Beki huyo wa kimataifa wa Denmark aliyeondoka Liverpool mwaka 2014 baada ya kuitumikia kwa miaka nane na kurejea katika klabu yake ya utotoni ya Brondby, amewahi kuichezea nchi hiyo mechi 75. Mkali huyo ameingia katika orodha ya nyota waliowahi kustaafu soka mapema kabla ya wakati wao kwa sababu mbalimbali ikiwamo majeruhi yasiyoisha.
STRIKA
USILIKOSE
Thursday, June 9, 2016
Maskini Agger! Aamua kutundika daluga bila kupenda
Beki huyo wa kimataifa wa Denmark aliyeondoka Liverpool mwaka 2014 baada ya kuitumikia kwa miaka nane na kurejea katika klabu yake ya utotoni ya Brondby, amewahi kuichezea nchi hiyo mechi 75. Mkali huyo ameingia katika orodha ya nyota waliowahi kustaafu soka mapema kabla ya wakati wao kwa sababu mbalimbali ikiwamo majeruhi yasiyoisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment