| Wanafunzi waliosalia shuleni wakisimama kumpokea mgeni rasmi |
| Hata wazazi na walezi nao walisimama wima |
| Pre Form One nao walikuwapo katika mahafali hayo |
| Wanafunzi wa kidato wa tatu wakionyesha onyesho la lugha ya Kiswahili kusherehesha mahafali hayo ya leo |
| Baadhi ya wahitimu wa Kidato cha nne wakiwa wametulia vitini |
| Mwandege Boys kuna vipaji vya uigizaji usipime! |
| Yaani ni Full Kidigitali Mwandege Boys |
| Igizo likiendelea kuhusiana na umuhimu wa kuzingatia masomo shuleni |
| Hata Bongo Movie hawaoni ndani kwa madogo hawa, vipaji vitupu |
| Wahitimu wa kidato cha Nne Jesse na Godwin wakisoma taarifa ya habari hawa jamaa nouma |
| Hashim Abdallah (kulia) akisoma risala kwa niaba ya wahitimu wa kidato cha nne |
| Wanafunzi wa kidato cha nne wakitumbuiza |
| Leo tunawaaga kwaherini tuliwazoea kaka zetu, ndivyo wanavyoimbiwa wahitimu waliokaa na wanafunzi wenzao wa kidato cha tatu |
| Yaani ni full burudani |
| Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mhe. Mercy Silla (wa pili kulia) akiwasili eneo la tukio akisindikizwa na Mkuu wa Shule, Mwl Enock Walter (kulia) |
| Meza kuu ikishuhudia vipaji vya wanafunzi wa Mwandege Boys Sec |
| Mashairi nayo yalisomwa kuwaaga wahitimu |
| Mmoja wa wazazi akitoa nasaha zake |
| Mzazi wa kiume naye alitoa nasaha zake. |
| Mkuu wa Shule ya Mwandege Boys, Mwl Enock Walter akisoma risala |
| Mwanafunzi wa Pre Form One, Benard Deogratius aliyefanya vizuri katika masomo yake hayo akikabidhiwa zawadi na Mgeni rasmi |
| Mhitimu akikadhiwa cheti chake |
| Hata walimu nao walitunukiwa vyeti kwa kufanya vyema shuleni MwandegeBoys Sec |
| Mmoja ya wahitimu akikabidhiwa cheti na DC Mercy Sillah |
No comments:
Post a Comment