STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, September 20, 2013

Msiba tena! Mwanajeshi mwingine wa Tanzania afariki Congo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdNJZZWb0uOyOr0xkZ4jESmQ2W9lpQ7JqPz7eO55Re1lTPE9x_VB50rB3ip7BdIvmzMXuzfPSrEPHFiXk3c58fxJmXG4R96K8IghFM_XbKsy5ZG0DVK8q3OsuweCkJUla56q1Cf65TPP5V/s640/mwamnyange.jpg
 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamnyange

MSIBA tena! Hizi ni habari za kusikitisha kusikia, ila ni kwamba  shujaa mwingine wa Tanzania amefariki dunia katika harakati za kulinda amani ya waafrika wenzetu. 
Habari zilizotolewa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) zinasema mwanajeshi anayetambulika kwa jina la Private Hugo Munga, ambaye alijeruhiwa kwenye shambulio lilisababisha Meja Khatibu kufariki dunia, naye amefariki.
Mwanajeshi huyo alikuwa nchini South Africa kwa ajili ya matibabu, lakini kwa bahati mbaya Tanzania imempoteza shujaa huyu. 
Mwili wake unatarajiwa kufikishwa hapa nyumbani kesho ukitokea nchini South Africa.
1j
2j

No comments:

Post a Comment