STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, September 2, 2014

Hatem Ben Arfa atimkia Hull City kwea mkopo

Kiungo Ben Hatem wakati akiitumikia Newcastle United

MCHEZAJI Hatem Ben Arfa wa Newcastle United amejiunga na klabu ya Hull City kwa mkopo kwa kipindi kilicho baki cha msimu akimaliza safari yake ndani ya klabu yake ya Newcastle.
Ben Arfa amekuwa katika wakati mgumu katika kikosi cha Newcastle, licha ya mchango wake mkubwa tangu alipojiunga nao.

No comments:

Post a Comment