STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, January 8, 2013

Mayweather Jr, kuvaana na Guerrero Mei 4

BONDIA Floyd Mayweather Jr anatarajia kupanda jukwaani katika ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas, Nevada, USA kuwania taji la WBC welterweight title May 4 ,2013 kuzipiga na Robert Guerrero bondia huyo ambaye ajawai kupigwa tangia angie katika uwanja wa masumbwi ya kulipwa tarehe 11-10-1996 bondia huyo alichezo mpambano wake wa mwisho May 5 mwaka jana na kutumikia kifungo cha Miezi mitatu kwa kosa la kumshambulia aliyekuwa mpenzi wake mama watoto wake kwa sasa yupo katika maandalizi ya mpambano huo wa tarehe hiyo katika mchezo wake wa mwisho aliocheza na Miguel Cotto alipata ushindi mwembamba kwa kuibuka kumtwanga kwa point
www.superdboxingcoach.blogspot.com    BONDIA Floyd Mayweather Jr  anatarajia kupanda jukwaani katika ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas, Nevada, USA kuwania taji la    WBC welterweight title May 4 ,2013 kuzipiga na Robert     Guerrero bondia huyo ambaye ajawai kupigwa tangia angie katika uwanja wa masumbwi ya kulipwa  tarehe 11-10-1996 bondia huyo alichezo mpambano wake wa mwisho May 5 mwaka jana na kutumikia kifungo cha Miezi mitatu kwa kosa la kumshambulia aliyekuwa mpenzi wake mama watoto wake kwa sasa yupo katika maandalizi ya mpambano huo wa tarehe hiyo katika mchezo wake wa mwisho aliocheza na Miguel Cotto alipata ushindi mwembamba kwa kuibuka kumtwanga kwa point

No comments:

Post a Comment