![]() |
| Wachezaji wa Golden Bush na Chuo Kikuu wakiwania mpira hewani |
![]() |
| Kudra Omar akizidhibitiwa na beki wa Chuo Kikuu Veterani |
![]() |
| Kudra Omar 13, akitafuta mbinu za kumtoka Ernest |
![]() |
| Nasema faulo, jipangeni pale:Refa akiwaelekeza wachezaji wa Chuo kujipanga ilia Golden Bush wapige faulo |
![]() |
| Heka heka langoni mwa Chuo Kikuu veterani |
![]() |
| Mchesaji wa Golden Bush akiwa chini baada ya kuumia |
![]() |
| Salum Swedi 'Kussi' akionyesha kiwango uwanjani |
![]() |
| Mshikemshike dimbani |
![]() |
| Kipa Amani Simba akiwapanga mabeki wake wakati wa kupigwa faulo langoni mwake. |
![]() |
| John Mwansasu na Wazir Mahadh 'Mandieta' wao walikuwa mashuhuda tu kwa leo |
![]() |
| Hawa Madogo wanakaza niingie nini? |
![]() |
| Kudra Omar na salum Athuman wakiwa kwenye mapumziko |
![]() |
| Amani Simba, Onesmo Wazir 'Ticotico' na Salum Swedi 'Kussi' wakiwa kwenyue mapumziko |
![]() |
| Hoi mapumziko hata kama tunaongoza 2-1 |
![]() |
| Kocha Madaraka Seleman 'Mzee wa Kiminyio' akiwapa nasaha wachezaji wake wa Golden Bush |
![]() |
| Mmecheza vyema, lakini mabao hawatoshi; kocha msaidizi, Herry Morris akiwapwa nasaha wachezaji wake |
![]() |
| Mmekosaje bao pale nyie...enzi zangu yule kipa angekuwa analilia atolewe nje kuepuka kapu la mabao |
![]() |
| Jamani jahazi linazama nyumbani inajuwake sasa? |
![]() |
| Benchi la ufundi la Chuo Kikuu veterani hawaamini kinachowakuta |
![]() |
| Wachezaji wa Golden Bush wanamchezea rafu mchezaji wa Chuo Kikuu |
![]() |
| Aaaghhh! Shija Katina akiugulia maumivu |
![]() |
| Utanijua kwa nini naitwa 'Mbududu' |





























No comments:
Post a Comment