STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, February 4, 2014

Raia 12 wa kigeni wanaswa na dawa za kulevya


WATU 12, wanaodaiwa kuwa ni raia wa nchi za Iran na Pakistan wamekamatwa na shehena kubwa la madawa ya kulevya katika Bahari ya Hindi wakiwa wanaelekea Zanzibar kwa jahazi. 

Haikufahamika shehena waliyonaswa nayo ni dawa za aina gani na wala uzito wake.
Chanzo: RADIO ONE STEREO

No comments:

Post a Comment