STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 23, 2013

Issa Matumla anyukwa kwa KO


Bondia Adamu Ngange (kushoto) akichapana na Issa Matumla,  wakati wa pambano lao lililofanyika jana jumapili katika ukumbi wa Kilimahewa uliopo Chanika Kigogo Fresh. Katika pambano hilo, Ngange alishinda kwa KO katika raundi ya pili.  
Mwamuzi, Saidi Chaku (kulia) akimpa huduma ya kwanza bondia Issa Matumla, baada ya kugaragazwa kwa ngumi na bondia Adamu Ngange.
Bondia Antony Mathias (kulia) akimpiga ngumi mfululizo bondia Ismail Ninja, wakati wa mpambano wao.
Bondia Antony Mathias akiwa amebebwa juu baa ya kupata ushindi wa KO
Mdau wa mchezo wa masumbwi, Halima Kaubanika, akiwa ni mmoja kati ya wadau waliojitokeza kufuatilia mchezo huo jana.

No comments:

Post a Comment