STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, November 16, 2013

Canal Top wa Akudo Impact adaiwa kunaswa na 'unga' China

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyXwKTiqD1NQX1dRQ4ccZ28HJ9q7zm58W61tukh7SAidumoj5qVSuwfsuAreqzsTfPRfE0qnmcUsx6PhUk13xzIn2mjrVCfUnSoAD86bGeRE4mjXOtUumQwwZfdgf342hY0cU1LBwj54A/s400/DSC02167+%5B800x600%5D.JPG
Canal Top (wa kwanza kulia) alipokuwa akiwajibika Akudo

RAPA mahiri aliyewahi kutamba na bendi ya Akudo Impact, Canal Top amenaswa nchini kwa tuhuma za kukutwa na Dawa za Kulevya.
Inaelezwa kuwa rapa huyo alinaswa nchini hivi karibuni baada ya kuingiza dawa hizo nchini humo.
Hata hivyo taarifa rasmi zinaendelea kufuatiliwa kujua undani wa tukio hilo kama ni kweli mwanamuziki huyo kutoka DR Congo amenaswa kweli na Unga au kwa mambo mengine, japo mashushushu waliopo nchini humo wamedai ni 'sembe' zilizomkamatisha.
Bongoclan

No comments:

Post a Comment