STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, October 10, 2013

Hatimaye Mwananchi lamaliza kifungo kuanza kutoka tena kesho

GAZETI LA MWANANCHI LATOKA KIFUNGONI
Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications limited(MCL)Tido Mhando akizungumza na waandishi wa habari jijini kuhusu kuanza uchapishaji wa gazeti la Mwananchi kuanzia Oktoba 11, lililokuwa limefungiwa kwa wiki mbili. Kulia ni Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Denis Msacky na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,Bernard Mukasa.

No comments:

Post a Comment