STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, August 13, 2013

CHADEMA yalaani tukio la kupigwa risasi kwa Sheikh Ponda


 
CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kimeungana na vyama na asasi nyingine kulaani vikali tukio la kupigwa kwa risasi na Polisi kwa Katibu wa Jumuiya ya Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.
CHADEMA imelaani tukio hilo katika tamko lake iliyolitoa leo kupitia Mjumbe wake wa Kamati Kuu, Prof  Abdallah Safari.

No comments:

Post a Comment