MICHARAZO MITUPU
KWA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA MATUKIO MBALIMBALI
Monday, August 5, 2013
Njemba yanusurika kufa kisa ujambazi
Jambazi likiwa hoi baada ya kichapo kutoka kwa wanachi.
Jambazi hilo likihojiwa.
Mmoja wa wanausalama (mwenye tisheti yenye mistari) akiwa na bastola aliyokutwa nayo jambazi huyo.
Wananchi wakiwa eneo hilo la tukio.
Wanausalama wakishauriana jambo kabla ya kulipiga pingu jambazi na kulipeleka hospitali.
Baada ya kichapo kikali jambazi lilipelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu.
GPL
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment