USM Alger limemaliza dakika 45 na wachezaji wanaenda mapumziko kupewa mawaidha kabla ya kurudi uwanjani kwa kipindi ch...

Imeongezwa dakika moja ya nyongeza

›
Imeongezwa dakika moja kabla ya mapumziko, Yanga bado ipo nyuma kwa mabao 2-0

Yanga wanakosa bao

›
Shuti la Mwashiuya linaokolewa na kipa na kuinyima Yanga bao. Bao 2-0

Pengo la Tshishimbi, Chirwa, Ajibu laonekana

›
Bado dakika tano kabla ya mapumziko, lakini Yanga bado inahaha kurejesha mabao waliyotanguliwa na wenyeji wao, huku mapengo ya nyota wata...

Mambo bado magumu

›
Pambano la Yanga na USM Alger bado linaendelea na Yanga wanapigwa bao la pili baada ya kona ya wenyeji kusindikizwa wavuni na Farouk Chafai ...

Yanga inapata kona ya kwanza

›
Yanga wanapata kona baada ya shambulizi lao kuokolewa na mabeki, wakati Geofrey Mwashiuya akijiandaa kufunga. Hata hivyo haijazaa matunda. D...

Uwanja umeelemea kwa Yanga

›
DK 25 Yanga bado wanakimbizwa, licha ya kujitahidi kurudisha mashambulizi, lakini ni kama uwanja umeelemea upande mmoja. Bao matokeo ni 1-0...

Yanga chupuchupu tena

›
Yanga chupuchupu wapigwe bao la pili, makosa ya Andrew Vincent 'Dante' na kipa Rostand ambaye amekuwa akitoka ovyo langoni mwake bil...

Yanga wanakoswa koswa

›
WAWAKILISHI wa Tanzania Yanga, bado wanashambuliwa na USM Alger, huku ikionekana upande wa kushoto unaolindwa na Gadiel Michael ukiwa uchoch...

Dakika ya 15 mambo bado

›
Matokeo bado ni 1-0 wenyeji wakiwa mbele, huku nyota wa Yanga wakionekana kuzidiwa na wenyeji.

Yanga yatanguliwa bao la mapema

›
DAKIKA ya Nne tu, Yanga wamesharuhusu bao la kuongoza la Waarabu wa USM Alger baada ya mabeki na kipa Youthe Rostand kushindwa kuokoa kros...
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.