PICHA ZA TIMU ZA TAIFA ZA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZILIZOPOWEZA KUTINGA NUSU FAINALI ZA KLOMBE LA CHALENJI NCHINI UGANDA. (zote kwa hisani wa Bongostaz
![]() |
| Kaseja amedaka, huku Yondan akiwa tayari kumsaidia |
![]() |
| Manahidha wakisalimiana kabla ya mechi, Juma Kaseja wa Bara kulia na Haruna Niyonzima wa Rwanda kushoto |
![]() |
| Kikosi cha Rwanda leo |
![]() |
| Kikosi cha Bara leo |
![]() |
| Watanzania waliokuja kuisapoti timu hapa |
![]() |
| Shomary Kapombe akimdhibiti Dadi Birori |
![]() |
| Athumani Iddi 'Chuji' akiruka juu kulia kuokoa |
![]() |
| Amri Kiemba anamkokota mchezaji wa Rwanda |
![]() |
| Kocha Milutin Sredojevic 'Micho' |
![]() |
| John Bocco akiwashughulisha mabeki wa Rwanda |
![]() |
| Refa anaonyesha kati, baada ya Kiemba anayekimbia nyuma yake kufunga bao la kwanza |
![]() |
| Bao la Kiemba |
![]() |
| Mwinyi Kazimoto kulia akimburuza mchezaji wa Rwanda |
![]() |
| Ulinzi mkali langoni mwa Rwanda, lakini bado mbili zilipenya |
![]() |
| Bocco anasababisha |
![]() |
| Jean Claude Ndoli wa Rwanda aliyeruka hewani kudaka moja ya michomo ya hatari iliyoelekezwa langoni mwake |






























No comments:
Post a Comment