STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, January 31, 2015

Newcastle Utd yainyuka Hull City, Man Utd waongoza 3-0 HT

Sammy Ameobi (right) is congratulated after scoring for Newcastle
Wachezaji Newcastle waksihangilia moja ya mabao yao
Ahmed Elmohamady of Hull City punches the ball into the Newcastle net
Hekaheka langoni mwa Newcastle
Sammy Ameobi shoots to score for Newcastle
Sammy Ameobi akifunga bao la pili la Newcastle
KLABU ya Newcastle United ikiwa ugenini imetoa kipigo cha mabao 3-0 kwa wenyeji wao Hull City katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya England.
Newcastle walianza kuandika bao la kwanza dakika ya 40 kupitia kwa Remy Cabella kabla ya kuongeza bao la pili dakika tano baada ya kuanza kwa kipindi cha pili kupitia kwa Sammy Ameobi na katika dakika ya 78 Yoan Gouffran alimaliza udhia kwa kufunga bao la tatu na kuipa ushindi muhimu Newcastle United.
Kwa sasa michezo kadhaa ipo mapumziko huku Spurs wakiongoza mabao 2-0 dhidi ya West Bromwich, Everton ikiwa ugenini wanaongoza bao 1-0 dhidi ya Crystal Palace, Liverpool dhidi ya West Ham Utd wapo 0-0, Manchester United wanaongoza 3-0 dhidi ya Leiceister City uwanja wa Old Trafford, Stoke City wakiwa nyumbani wanaongoza 2-1 dhidi ya QPR na Sunderland wakiwa mbele kwa mabao 2-0 nyumbani dhidi ya Burnley.

No comments:

Post a Comment