STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, March 17, 2014

PSG haishikiki Ufaransa, Zlatan nouma!



Cruising: Ibrahimovic scored twice in the first-half to restore PSG's eight point lead at the top of the table
Oyooooooo! Zlatan akishangilia bao
PSG inaelekea kutetea taji lake la ubingwa wa Ligue 1 nchini Ufaransa baada ya usiku wa jana kupata ushindi wa mabao 2-0 nyumbani dhidi ya St Etienne.
Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic 'Acadabladabla' ndiye aliyefunga mabao hayo na kuipa PSG ushindi wa saba mfululizo kwenye mashindano yote.
Wapinzani wao wa karibu, Monaco nao jana waliendelea kupata ushindi na kuwafukuza wapinzani wao kwa kuizabua Lyon kwa mabao 3-2.
PSG inayotetea taji la ligi hiyo inaendelea kuongoza msimamo kwa tofauti ya pointi nane ikiwa na pointi 70 huku Monaco wakiwafuata kwa mbali wakiwa na 62.

No comments:

Post a Comment