MICHARAZO MITUPU

KWA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA MATUKIO MBALIMBALI

STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 22, 2012

Minziro amrithi Saintfeit, Mwalusako arejeshwa Jangwani

Lawrance Mwalusako
KLABU ya soka ya Yanga imemrejesha madarakani Katibu Mkuu wao wa zamani, Lawrance Mwalusako na kumpa nafasi kocha msaidizi wa timu hiyo, Fred Felix Minziro kukaimu ukocha mkuu baada ya kumtimua aliyekuwa kocha wake, Tom Saintfiet.
Taarifa zilizopatikana mapema leo leo asubuhi inasema kuwa, Mwalusako atakaimu nafasi ya ukatibu Mkuu iliyokuwa ikishikiliwa na Celestine Mwesigwe,huku Sekilojo Chambua akiteuliwa kuwa meneja wa timu na mtangazaji wa Cloud's, Abdul Mohammed akimrithi Louis Sendeu aliyekuwa amemaliza mkataba wa kuwa Afisa Habari wa Yanga.
Kutokana na mabadiliko hayo leo Yanga itashuka dimba la Taifa kuvaana na JKT Ruvu ikiwa chini ya safu mpya ya benchi lake la ufundi, Minziro akiongoza kama kaimu kocha Mkuu.
Fred Felix Minziro
Yanga haijashinda mechi zake mbili za awali ikianza na suluhu dhidi ya Prisons ya Mbeya kabla ya kubamizwa mabao 3-0 na Mtibwa Sugar.
Posted by Unknown at 12:49 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

  MECHI ZA ‘LIVE’ SUPER SPORTS LIGI KUU TANZANIA BARA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Septemba 21, 2012

MUDA WA MECHI ZA ‘LIVE’ SUPER WEEKEND
Mechi tano za Ligi Kuu ya Vodacom za Super Weekend katika mzunguko wa kwanza zitakazooneshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Super Sport zitaanza kati ya saa 1-.30 jioni na saa 1 kamili usiku.

Septemba 28 mwaka huu kutakuwa na mechi kati ya Azam na JKT Ruvu itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 1 kamili usiku. Mechi ya Simba na Tanzania Prisons itakayochezwa Septemba 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam itaanza saa 11 kamili jioni.

Yanga na African Lyon zenyewe zitapambana Septemba 30 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 kamili jioni wakati Ruvu Shooting na Mtibwa Sugar zitaoneshana kazi Oktoba 1 mwaka huu Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam kuanzia saa 10.30 jioni.

Mechi ya mwisho katika Super Weekend itakuwa Oktoba 3 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikiwakutanisha watani wa jadi Yanga na Simba, na itaanza kutimua vumbi saa 1 kamili usiku.

TWFA YATANGAZA KAMATI YA UCHAGUZI
Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake Tanzania (TWFA) kimetangaza Kamati ya Uchaguzi yenye wajumbe watano kwa ajili ya uchaguzi wake unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu.

Kaimu Mwenyekiti wa TWFA, Margreth Mtaki amewaambia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam leo kuwa kamati hiyo itaongozwa na Ombeni Zavala, na itarajia kutangaza mchakato wa uchaguzi huo Jumatatu (Septemba 24 mwaka huu).

Aliwataja wajumbe wengine wa kamati hiyo yenye jukumu la kuendesha uchaguzi wa chama hicho kuwa ni Rachel Masamu, Lloyd Nchunga, Nancy Mabula na Maneno Tamba.

Pia aliwataka wadau wa mpira wa miguu wa wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika TWFA mara Kamati ya Uchaguzi itakapoanza mchakato.

Wakati huo huo, uchaguzi wa vyama vya mpira wa miguu vya mikoa ya Kilimanjaro (KRFA) na Manyara (MARFA) unafanyika kesho (Septemba 22 mwaka huu).


Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Posted by Unknown at 11:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Mpasuko wa kisiasa waibuka tena Zanzibar


Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar

 CHAMA cha Wananchi CUF kimesema kimegundua kuna viongozi wa SMZ  hawataki maridhiano yaliyozaa serikali ya Umoja wa Kitaifa, Novemba mwaka 2010.

Tamko hilo limetolewa na Mkurugenzi wa habari, Uenezi na mawasiliano ya umma wa CUF jana Salim Bimani Abdalla, kufuatia vurugu zilizotokea katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Bububu Septemba 16 mwaka huu.

Alisema kwamba chama hicho tayari kimewafahamu baadhi ya Viongozi kutoka CCM wanaopinga serikali ya Umoja wa kitaifa na tayari wanajitayarisha kuwashitakia kwa wananchi kupitia vyombo vya kutunga sheria Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) na Bungeni.

Alisema kwamba hatua hiyo itasadia wananchi kuwatambua viongozi wenye kinyongo na mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar ambayo yaliruhusu mfumo wa mpya wa serikali  ya pamoja.

“Kuna Viongozi  wa Serikali hawataki maridhiano yalioleta serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar tumewafahamu kupitia uchaguzi wa Bububu,”alisema Bimani.

Alieleza  kwamba vurugu za askari wa Vikosi kutumia nguvu kubwa ikiwemo kutisha watu kwa risasi za moto ni ushaidi wa kuwepo kuwepo viongozi ambao hawataki kubadilika na kumaliza siasa za uhasama visiwani humo.

Alisema kwamba hakutegemea vikosi vya SMZ  kutumia nguvu kubwa ikiwemo kutumia risasi za moto kupiga hewani wakati Vikosi hivyo vipo chini ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais (IKULU).

Aidha alisema kwamba katika kampeni za uchaguzi huo kuna viongozi wa CCM walitumia majukwaa vibaya ikiwemo kutoa lugha za matusi dhidi ya viongozi wa CUF wanaoshiriki kuunda serikali ya Umoja wa kitaifa.

Akizungumzia tuhuma hizo Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai alisema tuhuma za CUF hazina msingi wowote na zimelenga kuficha ukweli na kuwadaganya wananchi.

Alisema kwamba chimbuko la vurugu katika uchaguzi huo limetokana na Viongozi wa CUF kupeleka  Vijana  3000 usiku wa kuamkia uchaguzi na kuwapa kazi ya kutisha watu ikiwemo kuhakiki wapiga kura waliokuwa wanajitokeza wakiwa katika magari kinyume na sheria ya uchaguzi.

Vuai alisema kwamba vijana  wa CUF walikuwa wakizuia watu kwenda kupiga kura hasa wafuasi wa CCM na kutoa vitisho kabla ya askari kuamua kuwatawanya katika maeneo ya vituo vya wapiga kura.

Vuai alisema kwamba wangalizi wa uchaguzi kutoka  CUF wakiwemo mawaziri baadhi yao walifanya kazi  kukagua kadi za  wapiga kura wakati sio majukumu yao.



Alisema kwamba sheria za uchaguzi zilianza kuvunjwa mapema na baadhi ya Mawaziri wa CUF kutokana na kutumia magari ya umma wakati wa kampeni na uchaguzi kinyume na sheria na misingi ya Utawala bora.

Alisema kwamba CCM ilitarajia kuwa CUF watafanya kampeni za kistarabu baada ya kumaliza tofauti za kisiasa tangu kuuda serikali ya pamoja, lakini wameshindwa kubadilika na kuendeleza siasa za chuki na uhasama kinyume na mataraji ya wananchi.

Vuai alisema kwamba katika uchaguzi huo watu wenye asili ya Pemba awakuhojiwa uhalali  wa kupiga kura tofauti na watu wenye asili ya  Bambi, Makunduchi au  Donge katika uchaguzi huo.

Vuai alisema akiwa kama  muasisi wa muafaka kutoka CCM anajuta kwa kupoteza muda kutafuta amani ya Zanzibar baada ya kuibuka wanasiasa wanaorudisha siasa za chuki na ubaguzi na kuvuruga amani na Umoja wa kitaifa.

Alisema kwamba CUF imeshindwa kufanya siasa za kistarabu ikiwemo kukemea vitendo vya kuhatarisha amani na umoja wa kitaifa vinavyoofanywa na Jumuiya ya Uamsho na mihadhara Zanzibar. (JUMIKI).

Alisema Uamsho wamekuwa wakitoa lugha chafu dhidi ya Viongozi wa Kitaifa  na waasisi wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

“Najuta kupoteza muda wangu kutafuta muafaka wa amani ya Zanzibar wakati wezetu awataki kuacha siasa za chuki na uhasama,’alisema Vuai ambaye alikuwa Mjumbe wa kamati ya Muafaka.

Alisema kwamba akukuwa na sababu za msingi kwa viongozi wa CUF kuhakiki kadi za wapiga kura katika vituo wakati ndani ya chumba cha wapiga kura kuna mawakala wa vyama na orodha ya majina ya wapiga kura yakiwa na majina na picha za wahusika.

Katika uchaguzi huo mgombea wa CCM Hussen Ibrahim Makungu aliebuka mshindi kwa kumtagulia mgombea wa CUF Issa Khamis issa ambaye amegoma kusaini matokeo na kutangaza kupiga matokeo mahakama Kuu ya Zanzibar.

Mwisho


Posted by Unknown at 10:59 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

WAISLAM WAWAZIDI KETE POLISI WAANDAAMANA NA KUFANYA KONGAMANO DAR LICHA YA KUPIGWA MKWARA

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAMU INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMAD

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAM INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMMADI SAW

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAM INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMAD

waumini wa kiislam wakiwa katika kongamnao lao la kulaani Marekani kwa kuruhusu kutengenzwa kwa Filamu inayomkashfu Mtume Muhammad 'SAW' jana kwenye viwanja vya Kidongo Chekundu, jijini Dar es Salaam

Umma wa Kiislam ukiwa kwenye kongamano lao lililofanyika jana jijini Dar

Umma wa Mtume Muhammad SAW, ukiwa kwenye kongamano lao la kulaani utengenezwaji wa filamu ya kumkshfu Mtume Muhammad SAW.
CHANZO:MZUKA WA FUNGO
Posted by Unknown at 10:59 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

IBF YAWATEUA MAKAMU WANNE WA RAIS KATIKA BARA LA AFRIKA, GHUBA ZA UARABU NA UAJEMI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAREHE 20/09/2012


Shirikisho la Ngumi la Kimataifa IBF limepanua wigo wake wa kusimamia na kuratibu ngumi katiuka bara lka Afrika, Mashariki ya kati, Ghuba ya Urarabu na Ghuba ya Uajemi. Katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la vijana wengi kujiunga na ngumi na hivyo wengi kuhitaji huduma za shirikisho la IBF.
 
Ili kujiweka vizuri katika nafasi ya kutoa huduma nzuri inayotakikana, IBF imewateua Makamu wanne wa rais watakaomsaidia Raia wa Shirikisho hili Bwana Onesmo Ngowi.

Uteuzi huu umefuata mambo yafuatayo: Upendo wa wahusika wenyewe kwa mchezo wa ngumi, nafasi aliyonayo kwenye jamii, ukaribu wake na vijana, uwezo wake kielimu na michango yake kwa michezo.

Wafuatao wameteuliwa kuwa makamu wa Rais kuanzia mwisho wa mwezi huu:

Ayman Saad Bait-Saleem (Oman);

Makamu wa Rais,  Fedha
Ayman ni mhandisi mwenye shahada ya uzamili kutoka katika chuo kikuu cha Karolina ya Kusini (University of South Carolina, Colombia South Carolina, USA.) mwa nchi ya Marekani. Amefanya kazi kama Meneja Mkuu wa bandari ya Sultan Qaboos kwa miaka mingi, Meneja wa kampuni ya APL Moller Group ya Denmark nchini Oman, Kampuni ya Marekani ya ushauri wa Kihandisi na nyingine nyingi. Kwa sasa Ayman ni mfanyabishara mwenye kampuni nyingi nchini Oman mojawapo ikiwa ni AL SWAYNI SPORT SERVICES katika jiji la Muscat, Oman

William Steven Kallaghe

Makamu wa Rais, Utawala na Masoko
William ni msomi aliyebobea katika masuala ya Uchumi na Utawala na alisoma katika chuo kikuu cha Budapest, Hungary. Ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi na masoko na amefanya kazi na makampuni kadhaa kama Mkurugenzi Mkuu wa benki ya kiislamu ya NBC, Meneja Miradi wa benki ya CRDB, Meneja wa Masoko wa Kanda wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kabla ya kuhamishia ujuzi wake kama Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya NBC.

Henry Mann-Spain (Ghana)

Makamu wa Rais, Operations
Henry ni mfanyabishara aliyeboboea kwenye biashara mbalimbali na analimiki makampuni makubwa ya kutengeneza bidhaa za kilimo kama nguo na vyakula vya kugandishwa (Frozen Food).
Ana Shahada ya Uzamili wa Biashara (MBA) kutoka katika Chuo Kikuu cha Harvard kilichopo katika jimbo la Massachusetts nchini Marekani. Henry amefanya kazi kwa miaka mingi na mashirika ya kimataifa yakiwamo UNHCR, ILO na UNDP.
Kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Golden Crescent Ltd yanayojishughulisha na kutengeneza bidhaa kutoka kwenye mazao ya mifugo na kilimo nchini Ghana na kuyauza nchi za Ulaya, Marekani na Asia.


Louaa Debes (Misri)

Makamu wa Rais, Ubingwa na Viwango
Louaa ni mfanya biashara anayeishi katika jiji la cairo nchini Misri na ana uzoefu nkubwa kweney masuala ya biashara za kutengeneza nguo.
Louaa Debes amesoma biashara kwenye Chuo Kikuu cha Cairo na amefanya kazi na taasisi za serikali kabla ya kuanzisha shughuli za biashara. Debes anamiliki makampouni ya ulinzi, maduka makubwa (Super markets) pamoja na kamouni ya ukodishaji wa magari.

Imetolewa na:
Onesmo A.M. Ngowi

Rais
IBF katuka bara la Afrika, Mashariki ya Kati, Ghuba ya Uarabu na Uajemi.
(IBF President for Africa, Middle East, Arabian and Persian Gulfs)
Posted by Unknown at 10:41 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

KOCHA TOM SAINTFIET ATIMULIWA YANGA BAADA YA SIKU 80 NCHINI

Kocha wa Yanga, Tom Saintfiet siku alipowasili jijini Dar es Salaam Jumatano Julai 4, 2012 na kupokewa kwa mbwembwe.

YANGA imemtimua kocha wake Mbelgiji Tom Saintfiet baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa siku 80 kamili.

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga, Abdallah Ahmad Bin Kleb, amethibitisha kufukuzwa kwa Mbelgiji huyo ambaye ameiongoza Yanga katika mechi 14, kushinda 11, vipigo viwili na sare 1.

Saintfiet aliyetua nchini Jumatano, Julai 4, 2012, amefukuzwa siku moja tu baada ya kuwatuhumu wachezaji kuwa "masharobaro" kama moja ya sababu za mwanzo mbaya wa msimu kwa timu hiyo ambayo inashika nafasi ya 13 katika msimamo wa timu 14 za Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikiwa na pointi 1 kutokana na mechi mbili - sare ya 0-0 dhidi ya Prisons Jumamosi na kipigo cha aibu ambacho hakikutarajiwa cha 3-0 ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro.

Kabla ya kuwatuhumu wachezaji kwa kujiona mastaa wakubwa na kubadili mitindo ya nywele kila baada ya siku tatu ili kupamba kurasa za magazeti, Mbelgiji huyo alianika jinsi walivyolazwa wawili wawili mjini Mbeya wakati walipoenda kucheza dhidi ya Prisons katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Alilalamikia wachezaji kucheleweshewa chakula na wenye hoteli na kwamba alilazimika kuoga kwa kutumia kopo kutokana na mabomba ya 'mvua' ya kutotoa maji.



Hivi karibuni, Saintfiet alilalamikia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili, kutofurahishwa kwake na maisha ya kukaa hotelini badala ya kutafutiwa nyumba na pia kutopewa gari binafsi ya kutembelea na badala ya kuendeshwa kwenye "kipanya" cha klabu hiyo ambapo yeye amekuwa akikaa siti ya mbele.

Kipigo cha Mtibwa kimethibitisha kuichanganya timu hiyo ambayo mapema leo uongozi wake ulitangaza kuisimamisha kazi Sekretarieti nzima ya klabu, akiwamo Katibu Celestine Mwesigwa na Ofisa Habari, Louis Sendeu, "kutokana na utendaji usioridhisha".

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya klabu Jangwani jijini Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema kwamba maamuzi hayo yamefuatia kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika tangu saa 5:30 leo hadi saa 9:30.

Wengine waliosimamishwa ni Philip Chifuka aliyekuwa mhasibu, Masoud Saad, aliyekuwa Ofisa Utawala na Hafidh Saleh aliyekuwa Meneja ambaye atapewa majukumu mengine. Taarifa nyingine zimedai kuwa nyota wa zamani wa klabu hiyo Sekilojo Chambua anatarajiwa kutangazwa meneja mpya.

Sanga alisema watamtangaza meneja mwingine katika kikao kitakachofanyika klabuni hapo kesho saa 3:00 asubuhi. 

Saintfiet ambaye pia alipewa onyo na uongozi kwa "kuongea ovyo na vyombo vya habari", aliiwezesha Yanga kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati maarufu Kombe la Kagame kwa mara yao ya pili mfululizo baada ya kuifundisha timu hiyo kwa kipindi cha chini ya wiki tatu.  


REKODI YA SAINTFIET YANGA
1. Yanga v JKT Ruvu             (kirafiki)                2-0
2. Yanga v Atletico (Burundi, Kagame)               0-2
3. Yanga v Waw Salam (Sudan, Kagame)          7-1
4. Yanga v APR (Rwanda, Kagame)                   2-0
5. Yanga v Mafunzo (Z’bar, Kagame)                 1-1 (5-3 penalti)
6. Yanga v APR (Rwanda, Kagame)                   1-0
7. Yanga v Azam (Kagame)                                2-0
8. Yanga v African Lyon (kirafiki)                        4-0
9. Rayon v Yanga (kirafiki, Rwanda)                   0-2
10. Polisi v Yanga (kirafiki, Rwanda)                  1-2
11. Yanga v Coastal Union    (kirafiki)                 2-1
12. Yanga v Moro United      (kirafiki)                  4-0
13. Prisons v Yanga  (Ligi Kuu)                          0-0
14. Mtibwa v Yanga (Ligi Kuu)                           0-3


Chanzo:Straikamkali
Posted by Unknown at 10:37 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

99 BEAUTIFUL NAMES OF ALLAH

Sikiliza Redio

FREE LIVE RADIO ONLINE
Clouds FM
Listen to Clouds FM - FM 88.4 - Dar es Salaam

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations

LEO NI:

SASA NI

Blog Archive

  • ►  2018 (47)
    • ►  May (29)
      • ►  May 06 (29)
    • ►  April (2)
      • ►  Apr 29 (2)
    • ►  March (3)
      • ►  Mar 21 (2)
      • ►  Mar 17 (1)
    • ►  January (13)
      • ►  Jan 06 (5)
      • ►  Jan 05 (8)
  • ►  2017 (73)
    • ►  September (4)
      • ►  Sep 12 (4)
    • ►  April (7)
      • ►  Apr 13 (7)
    • ►  January (62)
      • ►  Jan 15 (9)
      • ►  Jan 13 (23)
      • ►  Jan 12 (8)
      • ►  Jan 09 (1)
      • ►  Jan 08 (8)
      • ►  Jan 06 (13)
  • ►  2016 (174)
    • ►  September (6)
      • ►  Sep 09 (6)
    • ►  August (7)
      • ►  Aug 19 (7)
    • ►  June (68)
      • ►  Jun 24 (9)
      • ►  Jun 23 (5)
      • ►  Jun 22 (8)
      • ►  Jun 15 (4)
      • ►  Jun 10 (6)
      • ►  Jun 09 (10)
      • ►  Jun 08 (9)
      • ►  Jun 03 (10)
      • ►  Jun 01 (7)
    • ►  May (53)
      • ►  May 30 (9)
      • ►  May 29 (2)
      • ►  May 28 (6)
      • ►  May 27 (10)
      • ►  May 22 (10)
      • ►  May 21 (5)
      • ►  May 20 (11)
    • ►  February (5)
      • ►  Feb 12 (5)
    • ►  January (35)
      • ►  Jan 10 (8)
      • ►  Jan 08 (12)
      • ►  Jan 07 (12)
      • ►  Jan 06 (3)
  • ►  2015 (459)
    • ►  December (3)
      • ►  Dec 10 (3)
    • ►  September (3)
      • ►  Sep 11 (3)
    • ►  August (28)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 21 (4)
      • ►  Aug 19 (5)
      • ►  Aug 18 (4)
      • ►  Aug 15 (8)
      • ►  Aug 11 (3)
      • ►  Aug 03 (2)
    • ►  July (11)
      • ►  Jul 20 (4)
      • ►  Jul 11 (2)
      • ►  Jul 10 (5)
    • ►  June (26)
      • ►  Jun 26 (9)
      • ►  Jun 24 (2)
      • ►  Jun 22 (1)
      • ►  Jun 21 (4)
      • ►  Jun 17 (3)
      • ►  Jun 12 (7)
    • ►  May (25)
      • ►  May 18 (1)
      • ►  May 17 (8)
      • ►  May 15 (2)
      • ►  May 11 (4)
      • ►  May 10 (10)
    • ►  April (15)
      • ►  Apr 08 (5)
      • ►  Apr 06 (2)
      • ►  Apr 05 (1)
      • ►  Apr 03 (7)
    • ►  March (53)
      • ►  Mar 15 (6)
      • ►  Mar 09 (4)
      • ►  Mar 07 (7)
      • ►  Mar 06 (8)
      • ►  Mar 05 (7)
      • ►  Mar 04 (5)
      • ►  Mar 03 (5)
      • ►  Mar 02 (8)
      • ►  Mar 01 (3)
    • ►  February (163)
      • ►  Feb 28 (11)
      • ►  Feb 26 (9)
      • ►  Feb 25 (12)
      • ►  Feb 23 (7)
      • ►  Feb 22 (9)
      • ►  Feb 21 (3)
      • ►  Feb 20 (4)
      • ►  Feb 19 (4)
      • ►  Feb 18 (8)
      • ►  Feb 16 (6)
      • ►  Feb 15 (5)
      • ►  Feb 13 (9)
      • ►  Feb 12 (5)
      • ►  Feb 11 (3)
      • ►  Feb 09 (3)
      • ►  Feb 08 (10)
      • ►  Feb 07 (18)
      • ►  Feb 05 (6)
      • ►  Feb 04 (8)
      • ►  Feb 03 (12)
      • ►  Feb 02 (8)
      • ►  Feb 01 (3)
    • ►  January (132)
      • ►  Jan 31 (4)
      • ►  Jan 30 (14)
      • ►  Jan 28 (14)
      • ►  Jan 24 (10)
      • ►  Jan 21 (5)
      • ►  Jan 20 (6)
      • ►  Jan 18 (3)
      • ►  Jan 17 (2)
      • ►  Jan 12 (11)
      • ►  Jan 11 (4)
      • ►  Jan 10 (5)
      • ►  Jan 09 (8)
      • ►  Jan 05 (7)
      • ►  Jan 04 (17)
      • ►  Jan 03 (8)
      • ►  Jan 02 (14)
  • ►  2014 (1988)
    • ►  December (194)
      • ►  Dec 31 (4)
      • ►  Dec 30 (8)
      • ►  Dec 28 (10)
      • ►  Dec 25 (6)
      • ►  Dec 24 (5)
      • ►  Dec 23 (10)
      • ►  Dec 22 (8)
      • ►  Dec 21 (10)
      • ►  Dec 19 (20)
      • ►  Dec 18 (3)
      • ►  Dec 17 (5)
      • ►  Dec 16 (9)
      • ►  Dec 15 (3)
      • ►  Dec 14 (15)
      • ►  Dec 10 (2)
      • ►  Dec 09 (15)
      • ►  Dec 07 (9)
      • ►  Dec 06 (11)
      • ►  Dec 05 (10)
      • ►  Dec 04 (4)
      • ►  Dec 03 (2)
      • ►  Dec 02 (21)
      • ►  Dec 01 (4)
    • ►  November (112)
      • ►  Nov 30 (8)
      • ►  Nov 29 (3)
      • ►  Nov 27 (4)
      • ►  Nov 26 (11)
      • ►  Nov 11 (17)
      • ►  Nov 10 (1)
      • ►  Nov 09 (16)
      • ►  Nov 07 (6)
      • ►  Nov 06 (13)
      • ►  Nov 05 (6)
      • ►  Nov 04 (1)
      • ►  Nov 03 (13)
      • ►  Nov 02 (4)
      • ►  Nov 01 (9)
    • ►  October (184)
      • ►  Oct 31 (18)
      • ►  Oct 30 (5)
      • ►  Oct 29 (2)
      • ►  Oct 28 (3)
      • ►  Oct 27 (6)
      • ►  Oct 26 (9)
      • ►  Oct 25 (14)
      • ►  Oct 24 (6)
      • ►  Oct 23 (7)
      • ►  Oct 22 (10)
      • ►  Oct 21 (4)
      • ►  Oct 20 (15)
      • ►  Oct 18 (13)
      • ►  Oct 16 (9)
      • ►  Oct 15 (4)
      • ►  Oct 14 (7)
      • ►  Oct 13 (5)
      • ►  Oct 12 (5)
      • ►  Oct 07 (13)
      • ►  Oct 06 (4)
      • ►  Oct 05 (12)
      • ►  Oct 04 (13)
    • ►  September (222)
      • ►  Sep 29 (6)
      • ►  Sep 28 (7)
      • ►  Sep 27 (20)
      • ►  Sep 26 (1)
      • ►  Sep 25 (11)
      • ►  Sep 23 (9)
      • ►  Sep 21 (5)
      • ►  Sep 20 (9)
      • ►  Sep 19 (11)
      • ►  Sep 18 (1)
      • ►  Sep 14 (11)
      • ►  Sep 13 (12)
      • ►  Sep 12 (11)
      • ►  Sep 11 (4)
      • ►  Sep 10 (7)
      • ►  Sep 09 (11)
      • ►  Sep 08 (15)
      • ►  Sep 07 (17)
      • ►  Sep 06 (5)
      • ►  Sep 05 (11)
      • ►  Sep 04 (10)
      • ►  Sep 03 (12)
      • ►  Sep 02 (8)
      • ►  Sep 01 (8)
    • ►  August (167)
      • ►  Aug 31 (16)
      • ►  Aug 29 (9)
      • ►  Aug 28 (13)
      • ►  Aug 27 (22)
      • ►  Aug 26 (6)
      • ►  Aug 25 (16)
      • ►  Aug 24 (17)
      • ►  Aug 22 (9)
      • ►  Aug 21 (8)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 17 (7)
      • ►  Aug 15 (13)
      • ►  Aug 14 (8)
      • ►  Aug 12 (3)
      • ►  Aug 04 (9)
      • ►  Aug 03 (10)
    • ►  July (81)
      • ►  Jul 23 (3)
      • ►  Jul 21 (5)
      • ►  Jul 19 (7)
      • ►  Jul 18 (11)
      • ►  Jul 17 (9)
      • ►  Jul 15 (6)
      • ►  Jul 14 (5)
      • ►  Jul 05 (8)
      • ►  Jul 04 (9)
      • ►  Jul 03 (5)
      • ►  Jul 01 (13)
    • ►  June (91)
      • ►  Jun 28 (5)
      • ►  Jun 24 (5)
      • ►  Jun 22 (8)
      • ►  Jun 20 (6)
      • ►  Jun 17 (9)
      • ►  Jun 15 (8)
      • ►  Jun 13 (5)
      • ►  Jun 12 (6)
      • ►  Jun 11 (6)
      • ►  Jun 10 (8)
      • ►  Jun 09 (6)
      • ►  Jun 06 (17)
      • ►  Jun 03 (2)
    • ►  May (70)
      • ►  May 28 (5)
      • ►  May 27 (10)
      • ►  May 16 (4)
      • ►  May 13 (10)
      • ►  May 09 (1)
      • ►  May 08 (20)
      • ►  May 06 (6)
      • ►  May 05 (3)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 02 (6)
      • ►  May 01 (3)
    • ►  April (226)
      • ►  Apr 30 (5)
      • ►  Apr 29 (13)
      • ►  Apr 28 (6)
      • ►  Apr 27 (16)
      • ►  Apr 24 (12)
      • ►  Apr 23 (4)
      • ►  Apr 22 (13)
      • ►  Apr 21 (1)
      • ►  Apr 18 (4)
      • ►  Apr 17 (7)
      • ►  Apr 16 (2)
      • ►  Apr 15 (2)
      • ►  Apr 14 (11)
      • ►  Apr 13 (24)
      • ►  Apr 12 (5)
      • ►  Apr 11 (5)
      • ►  Apr 10 (8)
      • ►  Apr 09 (5)
      • ►  Apr 08 (10)
      • ►  Apr 07 (11)
      • ►  Apr 06 (14)
      • ►  Apr 05 (18)
      • ►  Apr 04 (4)
      • ►  Apr 03 (3)
      • ►  Apr 02 (9)
      • ►  Apr 01 (14)
    • ►  March (252)
      • ►  Mar 31 (2)
      • ►  Mar 30 (13)
      • ►  Mar 29 (13)
      • ►  Mar 28 (8)
      • ►  Mar 26 (6)
      • ►  Mar 25 (11)
      • ►  Mar 24 (6)
      • ►  Mar 23 (13)
      • ►  Mar 22 (9)
      • ►  Mar 20 (9)
      • ►  Mar 19 (9)
      • ►  Mar 18 (13)
      • ►  Mar 17 (6)
      • ►  Mar 16 (5)
      • ►  Mar 15 (10)
      • ►  Mar 12 (12)
      • ►  Mar 11 (9)
      • ►  Mar 10 (6)
      • ►  Mar 09 (15)
      • ►  Mar 08 (13)
      • ►  Mar 07 (2)
      • ►  Mar 06 (9)
      • ►  Mar 05 (6)
      • ►  Mar 04 (10)
      • ►  Mar 03 (9)
      • ►  Mar 02 (14)
      • ►  Mar 01 (14)
    • ►  February (204)
      • ►  Feb 27 (12)
      • ►  Feb 26 (10)
      • ►  Feb 25 (3)
      • ►  Feb 24 (10)
      • ►  Feb 23 (11)
      • ►  Feb 22 (8)
      • ►  Feb 21 (7)
      • ►  Feb 20 (5)
      • ►  Feb 19 (7)
      • ►  Feb 18 (11)
      • ►  Feb 16 (3)
      • ►  Feb 15 (11)
      • ►  Feb 14 (6)
      • ►  Feb 13 (14)
      • ►  Feb 12 (5)
      • ►  Feb 11 (7)
      • ►  Feb 10 (9)
      • ►  Feb 09 (10)
      • ►  Feb 08 (2)
      • ►  Feb 07 (15)
      • ►  Feb 06 (8)
      • ►  Feb 04 (8)
      • ►  Feb 02 (8)
      • ►  Feb 01 (14)
    • ►  January (185)
      • ►  Jan 31 (7)
      • ►  Jan 30 (11)
      • ►  Jan 29 (9)
      • ►  Jan 28 (9)
      • ►  Jan 27 (3)
      • ►  Jan 26 (8)
      • ►  Jan 25 (5)
      • ►  Jan 24 (11)
      • ►  Jan 23 (7)
      • ►  Jan 22 (4)
      • ►  Jan 21 (7)
      • ►  Jan 20 (3)
      • ►  Jan 19 (3)
      • ►  Jan 18 (12)
      • ►  Jan 17 (6)
      • ►  Jan 16 (1)
      • ►  Jan 15 (8)
      • ►  Jan 14 (12)
      • ►  Jan 13 (7)
      • ►  Jan 12 (14)
      • ►  Jan 11 (4)
      • ►  Jan 10 (2)
      • ►  Jan 09 (6)
      • ►  Jan 08 (3)
      • ►  Jan 07 (2)
      • ►  Jan 06 (7)
      • ►  Jan 03 (4)
      • ►  Jan 02 (6)
      • ►  Jan 01 (4)
  • ►  2013 (2402)
    • ►  December (166)
      • ►  Dec 30 (7)
      • ►  Dec 29 (3)
      • ►  Dec 27 (1)
      • ►  Dec 26 (8)
      • ►  Dec 25 (5)
      • ►  Dec 24 (2)
      • ►  Dec 23 (15)
      • ►  Dec 22 (8)
      • ►  Dec 21 (7)
      • ►  Dec 20 (12)
      • ►  Dec 19 (4)
      • ►  Dec 18 (9)
      • ►  Dec 17 (6)
      • ►  Dec 16 (7)
      • ►  Dec 14 (7)
      • ►  Dec 13 (8)
      • ►  Dec 12 (9)
      • ►  Dec 10 (8)
      • ►  Dec 07 (7)
      • ►  Dec 06 (9)
      • ►  Dec 05 (9)
      • ►  Dec 03 (6)
      • ►  Dec 02 (9)
    • ►  November (181)
      • ►  Nov 30 (14)
      • ►  Nov 29 (10)
      • ►  Nov 28 (5)
      • ►  Nov 27 (2)
      • ►  Nov 26 (9)
      • ►  Nov 25 (5)
      • ►  Nov 24 (1)
      • ►  Nov 23 (3)
      • ►  Nov 22 (3)
      • ►  Nov 21 (3)
      • ►  Nov 20 (8)
      • ►  Nov 18 (6)
      • ►  Nov 16 (9)
      • ►  Nov 15 (2)
      • ►  Nov 13 (3)
      • ►  Nov 12 (5)
      • ►  Nov 11 (7)
      • ►  Nov 10 (18)
      • ►  Nov 09 (18)
      • ►  Nov 07 (4)
      • ►  Nov 06 (9)
      • ►  Nov 05 (13)
      • ►  Nov 04 (7)
      • ►  Nov 03 (12)
      • ►  Nov 02 (1)
      • ►  Nov 01 (4)
    • ►  October (190)
      • ►  Oct 31 (10)
      • ►  Oct 30 (4)
      • ►  Oct 29 (2)
      • ►  Oct 28 (6)
      • ►  Oct 25 (5)
      • ►  Oct 24 (3)
      • ►  Oct 23 (3)
      • ►  Oct 22 (12)
      • ►  Oct 21 (7)
      • ►  Oct 20 (12)
      • ►  Oct 19 (11)
      • ►  Oct 18 (4)
      • ►  Oct 17 (1)
      • ►  Oct 16 (6)
      • ►  Oct 15 (16)
      • ►  Oct 14 (4)
      • ►  Oct 13 (6)
      • ►  Oct 12 (8)
      • ►  Oct 11 (2)
      • ►  Oct 10 (6)
      • ►  Oct 09 (6)
      • ►  Oct 08 (3)
      • ►  Oct 07 (7)
      • ►  Oct 06 (9)
      • ►  Oct 05 (11)
      • ►  Oct 04 (11)
      • ►  Oct 03 (7)
      • ►  Oct 02 (1)
      • ►  Oct 01 (7)
    • ►  September (204)
      • ►  Sep 30 (8)
      • ►  Sep 28 (8)
      • ►  Sep 27 (4)
      • ►  Sep 26 (16)
      • ►  Sep 25 (7)
      • ►  Sep 24 (12)
      • ►  Sep 23 (9)
      • ►  Sep 22 (11)
      • ►  Sep 21 (9)
      • ►  Sep 20 (9)
      • ►  Sep 19 (7)
      • ►  Sep 18 (2)
      • ►  Sep 17 (8)
      • ►  Sep 16 (7)
      • ►  Sep 15 (10)
      • ►  Sep 13 (20)
      • ►  Sep 12 (2)
      • ►  Sep 11 (6)
      • ►  Sep 10 (6)
      • ►  Sep 09 (2)
      • ►  Sep 08 (2)
      • ►  Sep 07 (2)
      • ►  Sep 06 (13)
      • ►  Sep 04 (1)
      • ►  Sep 03 (8)
      • ►  Sep 02 (6)
      • ►  Sep 01 (9)
    • ►  August (241)
      • ►  Aug 30 (4)
      • ►  Aug 29 (15)
      • ►  Aug 28 (6)
      • ►  Aug 27 (4)
      • ►  Aug 26 (7)
      • ►  Aug 25 (6)
      • ►  Aug 24 (3)
      • ►  Aug 23 (9)
      • ►  Aug 21 (10)
      • ►  Aug 20 (8)
      • ►  Aug 19 (9)
      • ►  Aug 17 (11)
      • ►  Aug 16 (9)
      • ►  Aug 15 (8)
      • ►  Aug 14 (6)
      • ►  Aug 13 (7)
      • ►  Aug 12 (4)
      • ►  Aug 11 (17)
      • ►  Aug 10 (11)
      • ►  Aug 09 (5)
      • ►  Aug 08 (9)
      • ►  Aug 07 (7)
      • ►  Aug 06 (9)
      • ►  Aug 05 (16)
      • ►  Aug 04 (11)
      • ►  Aug 03 (6)
      • ►  Aug 02 (18)
      • ►  Aug 01 (6)
    • ►  July (315)
      • ►  Jul 30 (8)
      • ►  Jul 29 (6)
      • ►  Jul 28 (11)
      • ►  Jul 27 (13)
      • ►  Jul 26 (9)
      • ►  Jul 25 (10)
      • ►  Jul 24 (12)
      • ►  Jul 23 (10)
      • ►  Jul 22 (13)
      • ►  Jul 21 (8)
      • ►  Jul 19 (10)
      • ►  Jul 18 (10)
      • ►  Jul 17 (13)
      • ►  Jul 16 (11)
      • ►  Jul 15 (13)
      • ►  Jul 14 (15)
      • ►  Jul 13 (7)
      • ►  Jul 12 (3)
      • ►  Jul 11 (16)
      • ►  Jul 10 (12)
      • ►  Jul 09 (15)
      • ►  Jul 08 (15)
      • ►  Jul 07 (8)
      • ►  Jul 06 (16)
      • ►  Jul 05 (6)
      • ►  Jul 04 (7)
      • ►  Jul 03 (10)
      • ►  Jul 02 (16)
      • ►  Jul 01 (12)
    • ►  June (253)
      • ►  Jun 30 (10)
      • ►  Jun 29 (5)
      • ►  Jun 28 (11)
      • ►  Jun 27 (14)
      • ►  Jun 26 (10)
      • ►  Jun 25 (14)
      • ►  Jun 24 (8)
      • ►  Jun 23 (10)
      • ►  Jun 21 (11)
      • ►  Jun 20 (8)
      • ►  Jun 19 (5)
      • ►  Jun 18 (9)
      • ►  Jun 17 (12)
      • ►  Jun 16 (10)
      • ►  Jun 15 (4)
      • ►  Jun 14 (12)
      • ►  Jun 13 (10)
      • ►  Jun 12 (10)
      • ►  Jun 11 (7)
      • ►  Jun 10 (17)
      • ►  Jun 08 (7)
      • ►  Jun 07 (8)
      • ►  Jun 06 (12)
      • ►  Jun 05 (7)
      • ►  Jun 03 (8)
      • ►  Jun 02 (10)
      • ►  Jun 01 (4)
    • ►  May (235)
      • ►  May 31 (8)
      • ►  May 30 (10)
      • ►  May 29 (3)
      • ►  May 28 (8)
      • ►  May 27 (4)
      • ►  May 26 (10)
      • ►  May 25 (2)
      • ►  May 24 (12)
      • ►  May 23 (9)
      • ►  May 22 (10)
      • ►  May 21 (14)
      • ►  May 20 (7)
      • ►  May 19 (4)
      • ►  May 18 (12)
      • ►  May 17 (7)
      • ►  May 16 (9)
      • ►  May 15 (5)
      • ►  May 14 (8)
      • ►  May 12 (8)
      • ►  May 11 (3)
      • ►  May 10 (6)
      • ►  May 09 (9)
      • ►  May 08 (10)
      • ►  May 07 (11)
      • ►  May 06 (13)
      • ►  May 04 (5)
      • ►  May 03 (12)
      • ►  May 02 (8)
      • ►  May 01 (8)
    • ►  April (183)
      • ►  Apr 30 (7)
      • ►  Apr 27 (9)
      • ►  Apr 25 (10)
      • ►  Apr 24 (8)
      • ►  Apr 23 (8)
      • ►  Apr 22 (12)
      • ►  Apr 21 (6)
      • ►  Apr 20 (2)
      • ►  Apr 19 (10)
      • ►  Apr 18 (7)
      • ►  Apr 17 (8)
      • ►  Apr 16 (13)
      • ►  Apr 15 (2)
      • ►  Apr 14 (5)
      • ►  Apr 13 (3)
      • ►  Apr 12 (7)
      • ►  Apr 11 (8)
      • ►  Apr 10 (7)
      • ►  Apr 09 (8)
      • ►  Apr 07 (3)
      • ►  Apr 06 (4)
      • ►  Apr 05 (2)
      • ►  Apr 04 (6)
      • ►  Apr 03 (10)
      • ►  Apr 02 (6)
      • ►  Apr 01 (12)
    • ►  March (195)
      • ►  Mar 31 (3)
      • ►  Mar 30 (9)
      • ►  Mar 29 (6)
      • ►  Mar 28 (3)
      • ►  Mar 27 (4)
      • ►  Mar 25 (10)
      • ►  Mar 22 (2)
      • ►  Mar 21 (10)
      • ►  Mar 20 (8)
      • ►  Mar 19 (10)
      • ►  Mar 18 (11)
      • ►  Mar 17 (9)
      • ►  Mar 16 (10)
      • ►  Mar 15 (12)
      • ►  Mar 14 (6)
      • ►  Mar 13 (4)
      • ►  Mar 12 (9)
      • ►  Mar 11 (4)
      • ►  Mar 10 (7)
      • ►  Mar 09 (3)
      • ►  Mar 08 (12)
      • ►  Mar 07 (7)
      • ►  Mar 06 (1)
      • ►  Mar 05 (5)
      • ►  Mar 04 (10)
      • ►  Mar 02 (7)
      • ►  Mar 01 (13)
    • ►  February (140)
      • ►  Feb 28 (4)
      • ►  Feb 27 (7)
      • ►  Feb 26 (10)
      • ►  Feb 25 (6)
      • ►  Feb 24 (5)
      • ►  Feb 23 (11)
      • ►  Feb 22 (8)
      • ►  Feb 21 (2)
      • ►  Feb 20 (1)
      • ►  Feb 18 (5)
      • ►  Feb 16 (10)
      • ►  Feb 15 (14)
      • ►  Feb 14 (1)
      • ►  Feb 13 (6)
      • ►  Feb 12 (10)
      • ►  Feb 11 (6)
      • ►  Feb 09 (8)
      • ►  Feb 05 (6)
      • ►  Feb 01 (20)
    • ►  January (99)
      • ►  Jan 31 (7)
      • ►  Jan 30 (12)
      • ►  Jan 24 (6)
      • ►  Jan 23 (8)
      • ►  Jan 18 (10)
      • ►  Jan 16 (5)
      • ►  Jan 15 (4)
      • ►  Jan 13 (6)
      • ►  Jan 12 (8)
      • ►  Jan 09 (8)
      • ►  Jan 08 (3)
      • ►  Jan 07 (7)
      • ►  Jan 05 (3)
      • ►  Jan 03 (7)
      • ►  Jan 01 (5)
  • ▼  2012 (411)
    • ►  December (51)
      • ►  Dec 31 (9)
      • ►  Dec 29 (8)
      • ►  Dec 20 (3)
      • ►  Dec 19 (8)
      • ►  Dec 11 (5)
      • ►  Dec 10 (4)
      • ►  Dec 05 (5)
      • ►  Dec 04 (3)
      • ►  Dec 01 (6)
    • ►  November (48)
      • ►  Nov 29 (11)
      • ►  Nov 28 (10)
      • ►  Nov 27 (11)
      • ►  Nov 19 (10)
      • ►  Nov 17 (1)
      • ►  Nov 10 (5)
    • ►  October (23)
      • ►  Oct 29 (10)
      • ►  Oct 15 (3)
      • ►  Oct 14 (6)
      • ►  Oct 13 (4)
    • ▼  September (94)
      • ►  Sep 30 (4)
      • ►  Sep 29 (8)
      • ►  Sep 28 (16)
      • ►  Sep 27 (3)
      • ►  Sep 26 (6)
      • ►  Sep 24 (7)
      • ▼  Sep 22 (6)
        • Minziro amrithi Saintfeit, Mwalusako arejeshwa Jan...
        •   MECHI ZA ‘LIVE’ SUPER SPORTS LI...
        • Mpasuko wa kisiasa waibuka tena Za...
        • WAISLAM WAWAZIDI KETE POLISI WAANDAAMANA NA KUFAN...
        • IBF YAWATEUA MAKAMU WANNE WA RAIS KATIKA BAR...
        • KOCHA TOM SAINTFIET ATIMULIWA YANGA BAADA YA SIKU...
      • ►  Sep 21 (12)
      • ►  Sep 20 (10)
      • ►  Sep 19 (8)
      • ►  Sep 17 (6)
      • ►  Sep 11 (3)
      • ►  Sep 05 (5)
    • ►  August (37)
      • ►  Aug 13 (1)
      • ►  Aug 12 (5)
      • ►  Aug 11 (10)
      • ►  Aug 08 (5)
      • ►  Aug 04 (2)
      • ►  Aug 03 (4)
      • ►  Aug 02 (5)
      • ►  Aug 01 (5)
    • ►  July (24)
      • ►  Jul 30 (9)
      • ►  Jul 29 (5)
      • ►  Jul 02 (2)
      • ►  Jul 01 (8)
    • ►  June (42)
      • ►  Jun 25 (5)
      • ►  Jun 19 (3)
      • ►  Jun 08 (1)
      • ►  Jun 07 (5)
      • ►  Jun 06 (8)
      • ►  Jun 04 (7)
      • ►  Jun 02 (3)
      • ►  Jun 01 (10)
    • ►  May (51)
      • ►  May 28 (5)
      • ►  May 25 (9)
      • ►  May 23 (5)
      • ►  May 22 (11)
      • ►  May 21 (9)
      • ►  May 19 (5)
      • ►  May 17 (7)
    • ►  April (15)
      • ►  Apr 20 (3)
      • ►  Apr 19 (8)
      • ►  Apr 07 (4)
    • ►  January (26)
      • ►  Jan 19 (3)
      • ►  Jan 18 (11)
      • ►  Jan 10 (3)
      • ►  Jan 06 (9)
  • ►  2011 (191)
    • ►  December (25)
      • ►  Dec 30 (12)
      • ►  Dec 27 (7)
      • ►  Dec 02 (6)
    • ►  November (17)
      • ►  Nov 18 (6)
      • ►  Nov 12 (11)
    • ►  October (6)
      • ►  Oct 20 (6)
    • ►  September (20)
      • ►  Sep 30 (11)
      • ►  Sep 26 (5)
      • ►  Sep 21 (1)
      • ►  Sep 13 (3)
    • ►  August (13)
      • ►  Aug 28 (2)
      • ►  Aug 27 (6)
      • ►  Aug 08 (5)
    • ►  July (30)
      • ►  Jul 31 (9)
      • ►  Jul 30 (1)
      • ►  Jul 27 (6)
      • ►  Jul 16 (1)
      • ►  Jul 15 (7)
      • ►  Jul 14 (4)
      • ►  Jul 09 (2)
    • ►  June (13)
      • ►  Jun 29 (1)
      • ►  Jun 26 (10)
      • ►  Jun 25 (2)
    • ►  April (23)
      • ►  Apr 25 (6)
      • ►  Apr 15 (17)
    • ►  March (20)
      • ►  Mar 12 (6)
      • ►  Mar 08 (3)
      • ►  Mar 04 (3)
      • ►  Mar 03 (6)
      • ►  Mar 02 (2)
    • ►  February (24)
      • ►  Feb 28 (2)
      • ►  Feb 26 (3)
      • ►  Feb 25 (3)
      • ►  Feb 24 (1)
      • ►  Feb 22 (3)
      • ►  Feb 19 (2)
      • ►  Feb 15 (1)
      • ►  Feb 12 (3)
      • ►  Feb 11 (1)
      • ►  Feb 04 (5)
  • ►  2010 (72)
    • ►  December (24)
      • ►  Dec 18 (3)
      • ►  Dec 16 (3)
      • ►  Dec 13 (2)
      • ►  Dec 10 (8)
      • ►  Dec 06 (6)
      • ►  Dec 05 (2)
    • ►  September (10)
      • ►  Sep 29 (3)
      • ►  Sep 23 (1)
      • ►  Sep 17 (2)
      • ►  Sep 10 (1)
      • ►  Sep 06 (1)
      • ►  Sep 05 (2)
    • ►  August (10)
      • ►  Aug 23 (4)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 03 (3)
    • ►  July (28)
      • ►  Jul 27 (5)
      • ►  Jul 23 (1)
      • ►  Jul 19 (15)
      • ►  Jul 10 (1)
      • ►  Jul 09 (2)
      • ►  Jul 07 (4)

BLOGS NYINGINE

  • BBCSwahili.com | Habari
    Dira Ya Dunia - Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
    1 hour ago
  • LENZI YA MICHEZO
    BONANZA LA NMB KIJIJI DAY YAFANA NGORONGORO - Na Mwandishi Wetu.Ngorongoro,Arusha. Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya NMB Kijiji Day imefanya shughuli mbalimbali za kijamii katika tarafa ya Lolion...
    1 week ago
  • BIN ZUBEIRY
    TAIFA STARS YACHAPWA 1-0 NA MADAGASCAR MECHI YA UFUNGUZI COSAFA - TANZANIA jana ilianza vibaya michuano ya Kombe la Mataifa ya Kusini mwa Afrika (COSAFA) baada ya kufungwa bao 1-0 na Madagascar Uwanja wa Free State Toyo...
    1 week ago
  • HABARI MSETO BLOG
    Benki ya NMB yahudhuria Mkutano wa Kamisheni ya huduma za Jamii ya Kikristo (CSSC) - Uwakilishi wa Benki ya NMB ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Bi. Ruth Zaipuna umehudhuria Mkutano wa Kamisheni ya Huduma za Kijamii ya Kikristo (CSSC),...
    4 months ago
  • Mwanaspotimwanzo
    Kisa Simba, Yanga yamsimamisha mwanasheria wao - Simon alikaimu nafasi hiyo baada ya David Ruhago kufurushiwa virago.
    4 years ago
  • Mwananchimwanzo
    Magufuli awatuliza wabunge nafasi za uwaziri - Amesema hakuna haraka ya kuteua mawaziri kwa kuwa wengi wana sifa
    4 years ago
  • MLEKANI NEWS
    TAKUKURU Kubaini Mamluki Michezo Mei Mosi 2020 - *Wajumbe wa Kamati ya Michezo ya mashindano ya Mei Mosi wakiwa kwenye kikao cha Kwanza cha maandalizi ya michezo hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki k...
    5 years ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    5 years ago
  • Ustream Live Shows
    Wolf River Cam-New London - Wolf River Cam's New London location. See walleye, sturgeon, bass and many more types of fish. Viewers: 645,527
    6 years ago
  • Mzuka wa Fungo
    MSANII DIAMOND AZINDUA WIMBO WA COLOURS KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI - Cathbert Kajuna To:amichuzi,othmanmichuzi,MUHIDIN MICHUZI,Geofrey Adroph Bcc:fungoomar@yahoo.com May 15 at 6:00 AM Msanii Diamond akipagawisha mashabiki wa...
    7 years ago
  • Shaffih Dauda
    Kisa cha familia yenye “mkosi” zaidi katika soka, habari yao inasikitisha - Nou Camp ni kati ya sehemu ambayo kila mpenda soka angetamani kufiki, kwani nani asiyependa kumuona Messi na nani asiyependa kuona pasi nzuri zikipigwa na ...
    7 years ago
  • MASAI NYOTAMBOFU
    YALIYOJIRI: WATATU WABURUZWA MAHAKAMANI KWA KOSA LA KUBEBA MABANGO YAKUMKASHIFU MH RAIS MAGUFULI - Jana wafuasi wa UKAWA walitiwa mbaroni baada ya kutoke mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kumkashifu Mtukufu Mkuu san...
    8 years ago
  • ELIMU KWANZA TANZANIA
    Airtel yakabidhi Sh Mil 5 Tuzo za Mwanamakuka 2014 - Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi Mwenyekiti UWF na Mratibu wa Mradi wa Tuzo za Mwanamakuka Maryam Shamo wakati ...
    11 years ago
  • Soccerway.com
    -

FOLLOWERS

About Me

Unknown
View my complete profile

ZILIZOSOMWA SANA

  • Deo Lyatto atoa Shukrani kwa wadau wa soka nchini
  • Huyu ndiye Ali Badru: Straika aliyekimbia vurugu Misri akiamini Simba itampeleka Ulaya
  • Wakazi King'ongo wachimbwa mkwara, kisa michango ya Ulinzi
Web Counter
WALIOTEMBELEA MPAKA SASA
Flag Counter

Tuliza akili zako kwa Game

BIASHARA NI MATANGAZO

WASILIANA NASI KWA MATANGAZO AU HABARI KUPITIA 0713-229787 au 0683-229787 ama email: kimwagaboy@yahoo.co.uk au wakuzataboy@yahoo.com
MICHARAZO MITUPU By BADRU KIMWAGA. Watermark theme. Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.