STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, September 3, 2013

Nyilawila ajifua akimtaka Mashali ulingoni

Bondia Karama Nyilawila akijifua mazoezini akidai anataka kuzipiga na Thomas Mashali, aliyenyakua ubingwa wa WBF-Afrika kwa kumnyuka Mada Maugo hivi karibuni.
Bondia Karama Nyilawila akijifua kumsubiri Thomas Mashali, baada ya kuwahi kumkejeli yeye na Mada Maugo kwamba ni kama 'midori' kwake.
Bondia Karama Nyilawila kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shadrack Ignas wakati wa mazoezi yanayoendelea katika klabu yao iliyopo Sinza Makaburini, Dar es salaam. Nyilawila anafanya mazoezi kwa ajili ya kutaka kupigana na Mashali.

No comments:

Post a Comment