STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, January 10, 2016

Tambwe aifungia Yanga bao

AMISSI Tambwe ameifungia Yanga bao la mapema na kuifanya iende mapumziko ikiwa mbele dhidi ya URA ya Uganda. Kipindi cha pili kimeanza matokeo yakiwa bado ni 1-0, Yanga wakiwa mbele.
Matokeo yakibaki hivi Yanga itakutana na Mtibwa katikam fainali za Kombe la Mapinduzi kama ilivyokuwa mwaka 2007.

No comments:

Post a Comment