STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, May 22, 2013

Mkutano wa Tenga na wanahabari haupo tena kesho

 
Rais Tenga akiwa na Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah
ULE mkutano kati ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike kesho (Mei 23 mwaka huu) umeahirishwa mpaka hapo mtakapoarifiwa tena.
Taarifa iliyotumwa na Msemaji wa TFF, Boniface Wambura imesomeka kwamba mkutano huo wa kesho haupo kama ulivyokuwa umepangwa bila kufafanuliwa kilichosababisha kufutwa ghafla.
 

No comments:

Post a Comment