STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, June 24, 2016

Klopp amfungia kazi Sadio Mane, ataka kumng'oa Southampton

https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2016/04/2626524.main_image.jpg
Sadio Mane aliyeingia rada za Liverpool
VIJOGOO vya Anfield, Klabu ya Liverpool imeingia mawindoni  kumwinda straika wa Southampton, Sadio Mane katika uhamisho wa kitita cha Pauni Milioni 30.
Mkufunzi wa klabu hiyo, Jurgen Klopp anamtaka nyota huyo wa Senegal mwenye  miaka 24 ili kuimarisha safu ya ushambuliajina amepanga kuufanya uhamisho wake kuwa wa kihistoria katika klabu hiyo.
Liverpool na Southampton zitaendelea kufanya mazungumzo kuhusu mpango huo, huku kitita hicho cha uhamisho huo kikiwa kuwa ni suala muhimu zaidi.
Southampton inadaiwa kutaka Pauni Milioni 40 kwa Mane aliyefunga mabao 11 katika mechi 37 alizocheza msimu uliopita wa EPL.
Kitita hicho ni zaidi ya Pauni Milioni 10 ya kile kinachopendekezwa kutolewa na Liverpool, jambo ambalo limefanya mazungumzo kurefushwa zaidi ili kupata muafaka kabla ya njyota huyo kuachiwa atue Anfield.
Southampton ipo mbioni pia kumsaka mrithi wa Ronald Koeman aliyejiunga na klabu ya Everton hatua ambayo huenda ikachelewesha mpango huo.
Klopp alipendezwa na Mane ambaye alihusishwa sana na uhamisho wa Old Trafford wakati wa Louis Van Gaal wakati alipofunga mara mbili baada ya Southampton kutoka nyuma 2-0 na kuiadhibu Liverpool 3-2.

Southampton yampotezea Pellegrini, njia nyeupe kwa Puel

https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2016/06/nintchdbpict000233254556.jpg?w=688
Manuel Pellegrini
http://i.eurosport.com/2016/02/06/1790003-37797351-2560-1440.jpg?w=1050
Claude Puel
http://e0.365dm.com/16/06/768x432/victor-wanyama-spurs_3489343.jpg?20160623221243
Victor Wanyama aliyetua Spurs
IKIWA imeshampoteza kiungo mkabaji wake, Mkenya Victor Wanyama, klabu ya Southampton imedaiwa kuachana na mpango kumnyakua kocha wa zamani wa Manchester City, Manuel Pellegrini.
Klabu hiyo ilidaiwa ilikuwa mbioni kumpa ajira Kocha Pellegrini mwenye miaka 62 ili kuziba nafasi ya Ronald Koeman aliyetimkia Everton, hata hivyo mpango huo umefutwa na sasa inaelezwa njia nyeupe kwa Mfaransa, Claude Puel wa klabu ya Nice.
Imeelezwa Southampton imeachana na Pellegrini na kumgeukia Puel anayeinoa Nice kutokana na kubaini katika mazungumzo yao Kocha huyo kutoka Chile hawezi kuendana na falsafa ya klabu hiyo katika suala zima la maendeleo ya soka la vijana.
Mashabiki wa klabu hiyo wamekuwa na shauku kubwa ya kumuona bosi huyo wa zamani wa Real Madrid na Villareal, aliyetwaa taji la Ligi Kuu ya England miaka miwili iliyopita akitua klabu kwao ili kuchukua nafasi ya Kocha Ronald Koeman aliyewakacha na kuhamia Everton mapema mwezi huu kwa ajili ya msimu ujao.
Southampton inahaha kusaka kocha wakati kiungo wake Mkenya Victor Wanyama akiwa ametimka zake Tottenham Hotspur aliposaini mkataba wa miaka mitano kwa ajili ya msimu ujao na kumpa nyota huyo fursa ya kukipiga Ligi ya Mabingwa Ulaya
.

Mchezaji alimwa kadi nyekundu kwa kupupua uwanjani

http://cdn.adelove.com/wp-content/uploads/2016/06/Adam-Lindin-Ljungkvist.jpg
PERSHAGEN, Sweden
SIKIA hii. Inawezekana haijawahi kutokea kokote, ila mwamuzi mmoja wa soka nchini Sweden amemlima kadi mbili za njano kisha kumtoa kwa nyekundu, beki wa  Pershagen SK, Adam Lindin Ljung-kvist kwa kosa la kupupua (kujamb**) uwanjani.
Beki huyo wa timu hiyo ya ligi ya daraja la chini alikumbwa nakisanga hicho katika mechi dhidi ya
Järna SK na alipokuwa katika harakati za kushangaa kuhusiana na hatua ya refa huyo, alipigwa kadi nyekundu na kuondolewa uwanjani.
Mwamuzi huyo alitaja kitendo cha Adam cha kutoa ushuzi kama tabia isiyo njema kwa mchezaji.
Lakini kulingana na Adam, alidhani alikuwa akifanya hivyo kimaumbile tu na wala hakuwa na nia ya kumchafulia refa hewa.
Taarifa hiyo imeibua malumbano makubwa kote duniani katika mtandao wa kijamii, huku wengine wakisema kuwa hiyo ni mara ya kwanza kwa mchezaji soka kupigwa kadi nyekundu kwa sababu ya kuchafua hewa.

Yanga yakwama kotekote dhidi ya Tp Mazembe


Kikosi cha Yanga

Mashabiki wa Yanga
WAMEKWAMA kotekote. Klabu ya Yanga ilipanga mechi yao dhidi ya TP Mazembe ichezwe usiku wa Jumatano, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likaigomea. Haikuchoka ikatafuta mbinu nyingine na kuzuia kigoma cha Wakongo kinachoshangilia bila kuchoka wakiungane na watani zao, Simba kwenye Uwanja wa Taifa kwa kutaka kuhodhi majukwaa yote, nalo likagonga mwamba mbele ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyowagomea leo Ijumaa.
TFF kupitia Afisa Habari wake, Alfred Lucas imesema Yanga hairuhusiwi kuyakalia majukwaa yote kama walivyoomba na wakidhubutu wataipata freshi, kwani Kamati ya Mashindano imegomea mchongo wao huo.
Akizungumza leo, Lucas alisema mpango huo wa Yanga hakubaliki na kwamba watatumia jukwaa lao na mengine watatumia wapinzani na watu wengine watakaofika uwanjani Jumanne ijayo, siku itakayopigwa mechi hiyo.
Mechi hiyo itapigwa Saa 10 jioni ya Juni 28 na sio Saa 1:30 usiku wa Jumatano kama walivyoomba awali Yanga kwa sababu wamechelewa kuwasilisja ombi hilo ofisi za CAF ambazo zimewajibu kuwa ratiba itakuwa ile ile ya awali ya Juni 28.
Yanga inahitaji ushindi kwenye mchezo huo wa pili kwao na wa kwanza nyumbani katika Kundi A ya michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kulala ugenini 1-0 dhidi ya MO Bejaia ya Algeria.
Mazembe wanatarajia kutua nchini Jumapili wakipishana saa chache tu na Yanga ambao kwa sasa wapo kambini Antalya wakijifua kujiandaa na mchezo huo.
Baada ya mechi hiyo Yanga inayonolewa na Kocha Hans Pluijm itawasubiri Waghana wa Medeama kwa mchezo wao mwingine katikati ya Julai kabla ya kuifuata kwao Ghana, ambapo ni lazima ishinde mechi hizo tatu kufufua tumaini ya kutinga nusu fainali ili waogelee mihela ya CAF kupitia michuano hiyo ya pili kwa ukubwa Afrika kwa ngazi za klabu baada ya Ligi ya Mabingwa Afrika.


Msimamo wa Kundi A:

Mazembe  1 1 0 0 3 1 3
Bejaia       1 1 0 0 1 0 3
Yanga       1 0 0 1 0 1 0
Medeama  1 0 0 1 1 3 0 

Mbeya City yaibomoa Prisons, yamnyakua mfungaji wao mkali

IMG_20160623_220042
Mkopi akisaini mkataba wa kuichezea Mbeya City
MSHAMBULIAJI nyota wa kikosi cha Prisons-Mbeya, Mohammed Mkopi ameikacha timu hiyo na kutua Mbeya City FC.
Mkopi aliyesaidia na Jeremiah Juma kuibeba Prisons katika Ligi Kuu Bara msimu uliopita wakifunga jumla ya mabao 21 amesaini kandarasi ya mwaka mmoja.
Mara baada ya kusaini kandarasi hiyo, Mkopi, aliyewahi kucheza pia timu ya Mtibwa Sugar alisema  kuwa anamshukuru Mungu kwa kufanikiwa kujiunga na City timu ambayo alikuwa na ndoto za kuichezea  hata kabla ya kusajiliwa na Prison msimu uliopita.
“Kabla sijasajiliwa na Prisons ndoto yangu ilikuwa ni kucheza kwenye timu hii, nashukuru Mungu baada ya msimu mmoja hili limefanikiwa, nitakuwa hapa msimu ujao, lengo langu ni kufanya kazi kwa nguvu  ili niendelee kuwa sehemu ya kikosi hiki kwa muda mrefu zaidi” alisema aliyefunga mabao matano msimu uliopita.

Hivi hili ni soka kweli au vita?

Magoli yaliyowavuruga Waarabu wa ES Setif na kulianzisha

CAF yaing'oa ES Setif kwa vurugu Ligi ya Mabingwa Afrika

http://www.aps.dz/en/media/k2/items/cache/4e4b1fc9eeea638a4484d9ff6d1e996c_XL.jpg
Entente Sportivo Setif iliyong'oka Afrika kwa vurugu
Hali ilivyokuwa katika mechi hiyo kwa vurugu za mashabiki wa ES Setif
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeiondoa klabu ya ES Setif ya Algreia kutokana na vurugu za mashabiki wao wakati wa pambano lao dhidi ya Mamelodi Sundowns, ambapo matokeo yake yamefutwa kwa sasa.
Katika mchezo huo uliopigwa wiki iliyopita mjini Setif, Algeria, Mamelodi iliitambia wenyeji kwa mabao 2-0 na kuibua hasira kwa mashabiki wa klabu hiyo ya Algeria kwa kulianzia mbungi wakirusha mawe, chupa na kufyatua fataki kasi cha kuhatarisha usalama na kufanya mwamuzi kulisimamisha pambano kabla ya muda.
Baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF inayohusika na mashindano ngazi ya klabu kukutana na kupitia ripoti ya mchezo huo imeridhika na kuamua kuiondoa Setif kwa kukutwa na hatia ya kushindwa kuthibiti mashabiki wake.
Kwa maana hiyo matokeo ya mchezo huo yamefutwa na Mamelodi pamoja na timu za Enyima ya Nigeria na Zamalek ya Misri wamebakishwa kwenye kundi hilo la B, ambalo kwa sasa litakuwa likiongozwa na Zamalek waliifunga Enyimba ugenini kwa bao 1-0.
Kwa muda mrefu klabu kutoka Afrika Kaskazini kupitia mashabiki wake wamekuwa wepesi wa kufanya vurugu na kuvuruga mechi zinazochezwa viwanja vyao vya nyumbani na hata ugenini kwa kurusha fataki na vikokoro vingine hasa zikifungwa.

Vurugu hizi ndizo zilizoing'oa ES Setif Ligi ya Mabingwa Afrika

Thursday, June 23, 2016

RB Battery yanogewa Mbeya City, yaongeza mkataba mpya

KAMPUNI ya BinSlum Tyre ya jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi imesaini mkataba mpya wa miaka miwili wenye thamani ya Sh. 360 Milioni kuendelea kuidhamini klabu ya Mbeya City FC.
777
Mara baada ya kusaini mkataba huo, Kaimu Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Mohammed BinSlum alisema, licha ya City kuwa na matokeo yasiyoridhishwa kwa msimu uliopita, lakini wameridhishwa kwa kiasi kikubwa namna ambavyo timu hii ilishiriki katika kuitangaza bidhaa yao  na kuifikisha sehemu ilipostahili kufika.
“City haikuwa na matokeo mazuri msimu ulipopita, lakini hatuna shaka na namna walivyoitangaza bidhaa yetu, imani yetu kubwa ni kuwa  mkataba huu mpya itakuwa chachu kwao ya kufanya vizuri zaidi msimu ujao,”  alisema BinSlum.
Naye Meya wa Jiji la Mbeya, David Mwasilindi, aliishukuru kampuni ya BinSlum kwa kuthamini mchango wa City licha ya matokeo mabaya  msimu uliopita ambapo timu hiyo ilimaliza katika nafasi ya nane.
“Hatukuwa sawa msimu uliopita, matokeo tuliyoyapata si yale ambayo tumekuwa tukiyapata misimu miwili iliyopita, imani yangu kubwa tutafanya vizuri msimu ujao, nawashukuru BinSlum kwa kutambua mchango wetu kwao, hii ni chachu kwetu kuelekea mafanikio ya msimu ujao” alisema.
ccc

Chelsea yammezea mate Koulibaly wa Napoli,

http://img.20mn.fr/txPrUEwrTRCJig7saa8abQ/2048x1536-fit_kalidou-koulibaly-lors-lazio-naples-18-janvier-2015.jpg
Kalidou Koulibaly
IKIJIANDAA kumpokea Kocha wake mpya, Antonio Conte, klabu ya Chelsea imedaiwa ipo kwenye mawindo dhidi ya beki wa Napoli, Kalidou Koulibaly ikitoa  ofa ya Pauni Milioni 19.2.
Chelsea imekuwa ikimzimia kupita kiasi beki huyo wa kimataifa wa Senegal, ambaye ameingia katika mzozo na klabu yake kuhusiana na uhamisho wake.
Licha ya mzozo huo, tayari kuna taarifa kwamba ofa hiyo ya Chelsea imeshakataliwa na Napoli ikidaiwa inataka kitita cha Pauni Milioni 30, ili imuachie nyota huyo mwenye umri wa miaka 24.
Klabu ya Napoli ilichukizwa na Koulibaly kufuatia madai aliyotoa kuwa yuko tayari kuzungumza na Chelsea.
Beki huyo alisema hajazungumza na Kocha Antonio Conte, lakini anadhani hilo litafanyika hivi karibuni, baada ya kumaliza majukumu yake ya Euro akiiongoza timu ya taifa ya Italia iliyotinga hatua ya 16 Bora kwa sasa nchini Ufaransa

Copa America 2016 ni Chile na Argentina tena

Fun and games in Chicago. 
https://heavyeditorial.files.wordpress.com/2016/06/gettyimages-542227446.jpg?quality=65&strip=all&strip=allCHILE imetinga fainali za Copa America kwa mara ya pili mfululizo na watavaana na Argentina katiak mechi inayorejea fainali za mwaka jana ambapo ilibeba taji kwa ushindi wa bao 1-0.
Watetezi hao walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Colombia katika mechi ya Nusu Fainali iliyosimama kwa muda wa saa mbili kutokana na hali mbaya ya hewa ya jiji la Chicago lililotumiwa kwa mchezo huo mkali.
Mabao ya mapema ya kipindi cha kwanza kupitia kwa Charles Aranguiz aliyefunga dakika ya 7 na jingine la Jose Fuenzalida aliyetumbukiza kimiani dakika 11 yalitosha kwa Chile kutinga fainali na sasa itavaana na Argentina iliyotangulia mapema jana.
Argentina iliisasambua wenyeji Marekani kwa kuicapa mabao 4-0, huku nahodha Lionel Messi akifunga bao la tatu lililomfanya aweke rekodi ya kuwa Mfungaji Bora wa muda wote wa taifa hilo akifikisha bao la 55 na kuipiku rekodi ya Gabriel Batistuta aliye na mabao 54.
Katika fainali zilizopita Argentina ilikubali kipigo cha mkwaju ya penalti 4-1 na kuwapa wenyeji Chile taji lao la kwanza katika historia ya michuano hiyo iliyoasisiwa miaka 100 iliyopita (1916).
Pambano hilo la fainali za mwaka huu zitachezwa Jumapili kwenye Uwanja wa
MetLife, East Rutherford ambapo pia mbali na mataifa hayo kusaka ubingwa pia zitakuwa katika vita ya nyota wao, Eduardo Vargas wa Chile mwenye mabao 6 na Messi mwenye mabao matano watakaokuwa wakiwania Kiatu cha Dhahabu
.

Chile ilivyoifuata Argentina fainali za Copa America 2016

Ronaldo azinduka, Ureno yapenya 16 Bora, Ufaransa, Ireland kimbembe

ronaldo.jpg
Ronaldom akishangilia moja ya mabao yake ya usiku wa kuamkia leo yaliyoibeba Ureno kuambulia sare na kutinga 16 Bora
CRISTIANO Ronaldo ameondoa gundu kwa kuifungia timu yake mabao mawili wakati Ureno ikisaka sare ya tatu mfululizo katika mechi zake za Kundi F za michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya (Euro 2016) dhidi ya Hungary.
Timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana mabao 3-3, huku Ureno kupitia Ronaldo wakilazimika kusawazisha mara zote kuambulia pointi iliyowabeba kama mshindwa bora.
Sare hiyo imeisaidia Ureno kuingia hatua ya mtoano ya 16 Bora kama mshindi wa tatu na sasa itakutana na Croatia katika mechi itakayopigwa Jumamosi hii.
Iceland inayoshiriki kwa mara ya kwanza imendelea kufanya maajabu kwa kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Austria na kusonga mbele kama mshindi wa pili wa kundi hilo wakilingana pointi na vinara Hungary.
Italia nayo ilipoteza mechi yake ya mwisho dhidi ya Ireland nma Belgium ikaizabua Sweden bao 1-0 na kumtia aibu Zlatan Ibrahimovic ambaye amestaafu timu hiyo akishindwa kuifungia timu yake bao lolote katika fainali hizo za Euro 2016. Sweden imeaga michuano hiyo ikiwa ina pointi moja na bao moja la kufunga.
Kwa mujibu wa ratiba ya hatua hiyo ya 16 Bora, wenyeji Ufaransa watavaana na Ireland na kukumbushia tukio la mwaka 2010 wakati Thierry Henry alipoivusha timu yake kwa bao la mkono dhidi na wapinzani wao hao.
Ratiba kamili ya 16 Bora ipo hivi:
Juni 25, 2016
Uswisi  v    Poland       
Wales    v   Ireland ya Kaskazini
Croatia v    Ureno

Juni 26, 2016
Ufaransa    v Ireland       
Ujerumani v Slovakia
Hungary    v Belgium       

Juni 27, 2016
Italia      v Hispania
England v Iceland

Wednesday, June 22, 2016

Hapana chezea Isha Mashauzi

Zaidi ya watu 30 wauwawa Libya

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCVr1da4GQufI6f7fv74iiVc0627Y6UABJL2guBHijQ6toVF7TK8gi380ZbSoUtUUVH7wRW8kPQLhJ84quuCFQ70x6TfQm4AOJ0kHsrTISXMtUavqoZf2nwsmqE0FxYfqDzLHlJRby3gE/s1600/Wapiganaji+wa+NTC+mjini+Sirte.jpg
Picha haihusiani na taarifa hii
SIMANZI. Zaidi ya watu 30 wamepotea maisha katika mapigano baina ya Jeshi la Libya na wapiganaji wa kikundi cha IS.
Inaelezwa mapigano hato yamesananisha vifo hivyo, huku mamia wakiachwa majeruhi, kipindi hiki ambacho waumini wa Kiislam wapo kwenye Mfungo wa Ramadhani.
Kwa mujibu wa BBC Swahili, Msemaji wa hospitali moja alisema kuwa wapiganaji 36 wameuawa huku wengine karibu 140 wakijeruhiwa katika mji wa Sirte ambao ni ngome ya Islamic state.
Wakati huo huo taarifa zinasema kuwa idadi ya watu waliouawa wakati mlipuko ulitokea katika ghala la silaha kwenye mji ulio magharibi wa Garabulli imeongezeka hadi watu 29.
Ghala hilo liliripotiwa kuwa ndani ya kambi inayotumiwa na wapiganaji kwenye mji wa Misrata pwani ya nchi.

TFF mnatania au mnawataka ubaya Wekundu wa Msimbazi?!

http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2016/04/Alfred-Lucas.png
Afisa Habari wa TFF, Alfred Lucas
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguD-aZGG5X59TJ_U5wBcN4j_dmq1GHSge94N-6O3EvLKtFeSYpVKM2frwbCVbwcv0jznXiFEatblJrg-Z12VhIt6yK2CbIpq0_jojZb5CdYPWrHCiCJMnlQSiO1lCdWepV75H9GbZSbkk/s1600/MMG25686.jpg
Mashabiki wa Al Ahly wakipewa sapoti na mashabiki wa Simba wakati wa mechi baina ya Wamisri hao na Yanga lililochezwa Uwanja wa Taifa hivi karibuni
BILA shaka Simba watakuwa wanacheka huko walipo, baada ya kulisikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likiwaangukia na kuwataka wawe na uzalendo kwa kuishangilia Yanga itakapokuwa ikiumana na TP Mazembe Jumatano ijayo.
Simba na Yanga kwa miaka mingi zimekuwa zikishindwa kupigana tafu kwenye mechi zao za kimataifa, kwa tabia yao ya kushangilia wageni na kufikia hatua ya kuvaa jezi ya timu pinzani inayocheza na mmoja wao, lakini TFF kupitia Afisa Habari wake, Alfred Lucas imewaomba mashabiki kuwa wazalendo kuisapoti Yanga.
Lucas alisema TFF inawaomba mashabiki waje kwa wingi uwanjani kwa ajili ya kushangilia kwani wanaamini mashabiki ni mchezaji wa 12 na uwepo wao utaongeza ari ya ushindi.
"Tunafahamu mchezo wa Yanga utakuwa na changamoto zake kwa vile  wameanza kwa kufungwa na TP Mazembe wanaongoza kundi lakini tunaamini watafanya vizuri kwani inachezwa kwa mtindo wa ligi hivyo mashabiki waje kushangilia timu zetu.", alisema Lucas.
Yanga itacheza na Mazembe Juni 29 kwenye mchezo wa Kundi A ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika na kusisitiza kuwa mafanikio ya Yanga ni faida kwa soka la Tanzania na kuomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kuiunga mkono kama ambavyo anataka wajitokeze Jumapili kuishangilia Serengeti Boys itakayocheza na  Shelisheli mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Vijana U17 Afrika.

Tayari mashabiki wa Simba wameshaanza kununua jezi za Mazembe ili kuwaunga mkono katika mechi hiyo na iwapo watasikia ombi hilo la TFF lazima wataumia mbavu kwa kucheka kwani ni jambo lisilowezekana kwao kama ambavyo kigogo wa klabu hiyo, Zakaria Hanspoppe aliwahi kukaririwa akisema huwa anahisi kichefuchefu akitajiwa jina la Yanga.

Jose Mourinho kumvuta Matic Man United

Matic na Mourinho walipokuwa Chelsea
KOCHA Mpya wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho anatarajiwa kumchukua nyota wake wa zamani aliyemnoa akiwa Chelsea kwa kubadilishana na Mchezaji wake mmoja kwa mujibu wa duru za kispoti za England.
Imeripotiwa kuwa wakati dirisha la usajili likitarajkiwa kufunguliwa Julai Mosi, Kocha Mourinho anatarajiwa kuitumia shauku ya Meneja mpya wa Chelsea kutoka Italy, Antonio Conte ya kumhusudu beki toka Italia, Matteo Darmian kwa kumtoa kama Ofa ya kumchukua kiungo wa Chelsea Nemanja Matic.
Tayari Mourinho ameshaanza kuisuka upya Man United kwa kumnunua beki wa kati kutoka Villareal, Eric Bailly na anatarajiwa kuongeza wapya wengine.
Matic, Mchezaji wa Kimataifa wa Serbia, alikuwa nyota wa kwanza kwa Mourinho kumnunua aliporudi Chelsea kwa mara ya pili kwa kumsaini mwaka 2014 kutoka Benfica na sasa inaelekea Mourinho anataka kuungana tena na Matic.
Chini ya Mourinho, Matic alikuwa na msimu mzuri wa kwanza huko Stamford Bridge na kuweza kutwaa Ubingwa wa England, lakini Msimu uliopita, hasa Mourinho alipotimuliwa Desemba mwaka jana, Matic hakuwa na namba mara kwa mara kikosini.
Haijulikani kama Matic atakuwa vipi chini ya Kocha Conte ambae bado hajatua rasmi huko Chelsea kwani yupo bado yupo na kikosi cha timu ya taifa ya Italia katika fainali za Euro 2016 zinazoendelea Ufaransa.
Magazeti huko England yamedai Darmian yupo kwenye uhusiano mzuri na Conte katika timu ya Italia, kwani panga pangua hakosi namba na hilo limeleta imani kuwa anamtaka wawe wote Chelsea.
Darmian amekuwa na msimu mchanganyiko Man United ambako alitua mwaka jana kutoka Torino ya Italia na hilo, pengine ndio linamfanya Mourinho amtoe kafara ili amnase Matic ambae hucheza kwa kutumia nguvu katikati ili kuimarisha safu yake mpya.

Yanga yaamua kuwachezesha Mazembe usiku

Kikosi cha Yanga

Mashabiki watakaoishangilia timu yao usiku Uwanja wa Taifa
Baadhi ya nyota wa Yanga akiwamo Nahodha Nadir Haroub Cannavaro atakayekuwepo kuivaa Mazembe
IMEFAHAMIKA kuwa, pambano la Yanga dhidi ya TP Mazembe la Kundi A michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika litapigwa usiku wa Jumatano na sio Jumanne kama ilivyotangazwa awali.
Kwa mujibu kutoka kwa Msemaji wa klabu hiyo, Jerry Muro, mechi yao itapigwa majira ya saa 1:30 usiku kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Muro alisema wameamua kulipeleka pambano lao Jumatano usiku ili kutoa fursa ya mashabiki wengi kuhudhuria baada ya kutoka kazini na wakishakula futari ikizingatiwa kwa sasa waumini wa Kiislam wapo kwenye mfungo wa Ramadhani.
Msemaji huyo alisema maandalizi yao kuelekea kwenye mchezo huo yapo shwari na kwamba wana uhakika wa kuwatumia baadhi ya nyota wao wapya ambao wamewasajili hivi karibuni akiwamo Mzambia, Obrey Chirwa, licha ya kwamba kuna nyota wao wengine watawakosa kwa kasi za njano walizopewa Bejaia Algeria.
Yanga ilipoteza mchezo wao wa kwanza wa kundi hilo dhidi ya MO Bejaia kwa kulala bao 1-0, wakati Mazembe watakaotua nchini Jumapili hii wakitokea kwao Lubumbashi waliitambia Medeama ya Ghana kwa mabao 3-1 na kuongoza msimamo.

Real Madrid yathibitisha kumrudisha Morata Santiago Bernabeu

http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/09/15/21/2C5ADD7700000578-3235796-image-a-30_1442348975933.jpgWAMEPANIA si mchezo. Mabingwa wa soka Ulaya, Real Madrid wamethibitisha kuwa Alvaro Morata atarejea Santiago Bernabeu kipindi hiki cha kiangazi. Taarifa z klabu hiyo zinasema kuwa, hakuna kizuia kwa mkali huyo kurudia nyumbani.
Awali taarifa za mapema kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Juventus Beppe Marotta zilibainisha kuwa Morata anategemewa kurejea Madrid.
Madrid walikuwa na nafasi ya upendeleo ya kumnunua tena Morata mwenye umri wa miaka 23, ikiwa ni sehemu ya mkataba uliopelekea nyota huyo wa kimataifa wa Hispania kujiunga na Juventus miaka miwili iliyopita na sasa wamethibitisha kufanya hivyo.
Katika taarifa yao iliyotumwa katika mtandao, klabu ya Madrid walithibitisha taarifa hiyo na kudai kuwa Morata atajiunga na mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya wa La Liga chini ya Kocha Zinedine Zidane.
Hata hivyo, taarifa hizo zinadai kuwa Madrid wanaweza kumuuza Morata kwa klabu nyingine ili wapate faida zaidi.

Shelisheli lazima wapigwe Taifa, kama unabisha subiri J'Pili


Wachezaji wa Serengeti Boys wakijifua mazoezi kujiandaa na mechi yao dhidi ya Shelisheli
LAZIMA wapigwe! Kocha wa timu ya taifa ya Vijana ya Tanzania U17 ‘Serengeti Boys’, Bakari Shime, amejigamba kuondoka na ushindi dhidi ya Shelisheli katika mchezo wao utakaochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam Jumapili hii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kocha Shime alisema timu yake ameiandaa vya kutosha ikiwa imepata mechi kadhaa za kimataifa za kirafiki hali iliyomwezesha kukisuka vema kikosi hicho.
“Naamini kwa maandalizi haya tutasonga mbele kwenye hatua inayofuata na vijana wana ari ya kwenda Madgascar 2017 kwenye fainali za mashindano haya”, alisema Shime.
Mchezo huo wa kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa kwa Vijana U17 utachezeshwa na waamuzi toka Ethiopia ambao ni Belay Asserese ambaye ni mwamuzi wa kati na wasaidizi wake ni Tigle Belachew na Kinfe Yilma Kinfe huku mwamuzi wa akiba akiwa  ni Lemma Nigussie na Kamishna wa mchezo huo atakuwa ni Bester Kalombo.
Serengeti Boys iliyoingia kambini  Juni 14, 2016 itarudiana na wapinzani wao  Julai 2, 2016, endapo itafuzu hatua hii itakutana na timu ya Vijana ya Afrika Kusini.
Naye nahodha wa timu hiyo, Issa Makamba amesema wapo tayari kupambana na anaamini ushindi ni wao huku akiwataka mashabiki kuja kuwashangilia.

Man City yakaribia kunasa kifaa kingine kipya

http://estaticos.marca.com/imagenes/2015/09/24/en/football/spanish_football/1443048045_extras_noticia_foton_7_0.jpgWANAMCHUKUA. Klabu ya Manchester City, ipo hatua ya mwisho kumnasa straika wa kimataifa wa Hispania, Nolito kutoka Celta Vigo.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 29 amethaminishwa kwa kiasi cha Euro Milioni 18 katika mkataba wake na Rais wa Celta Vigo, Carlos Mourino tayari ameshadokeza anategemea ataondoka dirisha hili la usajili.
Taarifa zilizotolewa na gazeti la Guardian la Uingereza zimedai kuwa, Man City ina uhakika wa kukamilisha dili hilo na kuongeza kuwa Nolito tayari ameshakubali mambo binafsi katika mkataba wa miaka mitatu atakaopewa wenye thamani ya Euro Milioni 4 kila msimu.
Straika huyo wa zamani wa Barcelona, aliyeichezea timu yake ya taifa ya Hispania katika mechi zote tatu za makundi ya michauno ya Euro 201, awali alikuwa akitajwa kuwindwa na timu yake ya zamani ya Barcelona iliyotaka kumrejesha kikosini.
Nyota huyo mwenye bao moja kwenye michuano hiyo ya Euro inayoendelea nchini Ufaransa, aliondoka Nou Camp mwaka 2011 kwenda Ureno kujiunga na Benfica  kabla ya baadaye kutua Celta Vigo.

Wednesday, June 15, 2016

HII NDIYO RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND 2016-2017

http://media2.intoday.in/indiatoday/images/stories/epllogofb-story_647_020916090038.jpg
Logo Mpya ya EPL
UTAMU unakaribia. Ratiba ya Ligi Kuu ya England kwa msimu mpya wa 2016-2017 imetoka, ambapo Liverpool imepewa mtihani wa kuanza nyumbani kwa Arsenal Agosti 13,, huku Chelsea wakiwa na Kocha Mpya Antonie Conte wataanzia nyumbani dhidi ya West Ham. Man United ikiwa na Jose Mourinho itaanzia ugenini dhidi ya Bournemouth na Man City ya Pep Guardiola itakuwa nyumba katika ufunguzi wa ligi hiyo dhidi ya Sunderland.
Chungulia ratiba nzima ya ligi hiyo yenye umaarufu mkubwa duniani.
http://www.murrayunitedfc.com.au/wp-content/uploads/2015/04/EPL-Banner.jpg

Ufunguzi Ago 13, 2016
Bournemouth v Man United
Arsenal          v Liverpool
Burnley          v Swansea City
Chelsea          v West Ham
Crystal Palace v West Brom
Everton           v Tottenham
Hull City         v Leicester City
Man City         v Sunderland
Middlesbrough    v Stoke City
Southampton     v Watford

Ago 20, 2016Leicester City     v Arsenal
Liverpool         v Burnley
Man United     v Southampton
Stoke City     v Man City
Sunderland     v Middlesbrough
Swansea City     v Hull City
Tottenham     v Crystal Palace
Watford         v Chelsea
West Brom    v Everton
West Ham     v Bournemouth

Ago 27, 2016
Chelsea         v Burnley
Crystal Palace     v Bournemouth
Everton         v Stoke City
Hull City         v Man United
Leicester City     v Swansea City
Man City         v West Ham
Southampton     v Sunderland
Tottenham     v Liverpool
Watford         v Arsenal
West Brom    v Middlesbrough
Sept 10, 2016
Bournemouth     v West Brom
Arsenal         v Southampton
Burnley         v Hull City
Liverpool         v Leicester City
Man United     v Man City
Middlesbrough     v Crystal Palace
Stoke City     v Tottenham
Sunderland     v Everton
Swansea City     v Chelsea
West Ham      v Watford

Sept 17, 2016Chelsea         v Liverpool
Crystal Palace     v Stoke City
Everton         v Middlesbrough
Hull City         v Arsenal
Leicester City     v Burnley
Man City         v Bournemouth
Southampton     v Swansea City
Tottenham     v Sunderland
Watford         v Man United
West Brom     v West Ham

Sept 24, 2016

Bournemouth     v Everton
Arsenal         v Chelsea
Burnley         v Watford
Liverpool         v Hull City
Man United     v Leicester City
Middlesbrough     v Tottenham
Stoke City     v West Brom
Sunderland     v Crystal Palace
Swansea City     v Man City
West Ham     v Southampton

Okt 01, 2016Burnley         v Arsenal
Everton         v Crystal Palace
Hull City         v Chelsea
Leicester City     v Southampton
Man United     v Stoke City
Sunderland     v West Brom
Swansea City     v Liverpool
Tottenham     v Man City
Watford         v Bournemouth
West Ham      v Middlesbrough

Okt 15, 2016

Bournemouth     v Hull City
Arsenal         v Swansea City
Chelsea         v Leicester City
Crystal Palace     v West Ham
Liverpool         v Man United
Man City         v Everton
Middlesbrough     v Watford
Southampton     v Burnley
Stoke City     v Sunderland
West Brom     v Tottenham

Okt 22, 2016Bournemouth     v Tottenham
Arsenal         v Middlesbrough
Burnley         v Everton
Chelsea         v Man United
Hull City         v Stoke City
Leicester City     v Crystal Palace
Liverpool         v West Brom
Man City         v Southampton
Swansea City     v Watford
West Ham     v Sunderland
 
Okt 29, 2016
Crystal Palace     v Liverpool
Everton         v West Ham
Man United     v Burnley
Middlesbrough     v Bournemouth
Southampton     v Chelsea
Stoke City     v Swansea City
Sunderland     v Arsenal
Tottenham     v Leicester City
Watford         v Hull City
West Brom    v Man City

http://e2.365dm.com/16/03/768x432/leicester-behind-scenes_3431711.jpg?20160315160213Nov 05, 2016Bournemouth     v Sunderland
Arsenal         v Tottenham
Burnley         v Crystal Palace
Chelsea         v Everton
Hull City         v Southampton
Leicester City     v West Brom
Liverpool         v Watford
Man City         v Middlesbrough
Swansea City     v Man United
West Ham     v Stoke City

Nov 19, 2016Crystal Palace     v Man City
Everton         v Swansea City
Man United     v Arsenal
Middlesbrough     v Chelsea
Southampton     v Liverpool
Stoke City     v Bournemouth
Sunderland     v Hull City
Tottenham     v West Ham
Watford         v Leicester City
West Brom    v Burnley

Nov 26, 2016Arsenal         v Bournemouth
Burnley         v Man City
Chelsea         v Tottenham
Hull City         v West Brom
Leicester City     v Middlesbrough
Liverpool         v Sunderland
Man United     v West Ham
Southampton     v Everton
Swansea City     v Crystal Palace
Watford         v Stoke City

Des 03, 2016Bournemouth     v Liverpool
Crystal Palace     v Southampton
Everton         v Man United
Man City         v Chelsea
Middlesbrough     v Hull City
Stoke City     v Burnley
Sunderland     v Leicester City
Tottenham     v Swansea City
West Brom    v Watford
West Ham     v Arsenal

Des 10, 2016Arsenal         v Stoke City
Burnley         v Bournemouth
Chelsea         v West Brom
Hull City         v Crystal Palace
Leicester City     v Manchester City
Liverpool         v West Ham
Man United     v Tottenham
Southampton     v Middlesbrough
Swansea City     v Sunderland
Watford         v Everton

Des 13, 2016

Bournemouth     v Leicester City
Crystal Palace     v Man United
Middlesbrough     v Liverpool
Sunderland     v Chelsea
West Brom    v Swansea City
West Ham     v Burnley
 

Des 14, 2016
Everton         v Arsenal
Man City         v Watford
Stoke City     v Southampton
Tottenham    v Hull City
 

Des 17, 2016
Bournemouth     v Southampton
Crystal Palace     v Chelsea
Everton         v Liverpool
Man City         v Arsenal
Middlesbrough     v Swansea City
Stoke City     v Leicester City
Sunderland     v Watford
Tottenham     v Burnley
West Brom    v Manchester United
West Ham     v Hull City

Des 26, 2016

Arsenal         v West Brom
Burnley         v Middlesbrough
Chelsea         v Bournemouth
Hull City         v Man City
Leicester City     v Everton
Liverpool         v Stoke City
Man United     v Sunderland
Southampton     v Tottenham
Swansea City     v West Ham
Watford         v Crystal Palace

Des 31, 2016

Arsenal         v Crystal Palace
Burnley         v Sunderland
Chelsea         v Stoke City
Hull City         v Everton
Leicester City     v West Ham
Liverpool         v Man City
Man United     v Middlesbrough
Southampton     v West Brom
Swansea City     v Bournemouth
Watford         v Tottenham

Jan 02, 2017

Bournemouth     v Arsenal
Crystal Palace     v Swansea City
Everton         v Southampton
Man City         v Burnley
Middlesbrough     v Leicester City
Stoke City     v Watford
Sunderland     v Liverpool
Tottenham     v Chelsea
West Brom     v Hull City
West Ham     v Man United

Jan 14, 2017

Burnley         v Southampton
Everton         v Man City
Hull City         v Bournemouth
Leicester City     v Chelsea
Man United     v Liverpool
Sunderland     v Stoke City
Swansea City     v Arsenal
Tottenham     v West Brom
Watford         v Middlesbrough
West Ham     v Crystal Palace

Jan 21, 2017Bournemouth     v Watford
Arsenal         v Burnley
Chelsea         v Hull City
Crystal Palace     v Everton
Liverpool         v Swansea City
Man City         v Tottenham
Middlesbrough     v West Ham
Southampton     v Leicester City
Stoke City     v Man United
West Brom     v Sunderland

Jan 31, 2017Bournemouth     v Crystal Palace
Arsenal         v Watford
Burnley         v Leicester City
Man United     v Hull City
Middlesbrough     v West Brom
Sunderland     v Tottenham
Swansea City     v Southampton
West Ham     v Man City

Feb 01, 2017Liverpool         v Chelsea
Stoke City     v Everton

Feb 04, 2017
Chelsea         v Arsenal
Crystal Palace     v Sunderland
Everton         v Bournemouth
Hull City         v Liverpool
Leicester City     v Man United
Man City         v Swansea City
Southampton     v West Ham
Tottenham     v Middlesbrough
Watford         v Burnley
West Brom     v Stoke City

Feb 11, 2017Bournemouth     v Man City
Arsenal         v Hull City
Burnley         v Chelsea
Liverpool         v Tottenham
Man United     v Watford
Middlesbrough     v Everton
Stoke City     v Crystal Palace
Sunderland     v Southampton
Swansea City     v Leicester City
West Ham     v West Brom

Feb 25, 2017

Chelsea         v Swansea City
Crystal Palace     v Middlesbrough
Everton         v Sunderland
Hull City         v Burnley
Leicester City     v Liverpool
Man City         v Man United
Southampton     v Arsenal
Tottenham     v Stoke City
Watford         v West Ham
West Bro         v Bournemouth

Mar 04, 2017Leicester City     v Hull City
Liverpool         v Arsenal
Man United     v Bournemouth
Stoke City     v Middlesbrough
Sunderland     v Man City
Swansea City     v Burnley
Tottenham     v Everton
Watford         v Southampton
West Brom     v Crystal Palace
West Ham     v Chelsea

Mar 11, 2017Bournemouth     v West Ham
Arsenal         v Leicester City
Burnley         v Liverpool
Chelsea         v Watford
Crystal Palace     v Tottenham
Everton         v West Brom
Hull City         v Swansea City
Man City         v Stoke City
Middlesbrough     v Sunderland
Southampton     v Man United

Mar 18, 2017
Bournemouth     v Swansea City
Crystal Palace     v Watford
Everton         v Hull City
Man City         v Liverpool
Middlesbrough     v Man United
Stoke City     v Chelsea
Sunderland     v Burnley
Tottenham     v Southampton
West Brom     v Arsenal
West Ham      v Leicester City

Apr 01, 2017Arsenal         v Man City
Burnley         v Tottenham
Chelsea         v Crystal Palace
Hull City         v West Ham
Leicester City     v Stoke City
Liverpool         v Everton
Man United     v West Brom
Southampton     v Bournemouth
Swansea City     v Middlesbrough
Watford         v Sunderland

Apri 04, 2017

Arsenal         v West Ham
Burnley         v Stoke City
Hull City         v Middlesbrough
Leicester City     v Sunderland
Man United     v Everton
Swansea City     v Tottenham
Watford         v West Brom

Apr 05, 2017
Chelsea         v Man City
Liverpool         v Bournemouth
Southampton     v Crystal Palace

Apr 08, 2017Bournemouth     v Chelsea
Crystal Palace     v Arsenal
Everton         v Leicester City
Man City         v Hull City
Middlesbrough     v Burnley
Stoke City     v Liverpool
Sunderland     v Man United
Tottenham     v Watford
West Brom    v Southampton
West Ham      v Swansea City

Apr 15, 2017Crystal Palace     v Leicester City
Everton         v Burnley
Man United     v Chelsea
Middlesbrough     v Arsenal
Southampton     v Man City
Stoke City     v Hull City
Sunderland     v West Ham
Tottenham     v Bournemouth
Watford         v Swansea City
West Brom    v Liverpool

Apr 22, 2017Bournemouth     v Middlesbrough
Arsenal         v Sunderland
Burnley         v Man United
Chelsea         v Southampton
Hull City         v Watford
Leicester City     v Tottenham
Liverpool         v Crystal Palace
Man City         v West Brom
Swansea City     v Stoke City
West Ham     v Everton

Apr 29, 2017Crystal Palace     v Burnley
Everton        v Chelsea
Man United     v Swansea City
Middlesbrough     v Man City
Southampton     v Hull City
Stoke City     v West Ham
Sunderland     v Bournemouth
Tottenham     v Arsenal
Watford         v Liverpool
West Brom    v Leicester City

Mei 06, 2017Bournemouth     v Stoke City
Arsenal         v Man United
Burnley         v West Brom
Chelsea         v Middlesbrough
Hull City         v Sunderland
Leicester City     v Watford
Liverpool         v Southampton
Man City         v Crystal Palace
Swansea City     v Everton
West Ham     v Tottenham

Mei 13, 2017Bournemouth     v Burnley
Crystal Palace     v Hull City
Everton         v Watford
Man City         v Leicester City
Middlesbrough     v Southampton
Stoke City     v Arsenal
Sunderland     v Swansea City
Tottenham     v Man United
West Brom    v Chelsea
West Ham     v Liverpool

Mei 21, 2017Arsenal         v Everton
Burnley         v West Ham
Chelsea         v Sunderland
Hull City         v Tottenham
Leicester City     v Bournemouth
Liverpool         v Middlesbrough
Man United     v Crystal Palace
Southampton     v Stoke City
Swansea City     v West Brom
Watford         v Man City

MOTO: Basi la Tahmeed lateketea kwa moto

Picha tofauti zikionyesha basi la tahmeed lilivyougua moto na kuteketea kabisa
SIMANZI. Habari zilizotufikia muda huu zinasema kuwa, basi la Tahmeed linalofanya safari zake kati ya Dar na Tanga  limeungua lote kwa moto mapema leo katika kijiji cha Komkoma.
Jambo la kushukuru kwa mujibu wa mashuhuda ni kwamba hakuna abiria yeyote miongoni mwa waliokuwa katika basi hilo ambao wamejeruhiwa.
Hata hivyo ni kwamba abiria wamepata hasara baada ya mizigo yao kuteketea kwa moto huo uliozuka ghafla eneo la nyuma kutokana na kile kilichoelezwa hitilafu ya umeme ndani ya gari hilo, ingawa wahusika hawakufafanua chanzo halisi cha moto.

CUF na sitaki nataka yao kwa Prof Lipumba

https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/6/69/Ibrahim_Lipumba.jpg
Prof Lipumba
CHAMA cha Wananchi CUF, kimetoa ufafanuzi juu ya taarifa iliyonukuliwa ni ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shaarif Hamad kwamba, aliyekuwa Mwenyekiti wao, Profesa Ibrahim Harun Lipumba akautafute uenyekiti mahali penmgine na sio kwenye chama hicho.
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Idara ya Habari ya Chama hicho na kusainiwa na Mkurugezi wake, Saluim Bimani ni kwamba kilichoripotiwa na vyombo vya habari ni propaganda za kuivuruga CUF.
Taarifa yake rasmi inasomeka ka ilivyo hapo chini, ikiwa ni siku chache baada ya Prof Lipumba kudai atawania nafasi ya Uenyekiti katika uchaguzi wa CUF ikiwa ni miezi kadhaa tangu alipotangaza kujiuzulu mara baada ya Ukawa kumteua Edward Lowassa kuwa Mgombea Urais wa umoja huo unaojumuisha vyama vya Chadema, NLD, NCCR Mageuzi na CUF.
http://www.jamiiforums.com/attachments/index-jpeg.356758/

Dunga adunguliwa kweupe Brazili

http://bloximages.newyork1.vip.townnews.com/gwinnettdailypost.com/content/tncms/assets/v3/editorial/0/09/009efebc-e732-51ed-8601-b018f1f571c8/5760a8c0cc0e4.image.jpg
Dunga aliyedunguliwa Brazili
HAWAREMBI! Shirikisho la Soka la Brazil, limeamua kumfuta kazi kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Dunga baada ya kutolewa katika hatua za awali za michuano ya Copa America inayoendelea nchini Marekani.
Nahodha huyo wa zamani wa kikosi cha Brazil kilichotwaa Kombe la Dunia mwaka 1994, aliteuliwa kuwa kocha wa timu hiyo kwa mara ya pili mwaka 2014.
Lakini majuzi timu yake iling’olewa katika hatua ya makundi ya Copa America kwa mara ya kwanza toka mwaka 1987 kufuatia kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Peru katika mchezo uliofanyika huko Massachusetts Jumapili iliyopita.
Dunga mwenye umri wa miaka 52, aliwahi kuinoa Brazil mwaka 2006 mpaka 2010 na kufanikiwa kushinda taji la Copa America mwaka 2007. Kocha wa klabu ya Corinthians, Tite ndio anayepewa nafasi kubwa ya kutwaa mikoba ya Dunga.

Friday, June 10, 2016

Beki ya Yanga majaribuni, kupaa J'Pili kuifuata Bejaia

Baadhi ya wachezaji wa Yanga
SIKIA hii. Zaidi ya nusu ya mabao ya Yanga msimu huu yamefungwa na mastraika wawili, Donald Ngoma na Amissi Tambwe ambao umoja wao umeipa vijana wa Hans Pluijm jumla ya mabao 42, kati yao 38 ya Ligi Kuu na manne ya michuano ya Afrika.
Hivyo ni rahisi kwa mabeki wa timu pinzani kama wameisoma vema safu ya ushambuliaji ya Yanga kuinyima ushindi kwa kuwazuia nyota hao, kwani hata katika Ligi Kuu Bara baadhi ya timu ziliweza kufanya hivyo na kuisumbua Yanga.
Lakini sasa kama ulikuwa hujui ni kwamba Yanga inayojiandaa na safari yake ya kwenda Algeria kuvaana na MO Bejaia katika mechi ya ufunguzi ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, mabeki wake watakuwa na ngoma nzito ughaibuni.
Mabeki hao watakuwa na kazi ngumu juu ya kubashiri wamkabe mchezaji gani wa Bejaia ili wasije wakaaumbua ugenini, kwani wapinzani wao hao hawana mfungaji mmoja tegemeo, mchezaji yeyote wa timu hiyo akipata nafasi ya kutupia mpira kimiani anafanya hivyo, kitu ambacho ni lazima mabeki wa Yanga wajipange mapema kabla ya kuwafuata Waarabu hao watakaocheza nao Juni 19.
Ukiondoa mastraika wake nyota, Okacha Hamzaoui, Zahir Zerdab na Mamadou N'Doye, Bejaiapia hufunga mabao yake kupitia viungo na mabeki wake wanaocheza soka la nguvu.
Staili hiyo ya Bejaia kutomtegemea mfungaji mmoja, itawapa kibarua kizito mabeki wa Yanga, Juma Abdul, Oscar Joshua, Vincent Bossou, Kelvin Yondani na nahodha  Nadir Haroub 'Cannavaro', kuanza mapema kusaka mbinu za kuhakikisha kipa wao iwe Ally Mustafa 'Barhez' au Deo Munishi 'Dida' hawasumbuliwi katika mechi hiyo.
Achana na mechi za Ligi Daraja la Kwanza (Division 1) ya Algeria ambapo ilimaliza katika nafasi ya sita ikikusanya pointi 44 kutokana na mechi 30 huku ikifunga mabao 33, kwenye mechi ya kimataifa timu hiyo ilifunga mabao saba hadi kutinga makundi ya Kombe la Shirikisho, yote yakifungwa na wachezaji tofauti.
Mabao mawili pekee ndiyo yaliyofungwa na mchezaji mmoja, Mamadou N'Doye wakati Bejaia ikipata sare ya bao 1-1 dhidi ya Zamalek katika raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kung'olewa na ilipovaana na Esperance ya Tunisia kuwania kutinga makundi ya Kombe la Shirikisho. Ndoye hata hivyo hatakuwepo kwenye mchezo huo wa Juni 20 kwani ana kadi zinazomzuai kucheza mechi ya Yanga.
Mabao yake mengine yamefungwa na Okacha Hamzaoui, beki Sofiane Khadir, Faouzi Yaya na kiungo Morgan Betorangal Mfaransa mwenye asili ya Chad na jingine mchezaji wa Club Africans ya Tunisia alijifunga katika mechi yao.
Kwa kuangalia hivyo ni wazi vijana wa Hans Pluijm wanatakiwa kuwa makini na wapinzani wao kuhakikisha wanavuna pointi tatu muhimu umangani kabla ya kuja kuvaana na TP Mazembe katika mechi yao ya pili ya Kundi A wiki mbili zijazo.
Yanga imetinga hatua hiyo ikiwa ni rekodi kwao na timu za Afrika Mashariki na ipo kundi moja na Medeama ya Ghana watakaoumana nao katika mechi mbili mfululizo mwanzoni mwa Julai.

katika hatua nyingine kikosi cha Yanga kitapaa alfariji ya Jumapili kuelekea Uturuki kuweka kambi kabla ya kuivamia Mo Bejaia kwao kwa mchezo wao wa Kundi A.
Awali safari hiyo ilitangazwa ingefanyika kesho Jumamosi, lakini mipango imeenda sivyo ikiwa ni pamoja na kupisha Uchaguzi Mkuu unaofanyika kesho kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar.

Wengi wajitokeza kumuaga Muhammad Ali

http://i1.wp.com/radaronline.com/wp-content/uploads/2016/06/Muhammad-Ali-Funeral-Details-Pallbearer-Will-Smith-pp.jpg?fit=700%2C615MAELFU ya watu wanatarajiwa kumuaga aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky.
Bingwa huyo wa ndondi katika uzani mzito duniani na mwanaharakati alifariki siku ya Ijumaa akiwa na umri wa miaka 74.




Umati mkubwa wa watu utachukua mwili wake na kuupitisha katika maeneo muhimu ya maisha yake kabla ya kuufanyia ibada.
Muingizaji Will Smith na aliyekuwa bondia Lenox Lewis watakuwa miongoni mwa wale watakaobeba jeneza lake ,huku aliyekuwa rais wa Marekani Bill Clinton akitarajiwa kutoa hotuba.




Msafara wa jeneza lake utaanzia saa tatu saa za Marekani na kulipitisha jeneza hilo nyumbani kwake,katika kituo cha Ali,baadaye kupitishwa katika kituo cha makavazi ya watu weusi nchini Marekani na baadaye katika eneo la Muhammad Ali Boulevard.



Muhammad Ali enzi za uhai wake siku za karibuni

Miongoni mwa wale wanaotarajiwa kuhudhuria ibada ni rais wa Uturuki Reccep Tayyip Erdogan na mfamle Abdullah wa Jordan.
Rais Obama hatakuwepo,kwa kuwa anatarajiwa kuhudhuria sherehe ya kufuzu kwa mahafala ya mwanawe mkubwa Malia.Mshauri mkuu wa ikulu ya rais Valerie Jarret ambaye alimjua Ali atamwakilisha rais.


Lennox Lewis aliyekuwa bondia wa uzani mkubwa dunia kabla ya kustaafu kwake amesema kuwa ni heshimu kubwa kwake kuorodheshwa miongoni mwa wale watakaobeba jeneza la marehemu huku akisema kuwa kumbukumbu za Ali hazitasaulika.



Nyumbani kwa marehemu

Ali alitaka ibada ya Janazah kuwa wakati wa mafunzo kulingana na Imam zaid Shakir alieongoza ibada hiyo.
Msomi wa Kiislamu Sherman Jackson alisema:Kufariki kwa Muhammad Ali kumetufanya tujisikie wapweke duniani.''Kitu kizima,kitu kikubwa na kinachovutia na kinachotoa uhakika wa maisha kimetuwacha''.
Thousands attend the jenazah, an Islamic funeral prayer, for the late boxing champion

Baada ya kujiuzulu,uvumi ulianza kuhusu hali yake ya kiafya.Ugonjwa wa kutetetemeka mwili baadaye ulipatikana lakini Ali aliendelea kuwepo katika maeneo ya hadhara huku akipokewa vizuri kila anapoenda.
BBC

Vikosi kamili vitakavyochuana Ufaransa katika Euro 2016 hivi hapa

http://www.sportsmirchi.com/wp-content/uploads/2015/10/UEFA-Euro-2016-Qualified-teams-List.jpg 
PARIS, Ufaransa
TIMU 24 za taifa barani Ulaya zitakazoshindana katika fainali za mwaka huu za Euro 2016 zimetangaza vikosi vyao vya mwisho vya wachezaji 23 vya mwisho vitakavyoshiriki mashindano hayo nchini Ufaransa, ambayo yataanza leo Juni 10 hadi Julai 10 mwaka huu.
 
ALBANIA (Kundi A)
(wachezaji 23 kikosi cha mwisho) 
Makipa: Etrit Berisha (Lazio), Alban Hoxha (Partizani), Orges Shehi (Skenderbeu).

Mabeki: Elseid Hysaj (Napoli), Lorik Cana (Nantes), Arlind Ajeti (Frosinone), Mergim Mavraj (Koeln), Naser Aliji (Basel), Ansi Agolli (Karabag), Frederik Veseli (Lugano).
Viungo: Ermir Lenjani (Nantes), Andi Lila (Giannina), Migjen Basha (Como), Ledian Memushaj (Pescara), Burim Kukeli (Zurich), Taulant Xhaka (Basel), Ergys Kace (Paok), Amir Abrashi (Freiburg), Odise Roshi (Rijeka).

Washambuliaji: Bekim Balaj (Rijeka), Sokol Cikalleshi (Medipol Basaksehir), Armando Sadiku (Vaduz), Shkelzen Gashi (Colorado Rapids).

AUSTRIA(Kundi F)
 
Makipa: Robert Almer (Austria Vienna), Heinz Lindner (Eintracht Frankfurt), Ramazan Ozcan (Ingolstadt).

Mabeki: Aleksandar Dragovic (Dinamo Kiev), Christian Fuchs (Leicester City), Gyorgy Garics (Darmstadt), Martin Hinteregger (Borussia Monchengladbach), Florian Klein (Stuttgart), Sebastian Prodl (Watford), Markus Suttner (Ingolstadt), Kevin Wimmer (Tottenham Hotspur).

Viungo: David Alaba (Bayern Munich), Marko Arnautovic (Stoke City), Julian Baumgartlinger (Mainz), Martin Harnik (Stuttgart), Stefan Ilsanker (Leipzig), Jakob Jantscher (Luzern), Zlatko Junuzovic (Werder Bremen), Marcel Sabitzer (Leipzig), Alessandro Schopf (Schalke).

Washambuliaji: Lukas Hinterseer (Ingolstadt), Rubin Okotie (1860 Munich), Marc Janko (Basel).

UBELGIJI(Kundi E)

Makipa: Thibaut Courtois (Chelsea), Jean-Francois Gillet (Mechelen), Simon Mignolet (Liverpool).

Mabeki: Toby Alderweireld (Tottenham), Jason Denayer (Galatasaray), Bjorn Engels (Club Bruges), Nicolas Lombaerts (Zenit), Jordan Lukaku (Oostende), Thomas Meunier (Club Bruges), Thomas Vermaelen (Barcelona), Jan Vertonghen (Tottenham).

Viungo: Moussa Dembele (Tottenham), Marouane Fellaini (Manchester United), Radja Nainggolan (Roma), Axel Witsel (Zenit St Petersburg).

Washambuliaji: Michy Batshuayi (Marseille), Christian Benteke (Liverpool), Yannick Carrasco (Atletico Madrid), Kevin De Bruyne (Manchester City), Eden Hazard (Chelsea), Romelu Lukaku (Everton), Dries Mertens (Napoli), Divock Origi (Liverpool).

CROATIA(Kundi D)
Makipa: Danijel Subasic (Monaco), Lovre Kalinic (Hajduk Split), Ivan Vargic (Rijeka).

Mabeki: Vedran Corluka (Lokomotiv Moscow), Darijo Srna (Shakhtar Donetsk), Domagoj Vida (Dynamo Kiev), Sime Vrsaljko (Sassuolo), Gordon Schildenfeld (Dinamo Zagreb), Ivan Strinic (Napoli), Tin Jedvaj (Bayer Leverkusen)
.
Viungo: Luka Modric (Real Madrid), Ivan Rakitic (Barcelona), Mateo Kovacic (Real Madrid), Marcelo Brozovic (Inter Milan), Milan Badelj (Fiorentina), Ivan Perisic (Inter Milan), Marko Rog (Dinamo Zagreb), Ante Coric (Dinamo Zagreb).



Washambuliaji: Mario Mandzukic (Juventus), Nikola Kalinic (Fiorentina), Marko Pjaca (Dinamo Zagreb), Duje Cop (Dinamo Zagreb), Andrej Kramaric (Leicester).

JAMHURI YA CZECH (Kundi D)
  
Makipa: Petr Cech (Arsenal), Tomas Vaclik (Basle), Tomas Koubek (Slovan Liberec).

Mabeki: Theodor Gebre Selassie (Werder Bremen), Roman Hubnik (Viktoria Pilsen), Pavel Kaderabek (Hoffenheim), Michal Kadlec (Fenerbahce), David Limbersky (Viktoria Pilsen), Daniel Pudil (Sheffield Wednesday), Marek Suchy (Basle), Tomas Sivok (Bursaspor).

Viungo: Vladimir Darida (Hertha Berlin), Borek Dockal (Sparta Prague), Jiri Skalak (Brighton) Daniel Kolar (Viktoria Pilsen), Ladislav Krejci (Sparta Prague), David Pavelka (Kasimpasa), Jaroslav Plasil (Bordeaux), Tomas Rosicky (Arsenal), Josef Sural (Sparta Prague).

Washambuliaji: David Lafata (Sparta Prague), Tomas Necid (Burkaspor), Milan Skoda (Slavia Prague).

ENGLAND (Kundi B)
   
Makipa: Fraser Forster (Southampton), Joe Hart (Manchester City), Tom Heaton (Burnley).

Mabeki: Ryan Bertrand (Southampton), Gary Cahill (Chelsea), Nathaniel Clyne (Liverpool), Danny Rose (Tottenham), Chris Smalling (Manchester United), John Stones (Everton), Kyle Walker (Tottenham).

Midfielders: Dele Alli (Tottenham), Ross Barkley (Everton), Eric Dier (Tottenham), Jordan Henderson (Liverpool), Adam Lallana (Liverpool), James Milner (Liverpool), Raheem Sterling (Manchester City), Jack Wilshere (Arsenal).

Washambuliaji: Harry Kane (Tottenham), Marcus Rashford (Manchester United), Wayne Rooney (Manchester United), Daniel Sturridge (Liverpool), Jamie Vardy (Leicester)

UFARANSA (Kundi A)
  
Makipa: Benoit Costil (Rennes), Hugo Lloris (Tottenham), Steve Mandanda (Marseille).

Mabeki: Lucas Digne (Roma), Patrice Evra (Juventus), Christophe Jallet (Lyon), Laurent Koscielny (Arsenal), Eliaquim Mangala (Manchester City), Samuel Umtiti (Lyon), Bacary Sagna (Manchester City), Adil Rami (Sevilla).

Viungo: Yohan Cabaye (Crystal Palace), Morgan Scheiderlin (Manchester United), N'Golo Kante (Leicester), Blaise Matuidi (Paris Saint-Germain), Paul Pogba (Juventus), Moussa Sissoko (Newcastle).

Washambuliaji: Kingsley Coman (Bayern Munich), Andre-Pierre Gignac (Tigres), Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Anthony Martial (Manchester United), Dimitri Payet (West Ham).

UJERUMANI(Kundi C)
  
Makipa: Manuel Neuer (Bayern Munich), Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Bernd Leno (Leverkusen)

Mabeki: Jerome Boateng (Bayern Munich), Jonas Hector (Cologne), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Benedikt Howedes (Schalke), Shkodran Mustafi (Valencia), Emre Can (Liverpool), Antonio Rudiger (Roma)

Viungo: Sami Khedira (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid), Mesut Ozil (Arsenal), Julian Draxler (Wolfsburg), Bastian Schweinsteiger (Manchester United), Joshua Kimmich (Bayern Munich), Julian Weigl (Borussia Dortmund), Leroy Sane (Schalke)

Washambuliaji: Lukas Podolski (Galatasaray), Thomas Muller (Bayern Munich), Mario Gomez (Besiktas), Mario Gotze (Bayern Munich), Andre Schurrle (Wolfsburg)

HUNGARY(Kundi F)

Makipa: Gabor Kiraly (Haladas), Denes Dibusz (Ferencvaros), Peter Gulacsi (Leipzig)

Mabeki: Attila Fiola (Puskas Academy), Barnabas Bese (MTK Budapest), Richard Guzmics (Wisla Krakow), Roland Juhasz (Videoton), Adam Lang (Videoton), Tamas Kadar (Lech Poznan), Mihaly Korhut (Debrecen)

Viungo: Adam Pinter (Ferencvaros), Gergo Lovrencsics (Lech Poznan), Akos Elek (Diosgyor), Zoltan Gera (Ferencvaros), Adam Nagy (Ferencvaros), Laszlo Kleinheisler (Werden Bremen), Zoltan Stieber (Nuremberg)

Washambuliaji: Balazs Dzsudzsak (Bursaspor), Adam Szalai (Hannover), Krisztian Nemeth (Al Gharafa), Nemanja Nikolics (Legia Warsaw), Tamas Priskin (Slovan Bratislava), Daniel Bode (Ferencvaros)

ICELAND (Kundi F)
  
Makipa: Hannes Halldorsson (Bodo/Glimt), Ogmundur Kristinsson (Hammarby), Ingvar Jonsson (Sandefjord).

Mabeki: Ari Skulason (OB), Hordur Magnusson (Cesena), Hjortur Hermannsson (PSV Eindhoven), Ragnar Sigurdsson (Krasnodar), Kari Arnason (Malmo), Sverrir Ingi Ingason (Lokeren), Birkir Sævarsson (Hammarby), Haukur Heidar Hauksson (AIK).

Viungo: Emil Hallfredsson (Udinese), Gylfi Sigurdsson (Swansea), Aron Gunnarsson (Cardiff), Theodor Elmar Bjarnason (AGF), Arnor Ingvi Traustason (Norrkoping), Birkir Bjarnason (Basel), Johann Gudmundsson (Charlton), Eidur Gudjohnsen (Molde), Runar Mar Sigurjonsson (Sundsvall).

Washambuliaji: Kolbeinn Sigthorsson (Nantes), Alfred Finnbogason (Augsburg), Jon Dadi Bodvarsson (Kaiserslautern).

ITALIA (Kundi E)

Makipa: Gianluigi Buffon (Juventus), Federico Marchetti (Lazio), Salvatore Sirigu (Paris Saint-Germain)

Mabeki: Andrea Barzagli (Juventus), Leonardo Bonucci (Juventus), Giorgio Chiellini (Juventus), Angelo Ogbonna (West Ham), Matteo Darmian (Manchester United), Mattia De Sciglio (Milan)

Viungo: Daniele De Rossi (Roma), Alessandro Florenzi (Roma), Emanuele Giaccherini (Bologna), Thiago Motta (Paris Saint-Germain), Marco Parolo (Lazio), Stefano Sturaro (Juventus), Antonio Candreva (Lazio)

Washambuliaji: Eder (Inter), Ciro Immobile (Torino), Lorenzo Insigne (Napoli), Graziano Pelle (Southampton), Simone Zaza (Juventus), Federico Bernardeschi (Fiorentina), Stephan El Shaarawy (Roma)

IRELAND KASKAZINI(Kundi C)
 
Makipa: Alan Mannus (St Johnstone), Michael McGovern (Hamilton Academical), Roy Carroll (Linfield).

Mabeki: Craig Cathcart (Watford), Jonathan Evans (West Bromwich Albion), Gareth McAuley (West Bromwich Albion), Luke McCullough (Doncaster Rovers), Conor McLaughlin (Fleetwood Town), Lee Hodson (MK Dons), Aaron Hughes (Free agent), Patrick McNair (Manchester United), Chris Baird (Derby County).

Viungo: Steven Davis (Southampton), Oliver Norwood, (Reading), Corry Evans, (Blackburn Rovers), Shane Ferguson (Millwall), Stuart Dallas (Leeds United), Niall McGinn (Aberdeen), Jamie Ward (Nottingham Forest).

Washambuliaji: Kyle Lafferty (Norwich City), Conor Washington (Queens Park Rangers), Josh Magennis (Kilmarnock), Will Grigg (Wigan Athletic).

POLAND (Kundi C)
  
Makipa: Lukasz Fabianski (Swansea City), Wojciech Szczesny (Roma), Artur Boruc (Bournemouth)

Mabeki: Thiago Cionek (Palermo), Kamil Glik (Torino), Artur Jedrzejczyk (Legia Warsaw), Michal Pazdan (Legia Warsaw), Lukasz Piszczek (Borussia Dortmund), Bartosz Salamon (Cagliari), Jakub Wawrzyniak (Lechia Gdansk)

Viungo: Jakub Blaszczykowski (Fiorentina), Kamil Grosicki (Rennes), Tomasz Jodlowiec (Legia Warsaw), Bartosz Kapustka (Cracovia), Grzegorz Krychowiak (Sevilla), Karol Linetty (Lech Poznan), Krzysztof Maczynski (Wisla), Slawomir Peszko (Lechia Gdansk), Filip Starzynski (Zaglebie Lubin), Piotr Zielinski (Empoli).

Washambuliaji: Arkadiusz Milik (Ajax), Robert Lewandowski (Bayern Munich), Mariusz Stepinski (Ruch Chorzow) 

URENO(Kundi F)

Makipa: Rui Patricio (Sporting Lisbon), Anthony Lopes (Lyon), Eduardo (Dinamo Zagreb).

Mabeki: Vieirinha (Wolfsburg), Cedric Soares (Southampton), Pepe (Real Madrid), Ricardo Carvalho (Monaco), Bruno Alves (Fenerbahce), Jose Fonte (Southampton), Eliseu (Benfica), Raphael Guerreiro (Lorient).

Viungo: William Carvalho (Sporting Lisbon), Danilo Pereira (Porto), Joao Moutinho (Monaco), Renato Sanches (Benfica), Adrien Silva (Sporting Lisbon), Andre Gomes (Valencia), Joao Mario (Sporting Lisbon).

Washambuliaji: Rafa Silva (Braga), Ricardo Quaresma (Besiktas), Nani (Fenerbahce), Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Eder (Lille)

JAMHURI YA IRELAND (Kundi E)
    
Makipa: Shay Given (Stoke), Darren Randolph (West Ham), Keiren Westwood (Sheffield Wednesday).

Mabeki: Seamus Coleman (Everton), Cyrus Christie (Derby), Ciaran Clark (Aston Villa), Richard Keogh (Derby), John O'Shea (Sunderland), Shane Duffy (Blackburn), Stephen Ward (Burnley).

Viungo: Aiden McGeady (Sheffield Wednesday), James McClean (West Brom), Glenn Whelan (Stoke), James McCarthy (Everton), Jeff Hendrick (Derby), David Meyler (Hull), Stephen Quinn (Reading), Wes Hoolahan (Norwich), Robbie Brady (Norwich), Jonathan Walters (Stoke).

Washambuliaji: Robbie Keane (LA Galaxy), Shane Long (Southampton), Daryl Murphy (Ipswich).

ROMANIA(Kundi A)
    
Makipa: Ciprian Tatarusanu (Fiorentina), Costel Pantilimon (Watford), Silviu Lung (Astra Giurgiu).

Mabeki: Cristian Sapunaru (Pandurii Targu Jiu), Alexandru Matel (Dinamo Zagreb), Vlad Chiriches (Napoli), Valerica Gaman (Astra Giurgiu), Cosmin Moti (Ludogorets), Dragos Grigore (Al-Sailiya), Razvan Rat (Rayo Vallecano), Steliano Filip (Dinamo Bucharest).

Viungo: Mihai Pintilii (Steaua Bucharest), Ovidiu Hoban (Hapoel Beer Sheva), Andrei Prepelita (Ludogorets), Adrian Popa (Steaua Bucharest), Gabriel Torje (Osmanlispor), Alexandru Chipciu (Steaua Bucharest), Nicolae Stanciu (Steaua Bucharest), Lucian Sanmartean (al-Ittihad).

Washambuliaji: Claudiu Keseru (Ludogorets), Bogdan Stancu (Genclerbirligi), Florin Andone (Cordoba), Denis Alibec (Astra Giurgiu).

URUSI
  
Makipa: Igor Akinfeev (CSKA Moscow), Guilherme (Lokomotiv Moscow), Yuri Lodygin (Zenit St. Petersburg).

Mabeki: Alexei Berezutsky (CSKA Moscow), Vasily Berezutsky (CSKA Moscow), Sergei Ignashevich (CSKA Moscow), Dmitry Kombarov (Spartak Moscow), Roman Neustadter (Schalke), Georgy Shchennikov (CSKA Moscow), Roman Shishkin (Lokomotiv Moscow), Igor Smolnikov (Zenit St Petersburg).

Viungo: Igor Denisov (Dynamo Moscow), Denis Glushakov (Spartak Moscow), Alexander Golovin (CSKA Moscow), Oleg Ivanov (Terek Grozny), Pavel Mamaev (Krasnodar), Alexander Samedov (Lokomotiv Moscow), Oleg Shatov (Zenit St Petersburg), Roman Shirokov (CSKA Moscow), Dmitri Torbinski (Krasnodar).

Washambuliaji: Artyom Dzyuba (Zenit St Petersburg), Alexander Kokorin (Zenit St Petersburg), Fyodor Smolov (Krasnodar).

SLOVAKIA(Kundi B)
 
Makipa: Matus Kozacik (Viktoria Plzen), Jan Mucha (Slovan Bratislava), Jan Novota (Rapid Vienna).

Mabeki: Peter Pekarik (Hertha Berlin), Milan Skriniar (Sampdoria), Martin Skrtel (Liverpool), Norbert Gyomber (Roma), Jan Durica (Lokomotiv Moscow), Kornel Salata (Slovan Bratislava), Tomas Hubocan (Dynamo Moscow), Dusan Svento (Cologne).

Viungo: Viktor Pecovsky (Zilina), Robert Mak (PAOK Thessaloniki), Juraj Kucka (AC Milan), Patrik Hrosovsky (Viktoria Plzen), Jan Gregus (Jablonec), Marek Hamsik (Napoli), Ondrej Duda (Legia Warsaw), Miroslav Stoch (Bursaspor), Vladimir Weiss (Al Gharafa).

Washambuliaji: Michal Duris (Viktoria Plzen), Adam Nemec (Willem II), Stanislav Sestak (Ferencvaros).

HISPANIA
 
Makipa: Iker Casillas (Porto), David de Gea (Manchester United), Sergio Rico (Sevilla).

Mabeki: Sergio Ramos (Real Madrid), Gerard Pique (Barcelona), Hector Bellerin (Arsenal), Jordi Alba (Barcelona), Marc Bartra (Barcelona), Cesar Azpilicueta (Chelsea), Mikel San Jose (Athletic Bilbao), Juanfran (Atletico Madrid).

Viungo: Bruno (Villarreal), Sergio Busquets (Barcelona), Koke (Atletico Madrid), Thiago (Bayern Munich), Andres Iniesta (Barcelona), David Silva (Manchester City), Pedro (Chelsea), Cesc Fabregas (Chelsea).

Washambuliaji: Aritz Aduriz (Athletic Bilbao), Nolito (Celta Vigo), Alvaro Morata (Juventus), Lucas Vasquez (Real Madrid).

SWEDEN (Kundi E)
  
Makipa: Andreas Isaksson (Kasimpasa), Robin Olsen (Copenhagen), Patrik Carlgren (AIK).

Mabeki: Ludwig Augustinsson (Copenhagen), Erik Johansson (Copenhagen), Pontus Jansson (Torino), Victor Lindelof (Benfica) Andreas Granqvist (Krasnodar), Mikael Lustig (Celtic), Martin Olsson (Norwich).

Viungo: Jimmy Durmaz (Olympiakos), Albin Ekdal (Hamburg), Oscar Hiljemark (Palermo), Sebastian Larsson (Sunderland), Pontus Wernbloom (CSKA Moscow), Erkan Zengin (Trabzonspor), Oscar Lewicki (Malmo), Emil Forsberg (Leipzig), Kim Kallstrom (Grasshoppers).

Washambuliaji: Marcus Berg (Panathinaikos), John Guidetti (Celta Vigo), Zlatan Ibrahimovic (Paris), Emir Kujovic (Norrkoping).

USWISI(Kundi A)
      
Makipa: Yann Sommer (Borussia Monchengladbach), Roman Buerki (Borussia Dortmund), Marwin Hitz (Augsburg)

Mabeki: Stephan Lichtsteiner (Juventus), Nico Elvedi (Borussia Monchengladbach), Michael Lang (Basle), Johan Djourou (Hamburg), Steve von Bergen (Young Boys), Fabian Schaer (Hoffenheim), Francois Moubandje (Toulouse), Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)

Viungo: Valon Behrami (Watford), Blerim Dzemaili (Genoa), Gelson Fernandes (Rennes), Fabian Frei (Mainz), Granit Xhaka (Arsenal), Xherdan Shaqiri (Stoke), Denis Zakaria (Young Boys)

Washambuliaji: Breel Embolo (Basle), Haris Seferovic (Eintracht Frankfurt), Admir Mehmedi (Bayer Leverkusen), Eren Derdiyok (Kasimpasa), Shani Tarashaj (Everton). 

UTURUKI(Kundi D)
      
Makipa: Volkan Babacan (Medipol Basaksehir), Onur Recep Kivrak (Trabzonspor), Harun Tekin (Bursaspor)

Mabeki: Gokhan Gonul (Fenerbahce), Sener Ozbayrakli (Bursaspor), Semih Kaya (Galatasaray), Ahmet Calik (Genclerbirligi), Hakan Balta (Galatasaray), Caner Erkin (Fenerbahce), Ismail Koybasi (Besiktas)

Viungo: Mehmet Topal (Fenerbahce), Selcuk Inan (Galatasaray), Ozan Tufan (Fenerbahce), Oguzhan Ozyakup (Besiktas), Hakan Calhanoglu (Bayer Leverkusen), Nuri Sahin (Borussia Dortmund), Arda Turan (Barcelona), Olcay Sahan (Besiktas), Volkan Sen (Fenerbahce), Emre Mor (Nordsjaelland)

Washambuliaji: Burak Yilmaz (Beijing Guoan), Cenk Tosun (Besiktas), Yunus Malli (Mainz)

UKRAINE (Kundi C)
(wachezaji 23 kikosi cha mwisho) 
Makipa: Andriy Pyatov (Shakhtar), Denys Boyko (Besiktas), Mykyta Shevchenko (Zorya)

Mabeki: Evhen Khacheridi (Dynamo Kiev), Bohdan Butko (Amkar), Artem Fedetskyi (Dnipro), Oleksandr Karavaev (Zorya), Oleksandr Kucher (Shakhtar), Yaroslav Rakytskyi (Shakhtar), Vyacheslav Shevchuk (Shakhtar)

Viungo: Serhiy Rybalka (Dynamo Kiev), Denys Garmash (Dynamo Kiev), Serhiy Sydorchuk (Dynamo Kiev), Andriy Yarmolenko (Dynamo Kiev), Evhen Konoplyanka (Sevilla), Ruslan Rotan (Dnipro), Taras Stepanenko (Shakhtar), Viktor Kovalenko (Shakhtar), Anatolyi Tumoschuk (Kairat), Oleksandr Zinchenko (UFA)

Washambuliaji: Roman Zozylya (Dnipro), Pylyp Budkivskyi (Zorya), Evhen Seleznyov (Shakhtar) 

WALES (Kundi B)
  
Makipa: Wayne Hennessey (Crystal Palace), Danny Ward (Liverpool), Owain Fon Williams (Inverness).

Mabeki: Ben Davies (Tottenham), Neil Taylor (Swansea), Chris Gunter (Reading), Ashley Williams (Swansea), James Chester (West Brom), Ashley Richards (Fulham), James Collins (West Ham).

Viungo: Aaron Ramsey (Arsenal), Joe Ledley (Crystal Palace), David Vaughan (Nottingham Forest), Joe Allen (Liverpool), David Cotterill (Birmingham), Jonathan Williams (Crystal Palace), George Williams (Fulham), Andy King (Leicester), Dave Edwards (Wolves).

Washambuliaji: Hal Robson-Kanu (Reading), Sam Vokes (Burnley), Simon Church (Nottingham Forest), Gareth Bale (Real Madrid).