STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, May 22, 2013

Tenga kutetea na wanahabari kesho

 
Rais wa TFF Leodger Tenga

Na Boniface Wambura
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga anatarajiwa kuteta na waandishi wa habari katika mkutano utakaofanyika kesho asubuhi.
Mkutano huo wa kesho (Mei 23 mwaka huu) uanatarajiwa kufanyika kuanzia saa 5 kamili asubuhi kwenye ukumbi wa mikutano wa TFF, Ilala jijini Dar es Salaam.



No comments:

Post a Comment