STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 13, 2012

GOLDEN BUSH WALIPOPIMANA UBAVU NA WAHENGA FC UWANJA WA TP-SINZA


BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO YA PAMBANO LA TIMU YA SOKA YA GOLDEN BUSH ILIYOKUWA IKIUNDWA NA NYOTA WA ZAMANI WA YANGA KAMA AKINA ALLY YUSUF 'TIGANA', ABDALLA MSHELI, WAZIR MAHADH 'MANDIETA' CHINI YA UNAHODHA WA ONESMO WAZIR 'TICOTICO' DHIDI YA WAHENGA FC ILIYOKUWA IKIONGOZWA NA MKONGWE MADARAKA SELEMAN 'MZEE WA KIMINYIO'.
Patashika dimbani kati ya Golden Bush na Wahenga FC

Onesmo Wazir 'Ticotico' wa Golden Bush (kushoto), akitafuta mbinu za kumpotoka China wa Wahenga Fc, huku mchezaji wenzake akiwa tayari kumsaidia.

Twende sasa kama 'Ronaldo'

Ticotico akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Wahenga Fc

China wa Wahenga Fc akiambaa na mpira dimbani katika mechi yao leo dhidi ya Golden Bush ambapo mpaka tunaondoka uwanjani matokeo yalikuwa bao 1-1. Wahenga wakitangulia kupata bao dakika ya 38 kupitia Moahmmed Ibrahim kabla ya Golden Bush kurejesha katika kipindi cha pili kupitia kwa Dau 'Messi'

China wa Wahenga akimtokea beki wa Golden Bush (14) huku wachezaji wengine wakiwa tayari kutoa msaada.

Machota wa Golden Bush akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Wahenga Fc

No comments:

Post a Comment