STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, June 23, 2013

MASHALI, MIYEYUSHO WAJIFUA KUWAVAA WAKENYA


Francis Miyeyusho (kulia) akimtupia konde Thomas Mashali wakati wa mazoezi jana

  Miyeyusho akijifua kumkabili bondia Shadrack Machanje kutoka Kenya.
  Mashali akipasha tayari kuzipiga na bondia Patrick Amote wa Kenya.
Mabondia hao katika pozi la kuzipiga wakati wa mazoezi ya jana Francis Miyeyusho (kulia) akimtupia konde Thomas Mashali wakati wa mazoezi jana
 Mashali (kushoto) akikwepa konde la Miyeyusho. ---
 Mabondia wa hapa nchini Thomas Mashali na Francis Miyeyusho Jana wamefanya mazoezi ya pamoja katika gym iliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wanajiandaa kuwakabili wenzao kutoka Kenya ambao ni Patrick Amote na Shadrack Muchenje kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Julai 7 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.PICHA NA MUSA MATEJA / GPL

No comments:

Post a Comment