Katika taarifa iliyooneshwa na runinga ya Star-Tv, Dk Kabangila amesema kuwa kwa mujibu wa sheria, imembidi kuamua kufanya lililo sahihi na sasa amejiunga rasmi ili kupata wigo mpana wa kupigania maslahi ya fani, madaktari na wananchi.
STRIKA

USILIKOSE

Monday, December 2, 2013
Katibu Chama cha Madaktari ajiuzulu na kutua CHADEMA
Katika taarifa iliyooneshwa na runinga ya Star-Tv, Dk Kabangila amesema kuwa kwa mujibu wa sheria, imembidi kuamua kufanya lililo sahihi na sasa amejiunga rasmi ili kupata wigo mpana wa kupigania maslahi ya fani, madaktari na wananchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment