Sunday, May 6, 2018

Dante ameumia

BEKI na nahodha wa mchezo wa leo, Dante ameumia na anapatiwa matokeo. Bado dakika mbili mpira kumalizika. Yanga wapo nyuma mabao 3-0. Yohana Mkomola pia kaingia kuchukua nafasi ya Yusuf Mhilu aliyeshindwa kabisa kufurukuta.

No comments:

Post a Comment