STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, December 13, 2010

BREAKING NEWS-DK REMMY IS NO MORE


MWANAMUZIKI maarufu nchini aliyewahi kutamba na bendi za Makasy na Super Matimila kabla ya kuhamia kwenye muziki wa Injili, Ramadhani Mtoro Ongalla 'Dk Remmy' amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa tatizo la Ini, bado tunafuatilia kujua taratibu za mazishi yake.
Dk Remmy atakumbukwa kwa vibao vyake matata kama Nataka Mtoto, Siku ya Kufa, Muziki Sio Uhuni, Mambo kwa Soksi, Mrema, Mariam, Mwanza na kadhalika....!
Mungu Ilaze Roho ya Marehemu Mahali Pema. Amin

No comments:

Post a Comment