STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, September 27, 2013

Tetesi: Kigogo wa CCM aliyenaswa na 'unga' China ahofiwa kunyongwa

Mfano wa Dawa za Kulevya
ZIPO tetesi zinazodai kwamba kigogo mmoja wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mbeya kupitia Jumuiya ya wanawake, anayedaiwa kukamatwa nchini China akiwa na kinachodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya hivi karibuni, anahofiwa kunyongwa.
Hofu hiyo imekuja kutokana na kilichoelezwa kuwa sheria ya nchi hiyo kuhusu dawa za kulevya ni kali na kwamba juhudi zinafanywa kufuatilia tetesi hizo kama zina ukweli na tutaweka hadharani mpaka jina la mhusika.
 
 Kalulunga media

No comments:

Post a Comment