
Baadhi ya abiria wa kutoka sehemu mabalimbali wakisubiri lori lililoziba barabara kuondolewa baada ya kupata ajali ya kugongana na lori jingine kwenye mlima Kitongo. Ajali hiyo imesababisha magari mengi kuweka kambi kwa muda wa zaidi ya saa nne.

Lori likiwa limetumbukia kwenye korongo mlimani kitonga

Lori la mafuta lililopo upande wa kulia na lori la mizigo lililopo upande wa kulia yaligongana na kuziba barabara kwenye mlima kitonga na kusababisa magari mengine kukwama kwa zaidi ya saa manne


Jana tulilazimika kufanya utalii ndani ya mlima kitonga baada ya kukwama kwa zaidi ya masaa manne
No comments:
Post a Comment