STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, June 17, 2013


MAREHEMU LANGA KILEO AAGWA LEO, AZIKWA JIONI HII




 Mwili wa marehemu langa ukiwa umeishafika nyumbani kwa ajili ya kuombewa na kuagwa 
 Baadhi ya ndugu na jamaa waliofika kuuaga mwili wa Marehemu langa Nyumbani kwao
<

Mama na Baba wa Marehemu Langa wakiwa na uzuni wakati wa kuagwa kwa mwili wa marehemu Langa leo mchana
 Baadhi ya wananchi waliokuja kumuaga Marehemu Langa nyumbani kwao



 Baadhi ya marafiki na wapenzi wa marehemu Langa wakiwa katika makundi
Mara baada ya zoezi hilo la kuagwa kwa mwili wa Langa, msafara ulianza kuelekea makaburi ya Kinondoni ili kuuhifadhi katika nyuma yake ya milele ambapo muda huu ndiyo anazikwa.

No comments:

Post a Comment