| Mwamuzi, Saidi Chaku (kulia) akimpa huduma ya kwanza bondia Issa Matumla, baada ya kugaragazwa kwa ngumi na bondia Adamu Ngange. |
| Bondia Antony Mathias (kulia) akimpiga ngumi mfululizo bondia Ismail Ninja, wakati wa mpambano wao. |
| Bondia Antony Mathias akiwa amebebwa juu baa ya kupata ushindi wa KO |
| Mdau wa mchezo wa masumbwi, Halima Kaubanika, akiwa ni mmoja kati ya wadau waliojitokeza kufuatilia mchezo huo jana. |
No comments:
Post a Comment