Sunday, May 6, 2018

Rostand anatunguliwa na kipa mwenzake

YANGA wanafungwa bao la nne kwa mkwaju wa penalti iliyopigwa na Zammamouche na kuifanya USM kutoka na ushindi mnono wa mabao 4-0. Pambano limeisha mara baada ya mkwaju huo.

No comments:

Post a Comment