STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, April 27, 2013

HIVI NDIVYO GOLDEN BUSH WALIPOITOA NISHAI WAHENGA FC

Kikosi cha Golden Bush kilichoitambia Wahen ga Fc jana jijini Dar es Salaam

Kikosi cha Wahenga Fc kilichoendeleza uteja kwa Golden Bush jana
Mchezaji wa Wahenga akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Golden Bush

Abuu Ntiro akiwahi pasi ya Athuman Machuppa huku Yusuf (9) wa Wahenga akiwanyemelea


HATARI! Lango la Wahenga Fc likiwa kwenye msukosuko

Ntiro akiwa akitafuta mbinu za kumnyanganya mpira Yusuf wa Wahenga madhara

Kama zamani Ntiro akitiririka pembeni kuelekea lango wa Wahenga, huku Kisiga akiwa tayari kumpa  msaada



Steven Marash na Wisdom Ndlovu wakiuza sura kabla ya kuanza kwa pambano la jana

Athuman Machuppa akiwania mpira na Wanchope wa Wahenga Fc

Machuppa (11) wa Golden Bush akiwania mpira wa Hamza (13) na Mcaremoon wa Wahenga katika pambano lao la jana

Wakati wa mapumziko mashabiki waq Wahenga wakifyeka nyasi ili kuwapa nafasi wachezaji wafanye vitu vyao na kuwarahishia Golden Bush kupata ushindi wa mabao 2-1

Wachezaji wa Golden Bush wakipasha kabla ya pambano hilo




Shaaban Kisiga akiwatoka wachezaji wa Wahenga

Macocha Tembele akiwafungisha tela Athuman Machupa na Godfrey Bonny, huku Kapeta akiwa tayari kumsaidia

HAPA HUPITI: Ni kama Ntiro (12) wa Golden Bush akimwambia Yusuf (9)  wa Wahenga



Kikosi cha Golden Bush Veterani kabla ya kuivaa Wahenga FC

No comments:

Post a Comment