STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, June 17, 2013

CHADEMA WATOA TAMKO JUU YA MLIPUKO WA BOMU LA ARUSHA

SAM_2023Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambae pia ni Mbunge wa Hai na Kiongozi Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Mh Freeman Mbowe akitoa tamko la chama chake jioni ya leo katika hoteli ya Kibo Palace ya Jijini Arusha kufuatia tukio la kushambuliwa kwa mkutano wa Chadema jana kufunga kampeni za udiwani kwa Kata nne za Arusha Mjini kwa bomu la kutupa kwa mkono, risasi za moto na mabomu ya machozi, tukio lililopelekea vifo vya watu watatu na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.
SAM_2026Timu ya waandishi wa habari waliohudhuria kikao hicho cha kutoa tamko la chama.
SAM_2027

Tamko la Chadema Mauaji ya Bomu Mkutano wa Arusha: Mbowe asema tukio ni la kisiasa na lilipangwa makusudi; adai hata wakimuua yeye au Lema Chadema bado itaendelea kuwepo

No comments:

Post a Comment