STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 29, 2012

KOCHA MPYA YANGA AJIFUNGA MWAKA YANGA


Kocha mpya wa Yanga, Ernstus ‘Ernie’ Wilhelmus Johannes Brandts, amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano uliofanyika makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam. Upande wa Yanga, uliwakilishwa na Makamu Mwenyekiti wa klabu, Clement Sanga ambaye alishuhudiwa na viongozi wengine wa klabu hiyo, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Mussa Katabaro, Katibu Mkuu, Lawrence Mwalusako na Majjid Suleiman, mmoja wa watu muhimu kwenye klabu hiyo.
Brandts kulia na Sanga kushoto

Anamwaga wino

Brandts kulia na Sanga kushoto

Brandts na Sanga

Brandts na Sanga

Brandts na Sanga

Brandts na Sanga

Mkutano

Mwalusako akimshuhudia Sanga

Dina Ismail na Vicky Kimaro kazini

Brandts akifafanua jambo, kulia ni Majjid

Katabaro na Mwalusako

Makuburi Ally, pembezi ni wazee wa Yanga wakipiga chabo
CHANZO:BIN ZUBEIRY

No comments:

Post a Comment