PICHA ZA TIMU ZA TAIFA ZA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZILIZOPOWEZA KUTINGA NUSU FAINALI ZA KLOMBE LA CHALENJI NCHINI UGANDA. (zote kwa hisani wa Bongostaz
![]() |
Kaseja amedaka, huku Yondan akiwa tayari kumsaidia |
![]() |
Manahidha wakisalimiana kabla ya mechi, Juma Kaseja wa Bara kulia na Haruna Niyonzima wa Rwanda kushoto |
![]() |
Kikosi cha Rwanda leo |
![]() |
Kikosi cha Bara leo |
![]() |
Watanzania waliokuja kuisapoti timu hapa |
![]() |
Shomary Kapombe akimdhibiti Dadi Birori |
![]() |
Athumani Iddi 'Chuji' akiruka juu kulia kuokoa |
![]() |
Amri Kiemba anamkokota mchezaji wa Rwanda |
![]() |
Kocha Milutin Sredojevic 'Micho' |
![]() |
John Bocco akiwashughulisha mabeki wa Rwanda |
![]() |
Refa anaonyesha kati, baada ya Kiemba anayekimbia nyuma yake kufunga bao la kwanza |
![]() |
Bao la Kiemba |
![]() |
Mwinyi Kazimoto kulia akimburuza mchezaji wa Rwanda |
![]() |
Ulinzi mkali langoni mwa Rwanda, lakini bado mbili zilipenya |
![]() |
Bocco anasababisha |
![]() |
Jean Claude Ndoli wa Rwanda aliyeruka hewani kudaka moja ya michomo ya hatari iliyoelekezwa langoni mwake |

No comments:
Post a Comment