STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, October 9, 2013

Yaillah Toba, Ajali nyingine tena yahusisha magari matatu

  GA
 Lori la Mizigo likiwa limeacha njia leo, baada ya kugongana na basi katika eneo la Kabuku mkoani Tanga na kuyahusisha magari matatu katika ajali hiyo. (Picha na Francis Dande) 
 Askari wa usalama barabara wakiwa katika eneo la tukio.
Baadhi ya watu wakishuhudia ajali iliyoyakutanisha malori mawili pamoja na basi la abiria lenye namba za usajili T 158 BXG, iliyotokea leo katika eneo la Kabuku, mkoani Tanga

No comments:

Post a Comment