STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, December 17, 2013

Cheki Extra Bongo wakijifua na Muumin kwa ajili ya maonyesho ya sikukuu ya X-mass, Mwaka Mpya

Muumin akiimba na waimbaji wa Extra Bongo
Kilio ooo ooo Kiliooo Kilio cha Baba yangu.....Ndivtyo wanavyoimba waimbaji Muumi, Adam Mbombole na Kabatabo

Mnaimba hivi...si mnajua mimi ndiye Kocha wa Dunia?

Ephraem Joshua mzee wa Kanyaga Twende akicharaza gitaa mazoezini

Wakionyesha umahiri wao

Mfaume Rhythm akicharaza gita la kati ya Rhythm mazoezni leo
Sebastian Lukandikja akipapasa kinanda huku akiangaliwa na mwanamuziki mwingine
Ephraem Joshua (solo) na mcharaza gitaa la Bass Hosea Mgohache wakifanya mambo mazoezini
Mkaanda Chips, Mpogoro Mashine akifanya mautundu yake huku, msaidizi wake, Sunady Mukinga (kati) akifuatilia kwa makini na mwenzake

No comments:

Post a Comment