STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, November 29, 2014

Arsenal yainyoa kiduchu West Brom Albion nyumbani kwao

The England international rose highest to head the Gunners in front after Ben Foster failed to keep out his attempt
Danny WElbeck akiifungia Arsenal bao pekee
Arsenal players celebrate after finally breaking down West Brom with Danny Welbeck's header on the hour mark at the HawthornsBAO pekee la lililofungwa na mshambuliaji Danny Welbeck limeisaidia Arsenal kupata ushindi wa bao 1-0 ikiwa ugenini dhidi ya West Bromwich Albion.
Katika pambano hilo lililochezwa kwenye uwanja wa The Hawthorns, WElbeck alifunga bao hilo kwa kichwa katika dakika ya 59 akimalizia kazi nzuri ya Santi Cazorla na kuipa ushindi huo muhimu Ze Gunnerz.
Ushindi huo umewafanya vijana wa Arsene Wenger kuchumpa hadi nafasi ya nne, ingawa mechi nyingine zinachezwa jioni hii.
Wenyeji walikaribia kusawazisha bao hilo dakika ya 80 baada ya kugongesha mwamba mkwaju wake murua ambao ulionekana kuelekea wavuni.
Kipigo hicho kimeifanya West Brom kufikisha mechi saba ikicheza nyumbani bila kupata ushindi na katika mechi ya leo mashabiki wao walishindwa kuwavumilia na kuanza kuwazomea.

No comments:

Post a Comment