STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, March 21, 2018

CAF yaipa Yanga Wahebeshi Kombe la Shirikisho Afrika

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya CAf, Yanga imepangwa kuvaana na Wolayta Dicha ya Ethiopia katika mechi za kuwania kutinga makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Yanga itaikaribisha Dicha kati ya Machi 6-8 kabla ya kuwafuata ugenini katika mchezo wa marudiano.
Katika droo iliyofanyika muda mfupi uliopita wababe wa Simba, Al Masry wenyewe wamepangwa kuvaana na Moumana ya Gabon.

No comments:

Post a Comment