STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, September 3, 2014

Mpya! Diamond afunguka kilichomponza vurugu za Ujerumani

Diamond Platnumz

Screen Shot 2014-09-01 at 12.16.12 AM

KUANZIA siku tatu zilizopita stori kubwa kwenye kiwanda cha burudani Tanzania imehusu fujo zilizotokea Ujerumani kwenye show aliyokwenda kufanya Diamond Platnumz huko Stuttgart.
Kilichotokea ni kwamba saa kumi alfajiri ndio promota alimpeleka Diamond kwenye ukumbi kunakofanyika show. 
Kwa nini ilitokea akamchelewesha? nini kilitokea baadae? hizi hapa chini ni kauli za Diamond mwenyewe kama alivyohojiwa na mtandao huu.

1. ‘Mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa tatizo lilikua nini, siamini kama tatizo lilikua ni hela, balance iliyokua imebaki ni balance ndogo kama EURO 3500 hivi ambazo ni zaidi ya milioni 7 za Tanzania, ninavyojua Mapromoter wengi wa nje wakifanya show huwa wanauza na vinywaji wenyewe na wanapata hela nyingi sana kwenye vinywaji kuliko hata viingilio so nahisi labda walivuta muda ili waendelee kuuza vinywaji zaidi’
2. ‘Walichelewa kunipeleka kwenye show, walinifata kwenye mida ya saa tisa usiku na wakawa hawana hela yangu iliyobaki, nikawaambia siendi kokote mpaka wamalize kunilipa, walikua na EURO 1500 wakati nilikua nawadai 3500 nikawaambia lazima wanipe hela yote, wakaifata ndio tukaenda kwenye show’
Screen Shot 2014-09-01 at 12.16.38 AM 
3. ‘Tukafika kwenye show saa10 kasoro, kweli hata ningekua mimi shabiki ningekasirika ningefanya vurugu, wengine walilipa zaidi ya laki moja na wametoka kwenye miji na nchi jirani, niliwaambia wanipeleke nikafanye show ndani ya ukumbi japo tulikuta watu wengi sana nje lakini Mapromota walikua waogawaoga kunipeleka ndani’
4. ‘Nikakuta watu wengi na vurugu nje, nikamwambia promota atupeleke ndani tungefika kwenye stage ingetulia baada ya sisi kuimba manake ni vitu tunakutana navyo kwenye muziki lakini promota walikua waogawaoga, askari wa Ujerumani karibu gari 7 wakaja pale lakini mtiti ukawa mkubwa’
5. ‘So dakika ya mwisho tukaona hapashukiki ndio wakaturudisha hotelini, kiukweli nimesikitishwa sana manake nilikua nimejipanga vizuri na ilikua ni mara yangu ya kwenda kuperform pale Stuttgart, imenisikitisha manake watu walikua kuniona alafu mwisho ikashindikana kuwafikishia walichokitarajia’
Screen Shot 2014-09-01 at 12.16.59 AM 
6. ‘Nafikiri October tutakua na show nyingine na itafanyika kulekule, nilikua nazungumza na uongozi wangu kwamba wanataka show nyingine na tayari wameshatuma hiyo hela ya show nyingine’ 
Millardayo.com

Majanga! Mwandishi Mwingine wa Marekani achinjwa

Mwandishi aliyechinjwa na IS Steven Sotloff
Wapiganaji wa dola ya Kiislam IS wamesambaza picha za video katika mitandao kwa lengo la kuonyesha kuchinjwa kwa mwandishi wa habari raia Marekani Steven Sotloff ambaye ni mmoja wa mateka wanaoshikiliwa na wapiganaji hao.

Mwandishi huyo Sotloff, mwenye umri wa miaka 31 ambaye alitekwa na wapiganaji hao mwezi August mwaka jana. 
Wapiganaji hao wa katika picha hizo pia wameonekana wakimtishia kumuua mateka mwingine anayedhaniwa kuwa ni raia wa Uingereza.Mwezi uliopita Sotloff alionekana mwishoni katika picha za video zilizoonyeshwa kuhusiana na kuchinjwa kwa mwandishi mwingine wa Marekani James Foley.
Baada ya mauaji ya mwandishi wa awali Foley, mama mzazi wa mwandiashi wa Sotloff alitoa ombi maalumu kwa kiongozi wa wanajeshi hao Abu Bakr al-Baghdadi kutoa muua mtoto wake. 
Msemaji wa Ikulu ya White House Josh Earnest amesema kuwa maofisa wa Marekani wanaendelea na uchunguzi wa ripoti hiyo.
Marekani hivi karibuni ilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya IS nchini Iraq. 
Mwandishi wa masuala ya usalama wa BBC Frank Gardner amesema hatua hiyo ya wapiganaji wa IS ni kulipa kisasi kwa Marekani

David Beckham asikitishwa na Welbeck kwenda Arsenal

https://pbs.twimg.com/media/Bwi2sE9CYAAExQt.jpg
Danny Welbeck katika uzi mpya wa Arsenal
Tom Cleverley aliyehamia Aston Villa
UHAMISHO uliochelewa wa Kiungo wa Manchester United Tom Cleverley kwenda Aston Villa kwa Mkopo wa Msimu mmoja umebarikiwa hii jana wakati nyota wa zamani wa Man United David Beckham amesikitishwa kuondoka kwa David Welbeck kutoka Man United kwenda Arsenal.
Dirisha la Uhamisho lilifungwa rasmi juzi usiku lakini Uhamisho wa Cleverley ulichelewa lakini hivi sasa Bodi ya Ligi Kuu imeubariki.
Makubaliano kati ya Man United na Aston Villa yana vipengele kwamba Cleverley, mwenye Mkataba na Man United hadi 2015, anaweza kurudi Old Trafford Mwezi Januari au Villa imsaini kwa kudumu katika Kipindi hicho cha Usajili.
Cleverley, mwenye Miaka 25, amekulia toka Vyuo vya Soka vya Man United tangu akiwa mdogo na kuichezea Klabu hiyo Mechi 79.
David Beckham amesikitishwa na kuondoka kwa Danny Welbeck na kuhamia Arsenal.
Beckham amesema Arsenal wamepata dhahabu kwa kumnunua Welbeck na kuonyeshwa kusikitishwa kwake kumpoteza Mchezaji aliekuzwa kipaji toka Chuo cha Soka cha Man United tangu akiwa na Umri wa Miaka 8.
Beckham amesema: “Ni wazi kumwona Danny kuondoka, kwa mimi Shabiki wa Man United, kunasikitisha lakini mie si Meneja!”

Gari la Rais wa Kenya lililoibwa lapatikana Uganda

MAAFISA wakuu kutoka Shirika la Polisi wa Kimataifa, Interpol amethibitisha kuwa gari la ulinzi wa Rais Uhuru Kenyatta lililoibwa mjini Nairobi wiki jana limepatikana nchini Uganda.
Kwa sasa gari hilo limepelekwa mjini Kampala.
Mkurugenzi wa polisi wa kimataifa Interpol nchini Uganda Assab Kasingye aliambia BBC kuwa gari hilo litarudishwa Nairobi.Gari hilo aina ya BMW liliibwa siku ya Jumatano usiku mjini Nairobi. Watu watatu wamekamatwa kuhusiana na wizi huo.
Gari hilo liliibwa na watu waliokuwa wamejihami Jumatano wiki jana.
Hata hivyo msemaji wa serikali Manoah Esipisu alikanusha habari hizo akisema kuwa gari lililoibwa halikuwa na ulinzi wa Rais Kenyatta bali lilikuwa gari kuu kuu la polisi.
Lakini lilikuwa linaendeshwa na afisa wa polisi aliyeripoti kuwa gari hilo ni mmoja ya magari ya ulinzi wa Rais.Afisa huyo wa polisi pia alisemekana kuwa mmoja wa maafisa wa polisi wa ulinzi wa Rais.
Tukio la wizi wa gari hilo, lilisababisha taharuki miongoni mwa maafisa wa ulinzi kwa sababu magari ya ulinzi wa Rais yenyewe yanapaswa kuwa na ulinzi mkali.
Takwimu za polisi zinaonyesha kuwa visa vitatu vya wizi wa magari huripotiwa mjini Nairobi kila siku.
Hiki ni kisa kimoja kati ya vingi vya wizi wa magari ambapo mtu yeyote anaweza kuathirika.
BBC

Huu ndiyo usajili wa klabu za Ligi Kuu ya England 2014-2015

http://i3.mirror.co.uk/incoming/article4073719.ece/alternates/s615/United-targets.jpg
DIRISHA la usajili kwa wachezaji barani Ulaya ulifungwa rasmi juzi, hapa chini tumewawekea orodha ya usajili kwa klabu za Ligi Kuu ya England. Ebu chungulia ujue nani kaenda wapi na nani katua wapi msimu huu.


ARSENAL

IN

Alexis Sanchez (Barcelona, £30m), Calum Chambers (Southampton, £12m), Mathieu Debuchy (Newcastle, £10m), David Ospina (Nice, £3m), Danny Welbeck (Manchester United, £16m)

OUT

Thomas Vermaelen (Barcelona, £15m), Johan Djourou (Hamburg, undisclosed), Thomas Eisfeld (Fulham, undisclosed), Bacary Sagna (Manchester City, free), Lukasz Fabianski (Swansea, free), Nicklas Bendtner (Wolfsburg, free), Park Chu-young (released), Chuks Aneke (Zulte Waregem, free), Daniel Boateng (released), Wellington Silva (Almeria, loan), Carl Jenkinson (West Ham, loan), Benik Afobe (MK Dons, loan), Ignasi Miquel (Norwich, undisclosed), Ryo Miyaichi (Twente, loan)

Click here for the latest Arsenal transfer news

ASTON VILLA

IN

Carlos Sanchez (Elche, £4.7m), Aly Cissokho (Valencia, £2m),  Philippe Senderos (Fulham, free), Joe Cole (West Ham, free), Tom Leggett (Southampton, undisclosed), Isaac Nehemie (Southampton, undisclosed), Kieran Richardson (Fulham, undisclosed)

OUT

Marc Albrighton (Leicester City, free), Nathan Delfouneso (Blackpool, free), Jordan Bowery (Rotherham, undisclosed), Samir Carruthers (MK Dons, undisclosed), Nicklas Helenius (Aalborg, loan), Yacouba Sylla (Kayseri Erciyesspor, loan), Jed Steer (Doncaster Rovers, loan), Antonio Luna (Hellas Verona, loan), Aleksandar Tonev (Celtic, loan), Joe Bennett (Brighton, loan), Gary Gardner (Brighton, loan)

Click here for the latest Aston Villa transfer news

BURNLEY

IN

Lukas Jutkiewicz (Middlesbrough, £2.5m), Michael Kightly (Stoke, undisclosed), Stephen Ward (Wolves, undisclosed), Marvin Sordell (Bolton, free), Matt Gilks (Blackpool, free), Matt Taylor (West Ham, free), Steven Reid (West Brom, free), George Boyd (Hull, £3m), Michael Keane (Manchester United, loan), Nathaniel Chalobah (Chelsea, loan)

OUT

Chris Baird (West Brom, free), Junior Stanislas (Bournemouth, free), David Edgar (Birmingham, free), Keith Treacy (Barnsley, free), Brian Stock (released), Nick Liversedge (Guisborough Town, free), Luke O'Neill (Scunthorpe, loan)

CHELSEA

IN

Cesc Fabregas (Barcelona, £30m), Diego Costa (Atletico Mdrid, £32m), Filipe Luis (Atletico, £16m), Loic Remy (QPR, £8m), Mario Pasalic (Hadjuk Split, undisclosed), Didier Drogba (Galatasaray, free)

OUT

David Luiz (Paris Saint-Germain, £50m), Romelu Lukaku (Everton, £28m), Demba Ba (Besiktas, £8m), Ashley Cole (Roma, £1.5m), Patrick van Aanholt (Sunderland, undisclosed), Samuel Eto'o (Everton, free), Frank Lampard (New York City, free), Sam Hutchinson (Sheffield Wednesday, free), Henrique Hilario (retired), Wallace (Vitesse Arnhem, loan), Bertrand Traore (Vitesse Arnhem, loan) Thorgan Hazard (Borussia Monchengladbach, loan), Mario Pasalic (Elche, loan), Ryan Bertrand (Southampton, loan), Gael Kakuta (Rayo Vallecano, loan), John Swift (Rotherham, loan), Oriol Romeu (Valencia, loan) Christian Atsu (Everton, loan), Victor Moses (Stoke, loan), Marko Marin (Fiorentina, loan), Josh McEachran (Vitesse Arnhem, loan), Patrick Bamford (Middlesbrough, loan), Fernando Torres (AC Milan, loan) Marco van Ginkel (AC Milan, loan), Nathaniel Chalobah (Burnley, loan), Jamal Blackman (Middlesbrough, loan)

Click here for the latest Chelsea transfer news

CRYSTAL PALACE

IN

Martin Kelly (Liverpool, £1.5m), Fraizer Campbell (Cardiff, £800,000), Chris Kettings (Blackpool, free), Brede Hangeland (Fulham, free), Wilfried Zaha (Manchester United, loan),
Zeki Fryers (Tottenham, £3m), James McArthur (Wigan, £7m), Kevin Doyle (Wolves, loan)

OUT

Jonathan Parr (Ipswich, free), Dean Moxey (Bolton, free), Aaron Wilbraham (Bristol City, free), Kagisho Dikgacoi (Cardiff, free), Danny Gabbidon (Cardiff, free), Neil Alexander (Hearts, free), Ibra Sekajja (released), Alex Wynter (Portsmouth, loan), Kwesi Appiah (Cambridge, loan), Jose Campana (Sampdoria, undisclosed), Jack Hunt (Nottingham Forest, loan), Stephen Dobbie (Fleetwood, loan), Glenn Murray (Reading, loan)
EVERTON

IN

Romelu Lukaku (Chelsea, £28m), Gareth Barry (Manchester City, free), Samuel Eto'o (Chelsea, free), Muhamed Besic (Ferencvaros, £4m), Brendan Galloway (MK Dons, undisclosed) Christian Atsu (Chelsea, loan)

OUT

Apostolos Vellios, (Lierse, free), Magaye Gueye (Millwall, free), Shane Duffy (Blackburn, undisclosed fee)

Click here for the latest Everton transfer news

HULL

IN

Robert Snodgrass (Norwich, £8m), Jake Livermore (Tottenham, £6m), Michael Dawson (Tottenham, £6m), Mohamed Diame (West Ham, £3.5m), Harry Maguire (Sheffield United, £2.5m), Andrew Robertson (Dundee United, £2.85m), Brian Lenihan (Cork City, undisclosed), Tom Ince (Blackpool, free), Gaston Ramirez (Southampton, loan), Hatem ben Arfa (Newcastle, loan), Abel Hernandez (Palermo, £10m), Mohamed Diame (West Ham, £3.5m)

OUT

Shane Long (Southampton, £12m)Matty Fryatt (Nottingham Forest, free), Cameron Stewart (Ipswich, free), Nick Proschwitz (Brentford, free), Robert Koren (Melbourne City, free), Abdoulaye Faye (released), Conor Henderson (Crawley, free), Dougie Wilson (released), Conor Townsend (Dundee United, loan), Joe Dudgeon (Barnsley, loan), George Boyd (Burnley, £3m)
LEICESTER CITY

IN

Leonardo Ulloa (Brighton, £7m), Danny Simpson (QPR, undisclosed), Esteban Cambiasso (Inter Milan, free), Matthew Upson (Brighton, free), Marc Albrighton (Aston Villa, free), Ben Hamer (Charlton, free), Jack Barmby (Manchester United, free), Louis Rowley (Manchester United, free), Tom Lawrence (Manchester United, £1m), Nick Powell (Manchester United, loan), Kris Scott (Swansea, free)

OUT

Lloyd Dyer (Watford, free), Neil Danns (Bolton, free), Sean St Ledger (released), Zak Whitbread (Derby, free), Paul Gallagher (Preston, loan), Marko Futacs (Mersin Idmanyurdu, free), George Taft (Burton Albion, free), Conrad Logan (Rochdale, loan), Ryan Watson (Northampton, loan)

LIVERPOOL

IN

Adam Lallana (Southampton, £23m), Lazar Markovic (Benfica, £20m), Mario Balotelli (AC Milan, £16m), Alberto Moreno (Sevilla, £12m), Emre Can (Bayer Leverkusen, £9.8m), Rickie Lambert (Southampton, £4m) Dejan Lovren (Southampton, £20m), Divock Origi (Lille, £10m), Kevin Stewart (Tottenham, free), Javier Manquillo (Atletico Madrid, loan)

OUT

Luis Suarez (Barcelona, £75m), Pepe Reina (Bayern Munich £2m), Martin Kelly (Crystal Palace, £1.5m), Conor Coady (Huddersfield, £500,000), Daniel Agger (Brondby, undisclosed), Jack Robinson (QPR, undisclosed), Luis Alberto (Malaga, loan), Iago Aspas (Sevilla, loan), Andre Wisdom (West Brom, loan), Divock Origi (Lille, loan), Brad Smith (Swindon, loan), Joao Carlos Teixeira (Brighton, loan), Tiago Llori (Bordeaux, loan), Jordan Ibe (Derby, loan), Sebastian Coates (Sunderland, loan), Oussama Assaidi (Stoke, loan)

Click here for the latest Liverpool transfer news

MANCHESTER CITY

IN

Eliaquim Mangala (Porto, £32million)Fernando (Porto, £12m), Willy Caballero (Malaga, £6m), Bruno Zuculini (Racing Club, £3m), Bacary Sagna (Arsenal, free), Frank Lampard (New York City, loan)

OUT

Javi Garcia (Zenit, £13m), Costel Pantilimon (Sunderland, free), Joleon Lescott (West Brom, free) Gareth Barry (Everton, free), Alex Nimely (released), Rony Lopes (Lille, loan), Emyr Huws (Wigan, undisclosed), Reece Wabara (Doncaster Rovers, free), Jack Rodwell (Sunderland, £7m), Jason Denayer (Celtic, loan), Micah Richards (Fiorentina, loan), Alvaro Negredo (Manchester City, loan)

Click here for the latest Manchester City transfer news

MANCHESTER UNITED

IN

Angel di Maria (Real Madrid £59.7m), Luke Shaw (Southampton, £31.5m), Ander Herrera (Athletic Bilbao, £29m), Marcos Rojo (Sporting Lisbon, £16m), Daley Blind (Ajax, £14m), Vanja Milinkovic (FK Vojvodina, undisclosed), Radamel Falcao (Monaco, loan)

OUT

Shinji Kagawa (Borussia Dortmund £6.3m), Alexander Buttner (Dinamo Moscow, £5.6m)Patrice Evra (Juventus, £2.5m) Bebe (Benfica, £2.4m), Rio Ferdinand (QPR, free), Nemanja Vidic (Inter Milan, free), Federico Macheda (Cardiff City, free), Jack Barmby (Leicester, free), Louis Rowley (Leicester, free) Ryan Giggs (retired), Angelo Henriquez (Dinamo Zagreb, loan), Nani (Sporting Lisbon, loan), Wilfried Zaha (Crystal Palace, loan) Javier Hernandez (Real Madrid, loan), Tom Lawrence (Leicester, £1m), Danny Welbeck (Arsenal, £16m), Nick Powell (Leicester, loan), Michael Keane (Burnley, loan)

Click here for the latest Manchester United transfer news

NEWCASTLE

IN

Remy Cabella (Montpellier, £12m), Emmanuel Riviere (Monaco, £6m), Siem de Jong (Ajax, £6m), Daryl Janmaat (Feyenoord, £5m), Jamaal Lascelles and Karl Darlow (Nottingham Forest, £7million - joint fee), Ayoze Perez (Tenerife, £1.5m), Jack Colback (Sunderland, free), Facundo Ferreyra (Shakhtar Donetsk, loan)

OUT

Mathieu Debuchy (Arsenal, £10m), James Tavernier (Wigan, undisclosed), Dan Gosling (Bournemouth, free), Shola Ameobi (Gaziantep, free), Romain Amalfitano (Dijon, free), Conor Newton (Rotherham, free), Michael Richardson (released), Sylvain Marveaux (Guingamp, loan), Jamaal Lascelles (Nottingham Forest, loan), Karl Darlow (Nottingham Forest loan), Adam Campbell (Fleetwood, loan), Mapou Yanga-Mbiwa (Roma, loan),Hatem ben Arfa (Hull, loan)

Click here for the latest Newcastle transfer news

QUEENS PARK RANGERS

IN

Steven Caukler (Cardiff, £8m), Leroy Fer (Norwich, £7m), Jordon Mutch (Cardiff, £6m), Alex McCarthy (Reading, £6m), Jack Robinson (Liverpool, undisclosed), Rio Ferdinand (Manchester United, free), Mauricio Isla (Juventus, loan), Eduardo Vargas (Napoli, loan), Sandro (Tottenham, £10m), Niko Kranjcar (Dynamo Kiev, loan)

OUT

Loic Remy (Chelsea, £8m), Yossi Benayoun (Maccabi Haifa, undisclosed), Esteban Granero (Real Sociedad, undisclosed), Danny Simpson (Leicester, undisclosed), Julio Cesar (Benfica, free), Tom Hitchcock (Mk Dons, free), Aaron Hughes (Brighton, free), Gary O'Neil (Norwich, free), Stephabne Mbia (Sevilla, free), Andrew Johnson (released), Luke Young (released), Hogan Ephraim (released), Angelo Balanta (released), Park Ji-sung (retired), Jack Robinson (Huddersfield, loan), Samba Diakite (Al-Ittihad, loan)

Click here for the latest Queens Park Rangers transfer news

SOUTHAMPTON 

IN

Shane Long (Hull, £12m), Sadio Mane (Red Bull Salzburg (£11.8m), Dusan Tadic (Twente, £10.3m), Fraser Forster (Celtic, £10m), Graziano Pelle (Feyenoord, £8m), Florin Gardos (Steaua Bucharest, undisclosed), Ryan Bertrand (Chelsea, loan), Toby Alderweireld (Atletico Madrid, loan)

OUT

Luke Shaw (Manchester United, £31.5m), Adam Lallana (Liverpool, £23m),  Dejan Lovren (Liverpool, £20m), Calum Chambers (Arsenal, £12m), Rickie Lambert (Liverpool, £4m), Billy Sharp (Leeds, undisclosed), Tom Leggett (Aston Villa, undisclosed), Isaac Nehemie (Aston Villa, undisclosed), Guly do Prado (released), Lee Barnard (Southend, free), Jonathan Forte (Oldham, free), Danny Fox (Nottingham Forest, free), Andy Robinson (Bolton, free), Dani Osvaldo (Inter Milan, loan), Jos Hooiveld (Norwich, loan), Gaston Ramirez Hull (loan), Jack Stephens (Swindon, loan)

Click here for the latest Southampton transfer news


STOKE

IN

Mame Biram Diouf (Hannover, free), Dionatan Teixeira (Banska Bystrica, undisclosed), Phil Bardsley (Sunderland, free), Steve Sidwell (Fulham, free), Bojan Krkic (Barcelona, undisclosed), Victor Moses (Chelsea, loan), Oussama Assaidi (Liverpool, loan)

OUT

Michael Kightly (Burnley, undisclosed), Cameron Jerome (Norwich, undisclosed), Matthew Etherington (released), Juan Agudelo (released), Jamie Ness (Crewe, loan), Ryan Shotton (Derby, loan)

Click here for the latest Stoke transfer news

SUNDERLAND

IN

Jack Rodwell (Man City, £7m), Patrick van Aanholt (Chelsea, undisclosed), Billy Jones (West Brom, free), Jordi Gomez (Wigan, free), Costel Pantilimon (Manchester City, free), Santiago Vergini (Estudiantes, loan), Will Buckley (Brighton, £2.5m), Sebastian Coates (Liverpool, loan), Ricky Alvarez (Inter Milan, loan)

OUT

Ignacio Scocco (Newell's, £800,000), David Moberg Karlsson (Nordsjaelland, undisclosed), Jack Colback (Newcastle, free), Craig Gardner (West Brom, free), Phil Bardsley (Stoke, free), Billy Knott (Bradford, free) Keiren Westwood (Sheffield Wednesday, free), Carlos Cuellar (Norwich, free), Andrea Dossena (released), Louis Laing, Nottingham Forest, free), Oscar Ustari (Newell's, free), David Vaughan (Nottingham Forest, free), John Egan (Gillingham, free), Alfred N'Diaye (Real Betis, free), El Hadji Ba (Bastia, loan), Modibo Diakite (free), Valentin Roberge (Stade de Reims, loan)

Click here for the latest Sunderland transfer news

SWANSEA

IN

Federico Fernandez (Napoli, £8m), Jefferson Montero (Monarcas Morelia, £4m), Marvin Emnes (Middlesbrough, £1.5m), Stephen Kingsley (Falkirk, undisclosed), Gylfi Sigurdsson (Tottenham, swap), Adnan Maric, GAIS, undisclosed), Daniel James (Hull, undisclosed), Bafetimbi Gomis (Lyon, free), Lukasz Fabianski (Arsenal, free), Giancarlo Gallifuoco (Tottenham, free), James Demetriou (Nottingham Forest, free), Tom Carroll(Tottenham, loan), Modo Barrow (Ostersunds, undisclosed fee)

OUT

Ben Davies (Tottenham, £10m), Michel Vorm (Tottenham, £5m) Alejandro Pozuelo (Rayo Vallecano, undisclosed), Leroy Lita (Barnsley, free), Chico Flores (Lekhwiya, free), Pablo Hernandez (Al Arabi, free), Darnel Situ (AGF, free), David N'Gog (Stade de Reims, free), Jose Canas (Espanyol, free), Jernade Meade (released), Michu (Napoli, loan), Daniel Alfei (Northampton, loan), Alex Bray (Plymouth Argyle, loan), Kris Scott (Leicester, free)

Click here for all the latest Swansea transfer news

TOTTENHAM

IN

Federico Fazio (Sevilla, £8m), Ben Davies (Swansea, swap), Michel Vorm (Swansea, £5m), Benjamin Stambouli (Montpellier, £4.7m), Eric Dier (Sporting Lisbon, £4m) DeAndre Yedlin (Seattle Sounders, undisclosed)*

*will join in summer 2015

OUT

Jake Livermore (Hull, £6m), Michael Dawson (Hull, £6m), Gylfi Sigurdsson (Swansea, swap), Iago Falque (Genoa, £4m) Heurelho Gomes (Watford, free), Giancarlo Gallifuoco (Swansea, free) Cameron Lancaster (Stevenage, free), Kevin Stewart (Liverpool, free), Alex Pritchard (Brentford, loan), Shaquile Coulthirst (Southend, loan), Tom Carroll (Swansea, loan), Ryan Fredericks (Middlesbrough, loan), Zeki Fryers (Crystal Palace, £3m), Jonathan Obika (Swindon Town, undisclosed), Tomislav Gomelt (Bari, undisclosed), Souleymane Coulibaly (Bari, undisclosed), Lewis Holtby (Hamburg, loan), Sandro (QPR, £10m)

Click here for the latest Tottenham transfer news

WEST BROMWICH ALBION

IN

Brown Ideye (Dynamo Kiev, £10m), Sebastien Pocognoli (Hannover 96, undisclosed), Sebastian Blanco (Metalist, undisclosed), Jason Davidson (Heracles, undisclosed), Cristian Gamboa (Rosenborg, undisclosed), Georgios Samaras (Celtic, free), Craig Gardner (Sunderland, free), Joleon Lescott (Manchester City free), Chris Baird (Burnley, free), Andre Wisdom (Liverpool, loan), Silvestre Varela (Porto, loan)

OUT

Liam Ridgewell (Portland Timbers, free), Billy Jones (Sunderland, free), Steven Reid (Burnley, free), Cameron Gayle (Shrewsbury, free), Diego Lugano (released), Zoltan Gera, Ferencvaros), Nicolas Anelka (released), George Thorne (Derby County, undisclosed)

Click here for the latest West Bromwich transfer news

WEST HAM

IN

Enner Valencia (Pachuca, £12m), Cheikhou Kouyate (Anderlecht, £7m), Mauro Zarate (Velez Sarsfield, undisclosed), Diafra Sakho (Metz, undisclosed), Aaron Cresswell (Ipswich, undisclosed), Diego Poyet (Charlton, undisclosed), Carl Jenkinson (Arsenal, loan), Alex Song (Barcelona, loan), Morgan Amalfitano (Marseille, £1m)

OUT

Mohamed Diame (Hull, £3.5m), Joe Cole (Aston Villa, free), Matt Taylor (Burnley, free), Stephen Henderson (Charlton, free), Jack Collison (released), George McCartney (released), Callum Driver (Whitehawk, free), Jordan Spence (MK Dons), George Moncur (Colchester, free), Alou Diarra (released), Modibo Maiga (Metz, loan), Mohamed Diame (Hull, £3.5m)

Click here for the latest West Ham transfer news