STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, March 21, 2013

JANA ILIKUWA NDIYO 'BIRTHDAY' YA MAREHEMU SHARO MILIONEA

Kaburi la marehemu sharo milionea

''Masai Nyotambofu na Na Alex wa machejo A.k.a Ngekewa, wakitazama picha za marehem Sharo milionea kwenye simu.
''Masai Nyotambofu akimbembeleza Shilole Baada ya kulia.

Tunda man akiwa na mama yake marehemu sharo siku ya arobaini tanga muheza

Rais wa TAFF  mwakifamba Pamoja na mwenyekiti wa chama cha comed KITALE wakiongea na wasanii baada ya arobaini ya sharo muheza tanga.
Kushoto ni Kambangwa wa Jakaya thietre akifuatiwa na Asha Boko wa VITUKO SHOW Dogo Janja pamoja na Safina wa MIZENGWE.
RAIS WA TAFF Mwakifamba Akigonga msosi na Masai Nyotambofu Pamoja na Wasanii wengine kibao.
Masai Nyotambofu akigonga msosi.
Camera man wa VITUKO SHOW ''Yosso Komando'' Akigonga msosi na Dogo Janja na wengineo.
Wasanii wakiliangalia kaburi la sharo milionea na kumkumbuka
Mchekeshaji mahiri alieiteka jamii kwa kuigiza lafudhi ya kabila la wamasai nchini, Gilliady Severine ''Masai Nyotambofu'' wa VITUKO SHOW akiwa na mchekeshaji machachari Joti wa ORIGINAL COMEDY wakiwa maeneo ya muheza nyumbani kwao marehem Sharo Milionea siku ya Arobaini.
Shilole akilia kwenye kaburi la marehem sharo milionea

 

No comments:

Post a Comment