STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, October 15, 2012

IBRAHIM CLASS AMCHAPA JONAS SEGU, ILALA SHANGWE TUPU

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi na Jonas Segu waakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili siku ya kumbukumbu ya Baba wa tiafa Class alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Refarii wa mpambano akimuinua mkono juu bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumtwanga Jonas Segu kwa point na kupereka furahaa ya ushindi katika Kambi ya Ilala anaefurahi kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila katikati akiwa katika picha ya pamoja  na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumdunda kwa point bondia Jonas Segu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi na Jonas Segu waakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili siku ya kumbukumbu ya Baba wa tiafa Class alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi na Jonas Segu waakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili siku ya kumbukumbu ya Baba wa tiafa Class alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Ngumi Rajabu Mhamila 'Super D' akimpereka ulingoni bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kwenda kupambana na bondia Jonas Segu wakati wa kumbukumbu ya kifo cha baba wa Taifa Class alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Ngumi Rajabu Mhamila 'Super D' akimpereka ulingoni bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kwenda kupambana na bondia Jonas Segu wakati wa kumbukumbu ya kifo cha baba wa Taifa Class alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment