STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 12, 2011

Vijana wahimizwa kujifunza uongozi, ujasiriamali

VIJANA wa Kitanzania wamehimizwa kujitosa kwenye masuala ya uongozi na ujasiriamali kwa lengo la kuja kuwa tegemeo la taifa hapo baadae.
Wito huo umetolewa na uongozi wa Chuo cha Viongozi wa Afrika, African Leadership Academy (ALA), kilichopo Afrika Kusini wakati wakitangaza ofa maalum ya kuwasomesha kwa muda wa miaka miwili bure wahitimu wa sekondari na vijana wa Kitanzania.
Mkurugenzi wa Usajili wa chuo hicho, Ivy Mwai, amesema kutokana na hali ilivyo duniani kwa sasa ni vema vijana wakajifunza masuala ya uongozi na ujasiriamali ili kuweza kujisaidia wenyewe na nchi yao kwa ujumla.
Mwai alisema vijana wenye ndoto za kuwa viongozi au wajasiriamali ni lazima wajisomee fani hizo kisha kujitokeza bila hofu yoyote kwa lengo la kuiletea nchi maendeleo.
"Vijana wa Kitanzania wenye vipaji vya uongozi na ndoto za kuwa wajasiriamali wajitokeze hadharani ili wapate ujuzi na uzoefu kwa manufaa ya taifa hapo baadae," alisema Mwai.
Mwai, alisema kutokana na kupenda kuona nchi za kiafrika zinapiga hatua kubwa kimaendeleo chuo chao kimetoa ofa Tanzania kwa kuwasomesha watakaojisajili na kufuzu kwenye mchujo utakaofanyika Mei mwaka huu.
Alisema usajili wa wahitimu hao wa sekondari na vijana wenye sifa utaanza kufanyika kuanzia mwezi ujao na watakaoshinda watatangazwa Mei kabla ya kwenda kujiunga na chuo hicho.
"Lengo letu ni kutaka kuona Tanzania na nchi za Kiafrika zinakuwa na viongozi wenye uchungu wa kuziletea mabadiliko nchi yao kimaendeleo na hivyo tumeamua kutoa ofa maalum kwa vijana wa hapa," alisema.
Mwai alisema kijana yeyote mwenye umri kati ya miaka 16-19 wanaweza kuichangamkia ofa hiyo itakayoambatana na kusaidiwa kutafutiwa vyuo vikuu vya kimataifa pale watakapofanya vema kwenye masomo yao ALA kwa kujaza fomu kupitia barua pepe admissions@africanleadershipacademy.org.
Mmoja wa wanafunzi wa Kitanzania aliyewahi kupata ofa kama hiyo ya ALA, Julius Shirima, ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Chama cha Wajasiriamlia Mkoa wa Dar es Salaam, DARECHA, alisema vijana hawapaswi kuipoteza bahati hiyo.

SOMA MAELEZO KUKIJUA VEMA CHUO CHA ALA

African Leadership Academy is a world-class, pan-African secondary institution that aims to educate and develop outstanding students into principled, ethical leaders for Africa. It is an A level school, enrolling students aged 15-19 who are in their last two years of secondary and they sit the Cambridge International Examinations. The school, located in Johannesburg, South Africa seeks students who have demonstrated leadership, have good consistent academic performance, have an entrepreneurial/problem solving spirit, are involved in their communities and have a passion for Africa.


AFRICAN LEADERSHIP ACADEMY - AT A GLANCE


Our Mission
African Leadership Academy (ALA) seeks to transform Africa by developing and supporting future generations of African leaders. Opened in September 2008, African Leadership Academy brings together the most promising 16 -19 year old leaders from all 54 African nations for an innovative two-year program designed to prepare each student for a lifetime of leadership on the continent. Students are selected to attend the Academy based on merit alone and complete a unique curriculum with a focus on Leadership, Entrepreneurship, and African studies. ALA graduates attend the world’s finest universities and will lead Africa toward a peaceful and prosperous future. ALA is a non-profit institution located on the outskirts of Johannesburg, South Africa.

Our Team
African Leadership Academy was founded in 2004 by Fred Swaniker, Chris Bradford, Peter Mombaur, and Acha Leke. The founding team brings considerable experience as educators, entrepreneurs, consultants, and corporate executives in Africa and throughout the world. Our Advisors and Directors are internationallyrecognized luminaries in business, leadership development, secondary education, and social entrepreneurship.
These include Carly Fiorina, the former CEO and Chairwoman of Hewlett-Packard; Isaac Shongwe, Chairman of the African Leadership Initiative in South Africa; Futhi Mtoba, Chairwoman of Deloitte & Touche South Africa; Sir Sam Jonah, formerly President of Anglogold Ashanti; Jon Cummings, Director at McKinsey & Company; Ralph Townsend, Headmaster of Winchester College (UK); Ed Brakeman, retired Managing Director of Bain Capital; James Mwangi, CEO of Equity Bank, Kenya and Tunde Folawiyo, Executive Director of The Yinka Folawiyo Group, Nigeria. ALA also has a larger network of like-minded mentors, partners, and leaders to provide alumni with the long-term support system needed to lead Africa toward equitable and lasting development.

Our Successes

• In June 2005, ALA launched a pilot summer program to test and refine its concept and curriculum.
By 2008, more than 500 young leaders from 40 countries had participated in this innovative program.
• In June 2006, co-founders Fred Swaniker and Chris Bradford were named Echoing Green Fellows and described as two of the “15 best emerging social entrepreneurs in the world.”
• In April 2007, ALA secured a state-of-the art campus on the outskirts of Johannesburg to serve as the home of the institution.
• In June 2010, 93 students of the Inaugural Class graduated, many with full scholarships to attend top universities around the world.
• In July 2010, ALA sent offers of admission to 105 students from 33 countries, out of a pool of over 2,000 applicants. For the first time applicants from Guinea, the Gambia, Tunisia and Rwanda, were admitted to the Academy.
• In 2010, ALA students gained entrance into leading universities in USA, Europe and Africa such as Harvard, Oxford, Stanford, University of Cape Town and Ashesi University, Ghana.
• In 2010, ALA students received over $9.5 million in scholarship money to attend university.

Your Role
African Leadership Academy offers like-minded individuals and organizations a growing global network of local chapters and strategic partnerships committed to fostering our vision. To learn more, please contact admissions@africanleadershipacademy.org.

Campus Address
1050 Printech Ave, Honeydew 2040 South Africa
Postal Address
Postnet Suite 413, Private Bag X1
Northcliff 2115 South Africa
Phone: +27 11 699 3000 Fax: +27 11 252 6190
Email: info@africanleadershipacademy.org
First Ready Development 695 (Incorporated under Section 21) T/A African Leadership Academy
Directors: Peter B. Mombaur, Dr. Achankeng Leke, Frederick K. Swaniker
Reg. No. 2005/005377/08 - VAT No. 4670224122 - PBO No. 930020187
Gauteng Department of Education Reg. No. 400286
www.africanleadershipacademy.org


$9.5 million in University Scholarship Money Awarded to Outstanding
African Leadership Academy Graduates in 2010

The following are examples of just some of the leading universities that ALA students have been admitted to in 2010:
Fatoumata Fall, SENEGAL
University attending: Harvard University, USA
Also admitted to: Massachusetts Institute of Technology (MIT) (USA)
Subject: Engineering

Samuel Gichohi, KENYA
University attending: Princeton University, USA
Subject: Computer Science

Ifedolapo Omiwole, NIGERIA
University attending: Yale University, USA
Also admitted to: Oxford University (UK)
Subject: Economics

Mbali Zondi, SOUTH AFRICA
University attending: Barnard College, USA
Also admitted to: Ithaca College (USA), Lake Forest College (USA)
Subject: Journalism

Nkululeko Zigizendoda Yeni, SOUTH AFRICA
University attending: Yale University, USA
Also admitted to: Amherst College (USA), Colgate University (USA), Harvard University (USA),
University of Virginia (USA)
Subject: International Relations

Felix Tetteh, GHANA
University attending: Ashesi University, Ghana
Also admitted to: The College of Idaho (USA)
Subject: Business Economics & Music

Campus Address
1050 Printech Ave, Honeydew 2040 South Africa
Postal Address
Postnet Suite 413, Private Bag X1
Northcliff 2115 South Africa
Phone: +27 11 699 3000 Fax: +27 11 252 6190
Email: info@africanleadershipacademy.org

First Ready Development 695 (Incorporated under Section 21) T/A African Leadership Academy Directors: Peter B. Mombaur, Dr. Achankeng Leke, Frederick K. Swaniker
Reg. No. 2005/005377/08 - VAT No. 4670224122 - PBO No. 930020187
Gauteng Department of Education Reg. No. 400286
www.africanleadershipacademy.org

Dagbedji Fagnisse, CÔTE D’IVOIRE
University attending: Duke University, USA
Subject: Engineering
Awarded: Robertson Scholarship

Mehdi Oulmakki, MOROCCO
University attending: Dartmouth College, USA
Also admitted to: Amherst College (USA), Northeastern University (USA), Pomona College (USA)
Subject: Mathematics

Marie Shabaya, KENYA
University attending: University of Durham, London, UK
Also admitted to: Royal Holloway (UK), University of London (UK), School of Oriental and African
Studies (UK)
Subject: Economics

Imelda Rweyemamu, TANZANIA
University attending: Jacobs University Bremen, Germany
Also admitted to: Indiana University-Purdue University Indianapolis (USA)
Subject: Engineering

Rumbidzai Gondo, ZIMBABWE
University attending: Colby College, USA
Subject: History
Mariam Doumbia, MALI
School attending: Miss Hall’s School, Massachusetts, USA
Subject: Gap Year Program
Awarded: ASSIST-USA Gap Year Scholarship

JE WEWE UNAPENDA UONGOZI NA KUWA MJASIRIAMALI SOMA HAPA

CHUO CHA UONGOZI AFRIKA, AFRICAN LEADERSHIP ACADEMY CHA AFRIKA KUSINI KINASAKA WAHITIMU WA SEKONDARI NA VIJANA WENYE UMRI USIOZIDI MIAKA 19 KWA AJILI YA KUINGIA KWENYE MCHAKATO WA KUPATA OFA YA KUSOMESHWA UONGOZI NA UJASIRIAMALI PAMOJA NA KUFANYIWA MIPANGO SCHOLARSHIP KWA VYUO VIKUU VYA KIMATAIFA.
MCHAKATO HUO UNAANZA RASMI MWEZI UJAO NA MAJINA YA WATAKAOVUKA MCHUJO HUO YATATANGAZWA RASMI MEI MWAKA HUU.
CHUO HIKI KIMEKUWA KIKITOA OFA NA KUWASAIDIA WANAFUNZI NA VIJANA WA KIAFRIKA, AMBAPO WALIOPIOTIA KATIKA CHUO HICHO BAADHI YAO KWA SASA WANASOMA MAREKANI, UJERUMANI NA NCHI ZINGINE ZA ULAYA NA AMERIKA.

KWA MAELEZO ZAIDI MNAWEZA KUJIUNGA SASA KUPITIA admissions@africanleadershipacademy.org.