STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, June 10, 2016

Beki ya Yanga majaribuni, kupaa J'Pili kuifuata Bejaia

Baadhi ya wachezaji wa Yanga
SIKIA hii. Zaidi ya nusu ya mabao ya Yanga msimu huu yamefungwa na mastraika wawili, Donald Ngoma na Amissi Tambwe ambao umoja wao umeipa vijana wa Hans Pluijm jumla ya mabao 42, kati yao 38 ya Ligi Kuu na manne ya michuano ya Afrika.
Hivyo ni rahisi kwa mabeki wa timu pinzani kama wameisoma vema safu ya ushambuliaji ya Yanga kuinyima ushindi kwa kuwazuia nyota hao, kwani hata katika Ligi Kuu Bara baadhi ya timu ziliweza kufanya hivyo na kuisumbua Yanga.
Lakini sasa kama ulikuwa hujui ni kwamba Yanga inayojiandaa na safari yake ya kwenda Algeria kuvaana na MO Bejaia katika mechi ya ufunguzi ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, mabeki wake watakuwa na ngoma nzito ughaibuni.
Mabeki hao watakuwa na kazi ngumu juu ya kubashiri wamkabe mchezaji gani wa Bejaia ili wasije wakaaumbua ugenini, kwani wapinzani wao hao hawana mfungaji mmoja tegemeo, mchezaji yeyote wa timu hiyo akipata nafasi ya kutupia mpira kimiani anafanya hivyo, kitu ambacho ni lazima mabeki wa Yanga wajipange mapema kabla ya kuwafuata Waarabu hao watakaocheza nao Juni 19.
Ukiondoa mastraika wake nyota, Okacha Hamzaoui, Zahir Zerdab na Mamadou N'Doye, Bejaiapia hufunga mabao yake kupitia viungo na mabeki wake wanaocheza soka la nguvu.
Staili hiyo ya Bejaia kutomtegemea mfungaji mmoja, itawapa kibarua kizito mabeki wa Yanga, Juma Abdul, Oscar Joshua, Vincent Bossou, Kelvin Yondani na nahodha  Nadir Haroub 'Cannavaro', kuanza mapema kusaka mbinu za kuhakikisha kipa wao iwe Ally Mustafa 'Barhez' au Deo Munishi 'Dida' hawasumbuliwi katika mechi hiyo.
Achana na mechi za Ligi Daraja la Kwanza (Division 1) ya Algeria ambapo ilimaliza katika nafasi ya sita ikikusanya pointi 44 kutokana na mechi 30 huku ikifunga mabao 33, kwenye mechi ya kimataifa timu hiyo ilifunga mabao saba hadi kutinga makundi ya Kombe la Shirikisho, yote yakifungwa na wachezaji tofauti.
Mabao mawili pekee ndiyo yaliyofungwa na mchezaji mmoja, Mamadou N'Doye wakati Bejaia ikipata sare ya bao 1-1 dhidi ya Zamalek katika raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kung'olewa na ilipovaana na Esperance ya Tunisia kuwania kutinga makundi ya Kombe la Shirikisho. Ndoye hata hivyo hatakuwepo kwenye mchezo huo wa Juni 20 kwani ana kadi zinazomzuai kucheza mechi ya Yanga.
Mabao yake mengine yamefungwa na Okacha Hamzaoui, beki Sofiane Khadir, Faouzi Yaya na kiungo Morgan Betorangal Mfaransa mwenye asili ya Chad na jingine mchezaji wa Club Africans ya Tunisia alijifunga katika mechi yao.
Kwa kuangalia hivyo ni wazi vijana wa Hans Pluijm wanatakiwa kuwa makini na wapinzani wao kuhakikisha wanavuna pointi tatu muhimu umangani kabla ya kuja kuvaana na TP Mazembe katika mechi yao ya pili ya Kundi A wiki mbili zijazo.
Yanga imetinga hatua hiyo ikiwa ni rekodi kwao na timu za Afrika Mashariki na ipo kundi moja na Medeama ya Ghana watakaoumana nao katika mechi mbili mfululizo mwanzoni mwa Julai.

katika hatua nyingine kikosi cha Yanga kitapaa alfariji ya Jumapili kuelekea Uturuki kuweka kambi kabla ya kuivamia Mo Bejaia kwao kwa mchezo wao wa Kundi A.
Awali safari hiyo ilitangazwa ingefanyika kesho Jumamosi, lakini mipango imeenda sivyo ikiwa ni pamoja na kupisha Uchaguzi Mkuu unaofanyika kesho kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar.

Wengi wajitokeza kumuaga Muhammad Ali

http://i1.wp.com/radaronline.com/wp-content/uploads/2016/06/Muhammad-Ali-Funeral-Details-Pallbearer-Will-Smith-pp.jpg?fit=700%2C615MAELFU ya watu wanatarajiwa kumuaga aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky.
Bingwa huyo wa ndondi katika uzani mzito duniani na mwanaharakati alifariki siku ya Ijumaa akiwa na umri wa miaka 74.




Umati mkubwa wa watu utachukua mwili wake na kuupitisha katika maeneo muhimu ya maisha yake kabla ya kuufanyia ibada.
Muingizaji Will Smith na aliyekuwa bondia Lenox Lewis watakuwa miongoni mwa wale watakaobeba jeneza lake ,huku aliyekuwa rais wa Marekani Bill Clinton akitarajiwa kutoa hotuba.




Msafara wa jeneza lake utaanzia saa tatu saa za Marekani na kulipitisha jeneza hilo nyumbani kwake,katika kituo cha Ali,baadaye kupitishwa katika kituo cha makavazi ya watu weusi nchini Marekani na baadaye katika eneo la Muhammad Ali Boulevard.



Muhammad Ali enzi za uhai wake siku za karibuni

Miongoni mwa wale wanaotarajiwa kuhudhuria ibada ni rais wa Uturuki Reccep Tayyip Erdogan na mfamle Abdullah wa Jordan.
Rais Obama hatakuwepo,kwa kuwa anatarajiwa kuhudhuria sherehe ya kufuzu kwa mahafala ya mwanawe mkubwa Malia.Mshauri mkuu wa ikulu ya rais Valerie Jarret ambaye alimjua Ali atamwakilisha rais.


Lennox Lewis aliyekuwa bondia wa uzani mkubwa dunia kabla ya kustaafu kwake amesema kuwa ni heshimu kubwa kwake kuorodheshwa miongoni mwa wale watakaobeba jeneza la marehemu huku akisema kuwa kumbukumbu za Ali hazitasaulika.



Nyumbani kwa marehemu

Ali alitaka ibada ya Janazah kuwa wakati wa mafunzo kulingana na Imam zaid Shakir alieongoza ibada hiyo.
Msomi wa Kiislamu Sherman Jackson alisema:Kufariki kwa Muhammad Ali kumetufanya tujisikie wapweke duniani.''Kitu kizima,kitu kikubwa na kinachovutia na kinachotoa uhakika wa maisha kimetuwacha''.
Thousands attend the jenazah, an Islamic funeral prayer, for the late boxing champion

Baada ya kujiuzulu,uvumi ulianza kuhusu hali yake ya kiafya.Ugonjwa wa kutetetemeka mwili baadaye ulipatikana lakini Ali aliendelea kuwepo katika maeneo ya hadhara huku akipokewa vizuri kila anapoenda.
BBC

Vikosi kamili vitakavyochuana Ufaransa katika Euro 2016 hivi hapa

http://www.sportsmirchi.com/wp-content/uploads/2015/10/UEFA-Euro-2016-Qualified-teams-List.jpg 
PARIS, Ufaransa
TIMU 24 za taifa barani Ulaya zitakazoshindana katika fainali za mwaka huu za Euro 2016 zimetangaza vikosi vyao vya mwisho vya wachezaji 23 vya mwisho vitakavyoshiriki mashindano hayo nchini Ufaransa, ambayo yataanza leo Juni 10 hadi Julai 10 mwaka huu.
 
ALBANIA (Kundi A)
(wachezaji 23 kikosi cha mwisho) 
Makipa: Etrit Berisha (Lazio), Alban Hoxha (Partizani), Orges Shehi (Skenderbeu).

Mabeki: Elseid Hysaj (Napoli), Lorik Cana (Nantes), Arlind Ajeti (Frosinone), Mergim Mavraj (Koeln), Naser Aliji (Basel), Ansi Agolli (Karabag), Frederik Veseli (Lugano).
Viungo: Ermir Lenjani (Nantes), Andi Lila (Giannina), Migjen Basha (Como), Ledian Memushaj (Pescara), Burim Kukeli (Zurich), Taulant Xhaka (Basel), Ergys Kace (Paok), Amir Abrashi (Freiburg), Odise Roshi (Rijeka).

Washambuliaji: Bekim Balaj (Rijeka), Sokol Cikalleshi (Medipol Basaksehir), Armando Sadiku (Vaduz), Shkelzen Gashi (Colorado Rapids).

AUSTRIA(Kundi F)
 
Makipa: Robert Almer (Austria Vienna), Heinz Lindner (Eintracht Frankfurt), Ramazan Ozcan (Ingolstadt).

Mabeki: Aleksandar Dragovic (Dinamo Kiev), Christian Fuchs (Leicester City), Gyorgy Garics (Darmstadt), Martin Hinteregger (Borussia Monchengladbach), Florian Klein (Stuttgart), Sebastian Prodl (Watford), Markus Suttner (Ingolstadt), Kevin Wimmer (Tottenham Hotspur).

Viungo: David Alaba (Bayern Munich), Marko Arnautovic (Stoke City), Julian Baumgartlinger (Mainz), Martin Harnik (Stuttgart), Stefan Ilsanker (Leipzig), Jakob Jantscher (Luzern), Zlatko Junuzovic (Werder Bremen), Marcel Sabitzer (Leipzig), Alessandro Schopf (Schalke).

Washambuliaji: Lukas Hinterseer (Ingolstadt), Rubin Okotie (1860 Munich), Marc Janko (Basel).

UBELGIJI(Kundi E)

Makipa: Thibaut Courtois (Chelsea), Jean-Francois Gillet (Mechelen), Simon Mignolet (Liverpool).

Mabeki: Toby Alderweireld (Tottenham), Jason Denayer (Galatasaray), Bjorn Engels (Club Bruges), Nicolas Lombaerts (Zenit), Jordan Lukaku (Oostende), Thomas Meunier (Club Bruges), Thomas Vermaelen (Barcelona), Jan Vertonghen (Tottenham).

Viungo: Moussa Dembele (Tottenham), Marouane Fellaini (Manchester United), Radja Nainggolan (Roma), Axel Witsel (Zenit St Petersburg).

Washambuliaji: Michy Batshuayi (Marseille), Christian Benteke (Liverpool), Yannick Carrasco (Atletico Madrid), Kevin De Bruyne (Manchester City), Eden Hazard (Chelsea), Romelu Lukaku (Everton), Dries Mertens (Napoli), Divock Origi (Liverpool).

CROATIA(Kundi D)
Makipa: Danijel Subasic (Monaco), Lovre Kalinic (Hajduk Split), Ivan Vargic (Rijeka).

Mabeki: Vedran Corluka (Lokomotiv Moscow), Darijo Srna (Shakhtar Donetsk), Domagoj Vida (Dynamo Kiev), Sime Vrsaljko (Sassuolo), Gordon Schildenfeld (Dinamo Zagreb), Ivan Strinic (Napoli), Tin Jedvaj (Bayer Leverkusen)
.
Viungo: Luka Modric (Real Madrid), Ivan Rakitic (Barcelona), Mateo Kovacic (Real Madrid), Marcelo Brozovic (Inter Milan), Milan Badelj (Fiorentina), Ivan Perisic (Inter Milan), Marko Rog (Dinamo Zagreb), Ante Coric (Dinamo Zagreb).



Washambuliaji: Mario Mandzukic (Juventus), Nikola Kalinic (Fiorentina), Marko Pjaca (Dinamo Zagreb), Duje Cop (Dinamo Zagreb), Andrej Kramaric (Leicester).

JAMHURI YA CZECH (Kundi D)
  
Makipa: Petr Cech (Arsenal), Tomas Vaclik (Basle), Tomas Koubek (Slovan Liberec).

Mabeki: Theodor Gebre Selassie (Werder Bremen), Roman Hubnik (Viktoria Pilsen), Pavel Kaderabek (Hoffenheim), Michal Kadlec (Fenerbahce), David Limbersky (Viktoria Pilsen), Daniel Pudil (Sheffield Wednesday), Marek Suchy (Basle), Tomas Sivok (Bursaspor).

Viungo: Vladimir Darida (Hertha Berlin), Borek Dockal (Sparta Prague), Jiri Skalak (Brighton) Daniel Kolar (Viktoria Pilsen), Ladislav Krejci (Sparta Prague), David Pavelka (Kasimpasa), Jaroslav Plasil (Bordeaux), Tomas Rosicky (Arsenal), Josef Sural (Sparta Prague).

Washambuliaji: David Lafata (Sparta Prague), Tomas Necid (Burkaspor), Milan Skoda (Slavia Prague).

ENGLAND (Kundi B)
   
Makipa: Fraser Forster (Southampton), Joe Hart (Manchester City), Tom Heaton (Burnley).

Mabeki: Ryan Bertrand (Southampton), Gary Cahill (Chelsea), Nathaniel Clyne (Liverpool), Danny Rose (Tottenham), Chris Smalling (Manchester United), John Stones (Everton), Kyle Walker (Tottenham).

Midfielders: Dele Alli (Tottenham), Ross Barkley (Everton), Eric Dier (Tottenham), Jordan Henderson (Liverpool), Adam Lallana (Liverpool), James Milner (Liverpool), Raheem Sterling (Manchester City), Jack Wilshere (Arsenal).

Washambuliaji: Harry Kane (Tottenham), Marcus Rashford (Manchester United), Wayne Rooney (Manchester United), Daniel Sturridge (Liverpool), Jamie Vardy (Leicester)

UFARANSA (Kundi A)
  
Makipa: Benoit Costil (Rennes), Hugo Lloris (Tottenham), Steve Mandanda (Marseille).

Mabeki: Lucas Digne (Roma), Patrice Evra (Juventus), Christophe Jallet (Lyon), Laurent Koscielny (Arsenal), Eliaquim Mangala (Manchester City), Samuel Umtiti (Lyon), Bacary Sagna (Manchester City), Adil Rami (Sevilla).

Viungo: Yohan Cabaye (Crystal Palace), Morgan Scheiderlin (Manchester United), N'Golo Kante (Leicester), Blaise Matuidi (Paris Saint-Germain), Paul Pogba (Juventus), Moussa Sissoko (Newcastle).

Washambuliaji: Kingsley Coman (Bayern Munich), Andre-Pierre Gignac (Tigres), Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Anthony Martial (Manchester United), Dimitri Payet (West Ham).

UJERUMANI(Kundi C)
  
Makipa: Manuel Neuer (Bayern Munich), Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Bernd Leno (Leverkusen)

Mabeki: Jerome Boateng (Bayern Munich), Jonas Hector (Cologne), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Benedikt Howedes (Schalke), Shkodran Mustafi (Valencia), Emre Can (Liverpool), Antonio Rudiger (Roma)

Viungo: Sami Khedira (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid), Mesut Ozil (Arsenal), Julian Draxler (Wolfsburg), Bastian Schweinsteiger (Manchester United), Joshua Kimmich (Bayern Munich), Julian Weigl (Borussia Dortmund), Leroy Sane (Schalke)

Washambuliaji: Lukas Podolski (Galatasaray), Thomas Muller (Bayern Munich), Mario Gomez (Besiktas), Mario Gotze (Bayern Munich), Andre Schurrle (Wolfsburg)

HUNGARY(Kundi F)

Makipa: Gabor Kiraly (Haladas), Denes Dibusz (Ferencvaros), Peter Gulacsi (Leipzig)

Mabeki: Attila Fiola (Puskas Academy), Barnabas Bese (MTK Budapest), Richard Guzmics (Wisla Krakow), Roland Juhasz (Videoton), Adam Lang (Videoton), Tamas Kadar (Lech Poznan), Mihaly Korhut (Debrecen)

Viungo: Adam Pinter (Ferencvaros), Gergo Lovrencsics (Lech Poznan), Akos Elek (Diosgyor), Zoltan Gera (Ferencvaros), Adam Nagy (Ferencvaros), Laszlo Kleinheisler (Werden Bremen), Zoltan Stieber (Nuremberg)

Washambuliaji: Balazs Dzsudzsak (Bursaspor), Adam Szalai (Hannover), Krisztian Nemeth (Al Gharafa), Nemanja Nikolics (Legia Warsaw), Tamas Priskin (Slovan Bratislava), Daniel Bode (Ferencvaros)

ICELAND (Kundi F)
  
Makipa: Hannes Halldorsson (Bodo/Glimt), Ogmundur Kristinsson (Hammarby), Ingvar Jonsson (Sandefjord).

Mabeki: Ari Skulason (OB), Hordur Magnusson (Cesena), Hjortur Hermannsson (PSV Eindhoven), Ragnar Sigurdsson (Krasnodar), Kari Arnason (Malmo), Sverrir Ingi Ingason (Lokeren), Birkir Sævarsson (Hammarby), Haukur Heidar Hauksson (AIK).

Viungo: Emil Hallfredsson (Udinese), Gylfi Sigurdsson (Swansea), Aron Gunnarsson (Cardiff), Theodor Elmar Bjarnason (AGF), Arnor Ingvi Traustason (Norrkoping), Birkir Bjarnason (Basel), Johann Gudmundsson (Charlton), Eidur Gudjohnsen (Molde), Runar Mar Sigurjonsson (Sundsvall).

Washambuliaji: Kolbeinn Sigthorsson (Nantes), Alfred Finnbogason (Augsburg), Jon Dadi Bodvarsson (Kaiserslautern).

ITALIA (Kundi E)

Makipa: Gianluigi Buffon (Juventus), Federico Marchetti (Lazio), Salvatore Sirigu (Paris Saint-Germain)

Mabeki: Andrea Barzagli (Juventus), Leonardo Bonucci (Juventus), Giorgio Chiellini (Juventus), Angelo Ogbonna (West Ham), Matteo Darmian (Manchester United), Mattia De Sciglio (Milan)

Viungo: Daniele De Rossi (Roma), Alessandro Florenzi (Roma), Emanuele Giaccherini (Bologna), Thiago Motta (Paris Saint-Germain), Marco Parolo (Lazio), Stefano Sturaro (Juventus), Antonio Candreva (Lazio)

Washambuliaji: Eder (Inter), Ciro Immobile (Torino), Lorenzo Insigne (Napoli), Graziano Pelle (Southampton), Simone Zaza (Juventus), Federico Bernardeschi (Fiorentina), Stephan El Shaarawy (Roma)

IRELAND KASKAZINI(Kundi C)
 
Makipa: Alan Mannus (St Johnstone), Michael McGovern (Hamilton Academical), Roy Carroll (Linfield).

Mabeki: Craig Cathcart (Watford), Jonathan Evans (West Bromwich Albion), Gareth McAuley (West Bromwich Albion), Luke McCullough (Doncaster Rovers), Conor McLaughlin (Fleetwood Town), Lee Hodson (MK Dons), Aaron Hughes (Free agent), Patrick McNair (Manchester United), Chris Baird (Derby County).

Viungo: Steven Davis (Southampton), Oliver Norwood, (Reading), Corry Evans, (Blackburn Rovers), Shane Ferguson (Millwall), Stuart Dallas (Leeds United), Niall McGinn (Aberdeen), Jamie Ward (Nottingham Forest).

Washambuliaji: Kyle Lafferty (Norwich City), Conor Washington (Queens Park Rangers), Josh Magennis (Kilmarnock), Will Grigg (Wigan Athletic).

POLAND (Kundi C)
  
Makipa: Lukasz Fabianski (Swansea City), Wojciech Szczesny (Roma), Artur Boruc (Bournemouth)

Mabeki: Thiago Cionek (Palermo), Kamil Glik (Torino), Artur Jedrzejczyk (Legia Warsaw), Michal Pazdan (Legia Warsaw), Lukasz Piszczek (Borussia Dortmund), Bartosz Salamon (Cagliari), Jakub Wawrzyniak (Lechia Gdansk)

Viungo: Jakub Blaszczykowski (Fiorentina), Kamil Grosicki (Rennes), Tomasz Jodlowiec (Legia Warsaw), Bartosz Kapustka (Cracovia), Grzegorz Krychowiak (Sevilla), Karol Linetty (Lech Poznan), Krzysztof Maczynski (Wisla), Slawomir Peszko (Lechia Gdansk), Filip Starzynski (Zaglebie Lubin), Piotr Zielinski (Empoli).

Washambuliaji: Arkadiusz Milik (Ajax), Robert Lewandowski (Bayern Munich), Mariusz Stepinski (Ruch Chorzow) 

URENO(Kundi F)

Makipa: Rui Patricio (Sporting Lisbon), Anthony Lopes (Lyon), Eduardo (Dinamo Zagreb).

Mabeki: Vieirinha (Wolfsburg), Cedric Soares (Southampton), Pepe (Real Madrid), Ricardo Carvalho (Monaco), Bruno Alves (Fenerbahce), Jose Fonte (Southampton), Eliseu (Benfica), Raphael Guerreiro (Lorient).

Viungo: William Carvalho (Sporting Lisbon), Danilo Pereira (Porto), Joao Moutinho (Monaco), Renato Sanches (Benfica), Adrien Silva (Sporting Lisbon), Andre Gomes (Valencia), Joao Mario (Sporting Lisbon).

Washambuliaji: Rafa Silva (Braga), Ricardo Quaresma (Besiktas), Nani (Fenerbahce), Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Eder (Lille)

JAMHURI YA IRELAND (Kundi E)
    
Makipa: Shay Given (Stoke), Darren Randolph (West Ham), Keiren Westwood (Sheffield Wednesday).

Mabeki: Seamus Coleman (Everton), Cyrus Christie (Derby), Ciaran Clark (Aston Villa), Richard Keogh (Derby), John O'Shea (Sunderland), Shane Duffy (Blackburn), Stephen Ward (Burnley).

Viungo: Aiden McGeady (Sheffield Wednesday), James McClean (West Brom), Glenn Whelan (Stoke), James McCarthy (Everton), Jeff Hendrick (Derby), David Meyler (Hull), Stephen Quinn (Reading), Wes Hoolahan (Norwich), Robbie Brady (Norwich), Jonathan Walters (Stoke).

Washambuliaji: Robbie Keane (LA Galaxy), Shane Long (Southampton), Daryl Murphy (Ipswich).

ROMANIA(Kundi A)
    
Makipa: Ciprian Tatarusanu (Fiorentina), Costel Pantilimon (Watford), Silviu Lung (Astra Giurgiu).

Mabeki: Cristian Sapunaru (Pandurii Targu Jiu), Alexandru Matel (Dinamo Zagreb), Vlad Chiriches (Napoli), Valerica Gaman (Astra Giurgiu), Cosmin Moti (Ludogorets), Dragos Grigore (Al-Sailiya), Razvan Rat (Rayo Vallecano), Steliano Filip (Dinamo Bucharest).

Viungo: Mihai Pintilii (Steaua Bucharest), Ovidiu Hoban (Hapoel Beer Sheva), Andrei Prepelita (Ludogorets), Adrian Popa (Steaua Bucharest), Gabriel Torje (Osmanlispor), Alexandru Chipciu (Steaua Bucharest), Nicolae Stanciu (Steaua Bucharest), Lucian Sanmartean (al-Ittihad).

Washambuliaji: Claudiu Keseru (Ludogorets), Bogdan Stancu (Genclerbirligi), Florin Andone (Cordoba), Denis Alibec (Astra Giurgiu).

URUSI
  
Makipa: Igor Akinfeev (CSKA Moscow), Guilherme (Lokomotiv Moscow), Yuri Lodygin (Zenit St. Petersburg).

Mabeki: Alexei Berezutsky (CSKA Moscow), Vasily Berezutsky (CSKA Moscow), Sergei Ignashevich (CSKA Moscow), Dmitry Kombarov (Spartak Moscow), Roman Neustadter (Schalke), Georgy Shchennikov (CSKA Moscow), Roman Shishkin (Lokomotiv Moscow), Igor Smolnikov (Zenit St Petersburg).

Viungo: Igor Denisov (Dynamo Moscow), Denis Glushakov (Spartak Moscow), Alexander Golovin (CSKA Moscow), Oleg Ivanov (Terek Grozny), Pavel Mamaev (Krasnodar), Alexander Samedov (Lokomotiv Moscow), Oleg Shatov (Zenit St Petersburg), Roman Shirokov (CSKA Moscow), Dmitri Torbinski (Krasnodar).

Washambuliaji: Artyom Dzyuba (Zenit St Petersburg), Alexander Kokorin (Zenit St Petersburg), Fyodor Smolov (Krasnodar).

SLOVAKIA(Kundi B)
 
Makipa: Matus Kozacik (Viktoria Plzen), Jan Mucha (Slovan Bratislava), Jan Novota (Rapid Vienna).

Mabeki: Peter Pekarik (Hertha Berlin), Milan Skriniar (Sampdoria), Martin Skrtel (Liverpool), Norbert Gyomber (Roma), Jan Durica (Lokomotiv Moscow), Kornel Salata (Slovan Bratislava), Tomas Hubocan (Dynamo Moscow), Dusan Svento (Cologne).

Viungo: Viktor Pecovsky (Zilina), Robert Mak (PAOK Thessaloniki), Juraj Kucka (AC Milan), Patrik Hrosovsky (Viktoria Plzen), Jan Gregus (Jablonec), Marek Hamsik (Napoli), Ondrej Duda (Legia Warsaw), Miroslav Stoch (Bursaspor), Vladimir Weiss (Al Gharafa).

Washambuliaji: Michal Duris (Viktoria Plzen), Adam Nemec (Willem II), Stanislav Sestak (Ferencvaros).

HISPANIA
 
Makipa: Iker Casillas (Porto), David de Gea (Manchester United), Sergio Rico (Sevilla).

Mabeki: Sergio Ramos (Real Madrid), Gerard Pique (Barcelona), Hector Bellerin (Arsenal), Jordi Alba (Barcelona), Marc Bartra (Barcelona), Cesar Azpilicueta (Chelsea), Mikel San Jose (Athletic Bilbao), Juanfran (Atletico Madrid).

Viungo: Bruno (Villarreal), Sergio Busquets (Barcelona), Koke (Atletico Madrid), Thiago (Bayern Munich), Andres Iniesta (Barcelona), David Silva (Manchester City), Pedro (Chelsea), Cesc Fabregas (Chelsea).

Washambuliaji: Aritz Aduriz (Athletic Bilbao), Nolito (Celta Vigo), Alvaro Morata (Juventus), Lucas Vasquez (Real Madrid).

SWEDEN (Kundi E)
  
Makipa: Andreas Isaksson (Kasimpasa), Robin Olsen (Copenhagen), Patrik Carlgren (AIK).

Mabeki: Ludwig Augustinsson (Copenhagen), Erik Johansson (Copenhagen), Pontus Jansson (Torino), Victor Lindelof (Benfica) Andreas Granqvist (Krasnodar), Mikael Lustig (Celtic), Martin Olsson (Norwich).

Viungo: Jimmy Durmaz (Olympiakos), Albin Ekdal (Hamburg), Oscar Hiljemark (Palermo), Sebastian Larsson (Sunderland), Pontus Wernbloom (CSKA Moscow), Erkan Zengin (Trabzonspor), Oscar Lewicki (Malmo), Emil Forsberg (Leipzig), Kim Kallstrom (Grasshoppers).

Washambuliaji: Marcus Berg (Panathinaikos), John Guidetti (Celta Vigo), Zlatan Ibrahimovic (Paris), Emir Kujovic (Norrkoping).

USWISI(Kundi A)
      
Makipa: Yann Sommer (Borussia Monchengladbach), Roman Buerki (Borussia Dortmund), Marwin Hitz (Augsburg)

Mabeki: Stephan Lichtsteiner (Juventus), Nico Elvedi (Borussia Monchengladbach), Michael Lang (Basle), Johan Djourou (Hamburg), Steve von Bergen (Young Boys), Fabian Schaer (Hoffenheim), Francois Moubandje (Toulouse), Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)

Viungo: Valon Behrami (Watford), Blerim Dzemaili (Genoa), Gelson Fernandes (Rennes), Fabian Frei (Mainz), Granit Xhaka (Arsenal), Xherdan Shaqiri (Stoke), Denis Zakaria (Young Boys)

Washambuliaji: Breel Embolo (Basle), Haris Seferovic (Eintracht Frankfurt), Admir Mehmedi (Bayer Leverkusen), Eren Derdiyok (Kasimpasa), Shani Tarashaj (Everton). 

UTURUKI(Kundi D)
      
Makipa: Volkan Babacan (Medipol Basaksehir), Onur Recep Kivrak (Trabzonspor), Harun Tekin (Bursaspor)

Mabeki: Gokhan Gonul (Fenerbahce), Sener Ozbayrakli (Bursaspor), Semih Kaya (Galatasaray), Ahmet Calik (Genclerbirligi), Hakan Balta (Galatasaray), Caner Erkin (Fenerbahce), Ismail Koybasi (Besiktas)

Viungo: Mehmet Topal (Fenerbahce), Selcuk Inan (Galatasaray), Ozan Tufan (Fenerbahce), Oguzhan Ozyakup (Besiktas), Hakan Calhanoglu (Bayer Leverkusen), Nuri Sahin (Borussia Dortmund), Arda Turan (Barcelona), Olcay Sahan (Besiktas), Volkan Sen (Fenerbahce), Emre Mor (Nordsjaelland)

Washambuliaji: Burak Yilmaz (Beijing Guoan), Cenk Tosun (Besiktas), Yunus Malli (Mainz)

UKRAINE (Kundi C)
(wachezaji 23 kikosi cha mwisho) 
Makipa: Andriy Pyatov (Shakhtar), Denys Boyko (Besiktas), Mykyta Shevchenko (Zorya)

Mabeki: Evhen Khacheridi (Dynamo Kiev), Bohdan Butko (Amkar), Artem Fedetskyi (Dnipro), Oleksandr Karavaev (Zorya), Oleksandr Kucher (Shakhtar), Yaroslav Rakytskyi (Shakhtar), Vyacheslav Shevchuk (Shakhtar)

Viungo: Serhiy Rybalka (Dynamo Kiev), Denys Garmash (Dynamo Kiev), Serhiy Sydorchuk (Dynamo Kiev), Andriy Yarmolenko (Dynamo Kiev), Evhen Konoplyanka (Sevilla), Ruslan Rotan (Dnipro), Taras Stepanenko (Shakhtar), Viktor Kovalenko (Shakhtar), Anatolyi Tumoschuk (Kairat), Oleksandr Zinchenko (UFA)

Washambuliaji: Roman Zozylya (Dnipro), Pylyp Budkivskyi (Zorya), Evhen Seleznyov (Shakhtar) 

WALES (Kundi B)
  
Makipa: Wayne Hennessey (Crystal Palace), Danny Ward (Liverpool), Owain Fon Williams (Inverness).

Mabeki: Ben Davies (Tottenham), Neil Taylor (Swansea), Chris Gunter (Reading), Ashley Williams (Swansea), James Chester (West Brom), Ashley Richards (Fulham), James Collins (West Ham).

Viungo: Aaron Ramsey (Arsenal), Joe Ledley (Crystal Palace), David Vaughan (Nottingham Forest), Joe Allen (Liverpool), David Cotterill (Birmingham), Jonathan Williams (Crystal Palace), George Williams (Fulham), Andy King (Leicester), Dave Edwards (Wolves).

Washambuliaji: Hal Robson-Kanu (Reading), Sam Vokes (Burnley), Simon Church (Nottingham Forest), Gareth Bale (Real Madrid).