STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 19, 2013

Mbunge Nassari haamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi


MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amehamishiwa hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi kutokana na majeraha aliyoyapata kutokana na kushambuliwa na watu wasojulikana katika vurugu zilizotekea wakati wa uchaguzi wa udiwani mjini Arusha hivi karibuni.
Awali Mbunge huyo alilazwa hospitali ya Seriani kisha kuhamishiwa KCMC Moshi kwa matibabu kutokana na kushambuliwa na watu wanaodaiwa wafuasi wa CCM kwenye uchaguzi wa udiwani wilayanmi Monduli.

No comments:

Post a Comment