STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, September 2, 2014

Falcao katika uzi mpya baada ya kutambulishwa Old Trafford

Falcao akiwa katika uzi mpya wa Mashetani Wekundu
Akiteta na Kocha msaidizi, Ryan Giggs

KLABU ya Manchester United imemtambulisha mshambuliaji wake mpya kutoka Monaco, Ramadel Falcao, huku baadhi ya mashabiki wakipigwa na butwaa na kitendo cha kuongezwa mshambuliaji kikosini badala ya mabeki safu inayoonekana kupwaya baada ya kuondoka kwa visiki Rio Ferdinand, Nemanja Vidic na patrci Evra.

No comments:

Post a Comment