STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, February 27, 2013

Coastal yashindwa kuiengua Simba 3 Bora

Kikosi cha Coastal Union


MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Coastal Union leo wameshindwa kuiengua Simba kwenye nafasi ya tatu katika msim amo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kulazimishwa suluhu ya bila kufungana na Ruvu Shooting.
Coastal iliyokuwa kwenye dimba la nyumbani la Mkwakwani Tanga, ilikuwa na nafasi ya kuishusha nafasi ya tatu Simba ambayo haikushuka dimbani leo kwa vile inajiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya watakaokuwa wenyeji wao Libolo Fc ya Angola iwapo ingeilaza Ruvu.
Suluhu hiyo imeifanya wagosi hao wa Kaya kufikisha pointi 31 sawa na Simba na kuendelea kusalia kwenye nafssi yake ya nne kwa kuzidiwa uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa.
Taarifa kutoka Tanga zinasema kuwa mchezo huo wa leo ulikuwa mkali na wenye upinzani mkali na ilionekana kama Coastal wangeweza kuibuka na ushindi kama sio uimara wa kikosi cha vijana wa Charles Boniface Mkwasa.












































































































































































































































































































YANGA HAIKAMATIKI, YALIPA KISASI KWA KAGERA


Mshambuliaji wa Yanga Said Bahanuz, akijaribu kumfunga kipa wa Kagera Sugar Hannington wakati wa mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Picha na Jackson Odoyo

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jioni ya leo imeendelea kutakata kileleni kwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar.
Bao hilo pekee lilitupiwa kambani na kiungo wa kimataifa Haruna Niyonzima 'Fabregas', na kuiwezesha Yanga kulipa kisasi kwa Kagera waliowatungua kama hivyo katika mechi yao ya kwanza iliyochezwa Oktoba 8 mwaka jana mjini Kagera.
Niyonzima alifunga bao hilo dakika ya 66 ya mchezo huo likiwa bao lake la pili mfululizo katika ligi kufuatia Jumamosi alipatia Yanga ushindi kama huo mbele ya Azam.
Katika mechi hiyo Yanga ilikosa penati katika kipindi cha kwanza baada ya Didier Kavumbagu kushindwa kufunga mkwaju wa adhabu hiyo iliyolewa na mwamuzi baada ya yeye mwenyewe kuchezewa faulo.
Kwa ushindi wa leo ambao umezima tambo za Kagera walioapa ni lazima waizamishe tena Yanga, imeifanya vinara hao kufikisha pointi 42 kutokana na mechi 18, ikiiacha Azam yenye pointi 36.
Katika mechi nyingine zilizochezwa leo, Coastal Union ya Tanga ikiwa nyumbani uwanja wa Mkwakwani ililazimishwa suluhu na Ruvu Shooting na kufikisha pointi 31 sawa na Simba japo inaendelea kusalia nafasi ya nne.
Wababe wa Simba, Mtibwa Sugar wakiwa uwanja wao wa Manungu ilijikuta ikilazimisha sare ya bila kufungana na maafande wa Prisons Mbeya, huku Polisi Moro iliendelea kuimarika kwa kuinyuka maafande wenzao wa Mgambo JKT ya Muheza Tanga kwa bao 1-0.
Bao hilo pekee la Polisi inayonolewa na nyota w zamani wa Pan na Yanga, Mohammed Rishard 'Adolph' Ally Jangalu lililowekwa kimiani na Kondo Salum kwa mkwaju wa penati katika kipindi cha pili.
Pambano jingine lililokuw alichezwe leo kati ya wenyeji JKT Ruvu dhidi ya Toto African, mechi hiyo imeahirishwa hadi kesho kutokana na kupisha pambano la Yanga na Kagera lililochezwa taifa.
Mechi hiyo itachezwa kwenye uwanja wa Chamazi, nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam, huku kila kitu ikihitaji ushindi ili kujiweka pazuri katika msimamo wa ligi hiyo inayozidi kushika kasi.
 

KAGERA SUGAR YAIAPIA YANGA LEO TAIFA

KIKOSI CHA TIMU YA KAGERA SUGAR KITAKACHOVAANA NA YANGA LEO KATIKA MECHI YA LIGI KUU

LICHA ya kubaini wanakabiliwa na pambano gumu na lisilotabirika leo mbele ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ya Kagera Sugar, imetangaza vita ikiapa 'Ama zao au za Yanga' leo kwenye uiwanja wa Taifa.
Kocha Mkuu ya Kagera, Abdallah 'King' Kibadeni Mputa, amenukuliwa jana akisema kuwa vijana wake leo watakuwa na kazi moja tu ya kuisimamisha Yanga uwanja wa Taifa, ili kuthibitisha kuwa hawakubahatrisha walipowafunga bao 1-0 mjini Kagera.
Kibadeni, nyota wa kimataifa wa zamani wa timu zaa Majimaji Songea, Simba na Taifa Stars, alisema wakati walipoifunga Yanga nyumbani kwao uwanja wa Kaitaba, Yanga walilalamika kwamba walionewa na pia kudai uwanja mbovu ndiyo uliowaponza kulala ugenini.
"Kwa vile tunacheza nao kwenye uwanja wa Taifa, uwanja mzuri na mbele ya mashabiki wao tumepania kuwatoa nishai ili kuwathibitishia kuwa hatukubahatisha tulipowalaza kwetu, tumepania kuibuka na ushindi ili kujiweka katika nafasi nzuri. Yanga wasitarajie mteremko," alisema Kibadeni.
Mkali huto ambaye rekodi yake ya kufunga 'hat trick' katika pambano la watani wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga mwaka 1977 haijavunjwa mpaka leo ikiwa zaidi ya miaka 30, alisema kikois chake kipo vyema ili kuibuka na ushindi kuweza kujisogeza kwenye nafasi za juu.
"TUnataka ushindi ambapo tukishinda tutalingana na Simba kwa kuwa na pointi 31, pia tuna mechi nne nyumbani ambazo tunaamini tutazifanya vizuri na hivyo kujiweka katika nafasi nzuri ya kuchuana kuwania nafasi za juu za ligi hiyo," alisema Kibadeni.
Katika pambano lao lililopita lililochezwa Oktoiba 7, 2012, Yanga ililala bao 1-0 sawa na ilivyokuwa msimu uliopita ilipolala ugenini kwa kipigo kama hicho kabla ya Yanga kushinda nyumbani.
Hata hivyo Yanga kupitia Msemaji wake, Baraka Kizuguto, imetamba kuwa mtoto wao ni ule ule wa kutoa dozi ili kufanikisha azma yao ya kutwaa ubingwa msimu huu.
Kizuguto alisema vijana wao wana ari na kiu ya kuendeleza ushindi mbele ya Kagera kwa lengo la kuongeza pointi tatu muhimu zaa kuelekea kwenye ubingwa, pia kulipiza kisasi cha kulala ugenini bao 1-0 mbele ya wapinzani wao.
Yanga inaoongoza msimamo ikiwa na pointi 39, tatu zaidi ya Azam wanaoshika nafasi ya pili na nane dhidi ya watani zao wa jadi Simba ambazo watakuwa wakijiandaa na majukumu yao ya kuiwakilisha nchi kimataifa.
Iwapo Yanga itashinda itafikisha pointi 42 na kuzidi kuziacha mbali timu hizo zinazowafukuza kileleni, pia kuendeleza rekodi ya kutopoteza mchezo tangu duru la pili lianze Januari 26 mwaka huu.

PENZI LA DIAMOND, PENNY SIO SIRI TENA, SASA KILA KITU WAZII!



Wakishoo wakati wakipata msosi
Wakipokeana uwanja wa Ndege
Mdada katika pozi tofauti


Kapendezaje?

Utamtakaje?

Kipusaaaaaa

Mambo 13 yanayomtofautisha Bale kwa Ronaldo

Gareth Bale's outrageously brilliant winner last night unleashed another torrent of praise on the Tottenham winger, and sparked further comparisons with Cristiano Ronaldo.
Far be it from us at The Rundown to let the facts get in the way of a good story - but Bale can't hold a candle to the great man.
How do we know? We have spent several weeks crunching the numbers and employed leading sabermetricians - here are their findings, presented in sarcastic photo form.
1- Free-kicksGranted Bale's on a hot streak - but just look at the fear in that Atletico Madrid wall.
2- Headers
Eyes shut, ball flying high into the air - call that a header?

3- VolleysExtra style points for Ronaldo's collar-up effort. Bale puts his into orbit.
4- CelebrationsRonaldo channels his inner Gareth Cheeseman; Bale just looks a bit lame
5- ComplainingHands together, mouth wide open in disbelief - textbook from Ronaldo.
6- TorsoSomebody tell Swansea and Bradford we've found a bigger mismatch!
7- 'Falling over'A masterclass in how to sell the fall; take note, young Gareth.
8- BootsAnother rout - inexcusably low-key from Bale.
9- AwardsMr PFA Player of the Year, meet Mr Ballon d'Or.
10- HugsRonaldo pulls off a masculine embrace of equals; Bale goes all puppy-dog-ish. No contest.
11- Pulling up shortsImportant category, this. Bale has better technique but reveals a little too much.
12- StyleRonaldo's not at his best, but just look at that hood on Bale's coat.
12. Hair
Let us never forget the early years of Gareth Bale.