STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 31, 2014

TFF mpya yatimiza siku 100 madarakani, Rais Malinzi kuteta Ijumaa

Rais wa TFF, Jamal Malinzi
Na Boniface Wambura
KAMATI mpya ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi, Februari 4 mwaka huu inatimiza siku 100 tangu iingie madarakani katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 28 mwaka jana.
Hivyo, Rais Malinzi atazungumza na waandishi wa habari Februari 7 mwaka huu kuelezea utekelezaji wa Ilani yake ya uchaguzi. Muda na mahali utakapofanyika mkutano huo mtaarifiwa baadaye.


No comments:

Post a Comment