STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 17, 2015

Man City yaongeza dau kwa Sterling

http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/photo/2014/1002/soc_g_sterling_jv_1296x1296.jpg&w=1500&h=1500&scale=crop&site=espnfcBAADA ya kukaushiwa kimtindo na Liverpool, klabu ya Manchester City imeongeza ofa yao kufikia Pauni Milioni 35.5 kwa ajili ya kumwania Raheem Sterling,
Ofa ambayo kuna uwezekano pia wa kukataliwa na Liverpool kwani klabu hiyo wanamthaminisha mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uingereza kuwa thamani ya ya Pauni Milioni 50. 
Wiki iliyopita Liverpool walikataa ofa ya Pauni Milioni 25 iliyotolewa na City kwa ajili ya nyota huyo. 
Sterling alijiunga na Liverpool akitokea Queens Park Rngers mwaka 2010 na bado ana mkataba na Liverpool unaomalizika mwaka 2017 pamoja na kukataa mkataba mpya ambao ungemuwezesha kulipwa kitita cha Pauni 100,000 kwa wiki. 
Meneja wa Liverpool, Brendan Rodgers amesema mwezi uliopita kuwa anategemea Sterling kubakia Anfield mpaka atakapomaliza mkataba wake.

Copy and WIN : haundi milioni 35.5 kwa ajili ya kumuwania Raheem Sterling, ofa ambayo kuna uwezekano pia wa kukataliwa na Liverpool. Liverpool wanamthaminisha mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uingereza kuwa thamani ya ya paundi milioni 50. Wiki iliyopita Liverpool walikataa ofa ya paundi milioni 25 iliyotolewa na City kwa ajili ya nyota huyo. Sterling alijiunga na Liverpool akitokea Queens Park Rngers mwaka 2010 na bado ana mkataba na Liverpool unaomalizika mwaka 2017 pamoja na kukataa mkataba mpya ambao ungemuwezesha kulipwa kitita cha paundi 100,000 kea wiki. Meneja wa Liverpool Brendan Rodgers amesema mwezi uliopita kuwa anategemea Sterling kubakia Anfield mpaka atakapomaliza mkataba wake.

 and WIN : h

No comments:

Post a Comment