STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 21, 2015

Chelsea wabanwa, Man Utd yafa, Arsenal raha

Ben Mee rises above the Chelsea defence to equalise for Burnley against Premier League leaders Chelsea at Stamford Bridge
Ben Mee akiisawazishia Burnley bao kwa kichwa
Mee wheels away in celebration after finding the target with a header to level proceedings at Stamford bridge with 10 minutes left
Oyooooooooooo!
Manchester United must get used to their new style of play under Louis van Gaal, according to Gary Neville
hoi
Cazorla is congratulated by his team-mates as Arsenal looked to pick up an eighth win in nine games
Arsenal kwa raha zao
Wilfried Zaha skips past Nacho Monreal in the opening moments, and the England winger caused his full back plenty of problems
ilikuwa vita
QPR walip[okuwa wakizamishwa ugenini
WAKATI vinara wa Ligi Kuu ya England, Chelsea wakingángániwa nyumbani kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1, Mashetani Wekundu, Manchester United wamenyukwa mabao 2-1 na Swansea City, huku Arsenal ikingára ugenini kwa kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Crystal Palace.
Chelsea wakiwa kwenye uwanja wao wa Stanford Bridge walitangulia kuandika bao la kuongoza lililofungwa na beki wake Branslav Ivanovic katika ya 14 na wageni Burnley kuchomoa bao hilo dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika kupitia kwa Ben Mee.
Chelsea itajilaulumu kwa kushindwa kuibuka na ushindi nyumbani kutokana na kutawala mchezo huo na washambuliaji wake Eden Hazard na Diego Costa wakikosa mabao ya wazi.
Sare hiyo imeifanya Chelsea kufikisha pointi 60 na kutoa fursa kwa wapinzani wao mabingwa watetezi Manchester City kupunguza pointi zilizokuwapo kwani mpaka muda huu wa mapumziko City wanaoongozxa mabao 3-0 dhidi ya Newcastle United.
Katika mechi nyingine za ligi hiyo Arsenal ikiwa ugenini imeshinda mabao 2-1, Manchester Utd ikipigwa 2-1 na Swansea City, wakati Aston Villa wameendelea kutetepa kwa kukubali kichapo cha 2-1 wakiwa nyumbani toka kwa Stoke City huku QPR wakilala ugenini 2-1 mbele ya Hully City na timu za Sunderland na West Bromwich wakitoka suluhu ya kutofungana.

No comments:

Post a Comment