STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, June 29, 2013

Hivi ndivyo Golden Bush ilivyoizima Chuo Kikuu Veterani


Wachezaji wa Golden Bush na Chuo Kikuu wakiwania mpira hewani

Kudra Omar akizidhibitiwa na beki wa Chuo Kikuu Veterani

Mtanikoma leo

Kudra Omar 13, akitafuta mbinu za kumtoka Ernest





Nasema faulo, jipangeni pale:Refa akiwaelekeza wachezaji wa Chuo kujipanga ilia Golden Bush wapige faulo

Heka heka langoni mwa Chuo Kikuu veterani

Mchesaji wa Golden Bush akiwa chini baada ya kuumia
 
Salum Swedi 'Kussi' akionyesha kiwango uwanjani

Mshikemshike dimbani

Kipa Amani Simba akiwapanga mabeki wake wakati wa kupigwa faulo langoni mwake.

John Mwansasu na Wazir Mahadh 'Mandieta' wao walikuwa mashuhuda tu kwa leo

Hawa Madogo wanakaza niingie nini?

Kudra Omar na salum Athuman wakiwa kwenye mapumziko

Amani Simba, Onesmo Wazir 'Ticotico' na Salum Swedi 'Kussi' wakiwa kwenyue mapumziko

Hoi mapumziko hata kama tunaongoza 2-1

Kocha Madaraka Seleman 'Mzee wa Kiminyio' akiwapa nasaha wachezaji wake wa Golden Bush


Mmecheza vyema, lakini mabao hawatoshi; kocha msaidizi, Herry Morris akiwapwa nasaha wachezaji wake
Mmekosaje bao pale nyie...enzi zangu yule kipa angekuwa analilia atolewe nje kuepuka kapu la mabao

Jamani jahazi linazama nyumbani inajuwake sasa?
Benchi la ufundi la Chuo Kikuu veterani hawaamini kinachowakuta




Wachezaji wa Golden Bush wanamchezea rafu mchezaji wa Chuo Kikuu

Aaaghhh! Shija Katina akiugulia maumivu

Utanijua kwa nini naitwa 'Mbududu'

No comments:

Post a Comment