| Muumin akiimba na waimbaji wa Extra Bongo |
| Kilio ooo ooo Kiliooo Kilio cha Baba yangu.....Ndivtyo wanavyoimba waimbaji Muumi, Adam Mbombole na Kabatabo |
| Mnaimba hivi...si mnajua mimi ndiye Kocha wa Dunia? |
| Ephraem Joshua mzee wa Kanyaga Twende akicharaza gitaa mazoezini |
| Wakionyesha umahiri wao |
| Mfaume Rhythm akicharaza gita la kati ya Rhythm mazoezni leo |
| Sebastian Lukandikja akipapasa kinanda huku akiangaliwa na mwanamuziki mwingine |
| Ephraem Joshua (solo) na mcharaza gitaa la Bass Hosea Mgohache wakifanya mambo mazoezini |
| Mkaanda Chips, Mpogoro Mashine akifanya mautundu yake huku, msaidizi wake, Sunady Mukinga (kati) akifuatilia kwa makini na mwenzake |
No comments:
Post a Comment